Mkwala, Debora na Ahoua ni wabovu, waondoke.

Mkwala, Debora na Ahoua ni wabovu, waondoke.

Watu kama wewe ndio wavurugaji wa timu yetu. Unafikiri mchezo wa soka ni maigizo? Omba usajiliwe wewe ukaokoe jahazi.
Wachezaji wa Simba wanacheza kama timu ya mchangani tu.
 
simba fell off. today

Coastal Union hata pasi 5 awezi kupiga. atleast goli 3-4. sio moja bila.


hii coastal ni mbovu sana.
 
simba fell off. today

Coastal Union hata pasi 5 awezi kupiga. atleast goli 3-4. sio moja bila.


hii coastal ni mbovu sana.
Coastal union imefanya makosa ya kuweza kupigwa goli hata 6 bila jasho,lkn Simba walikuwa wanacheza kama vochaa
 
Makolo mmecheza mechi 2 tu mmeshaanza kutafutana? Si mmesajili damu changa mkiwa na kikosi Bora vipi Tena mnaanza kusema mmesajili takataka🤔🤔
Na hapo bado amjaanza kwenda mikoani mtatema bungo mda si mrefu, coast tu kawaangaisha na kikosi chenu tulichoambiwa ni Cha bilioni 7, hii hatari sana!
 
Back
Top Bottom