- Thread starter
- #41
Hizo interruptions zinatokea mara nyingi kwasbb ya skills duni za mkwala.Huyo Mkwala kila akiwa anapiga mpira kuna mtu anamuintarapt kwa kumgusa mguu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo interruptions zinatokea mara nyingi kwasbb ya skills duni za mkwala.Huyo Mkwala kila akiwa anapiga mpira kuna mtu anamuintarapt kwa kumgusa mguu.
Mashambiki maandazi wamejazana Simba, hawataki kusikia udhaifu wa wachezaji wao ukiongelewa. Ni traabu kweli kweliSimba timu ya siasa na propaganda utajikuta mashabiki wanajipa moyo timu haina muunganiko
Kocha pia ni kimeoHaya mabadiliko sijui anataka kupata nini?
Sidhani kama ni ubovu. No irresponsive ndio inayoonekana. Maturity flani hivi ya kutaka kupata kitu unachokitaka.Mimi ni mchambuzi. Nachambua ubovu wa wachezaji wa Simba. Unaona jinsi Coastal union wanavyoikosakosa Simba?? Hata kocha kaiona u ovu wa mkwala na Ahoua, amewatoa.
Ni mapema lakini haya mabadiliko si ya kiufundi labda bado hajajua kikosi A chake.Kocha pia ni kimeo
AhahaaaaaaNi uchovu baada ya Derby. Energy iko chini. Ila Mukwala hawezi kuwa chaguo la kwanza pale mbele, labda chaguo la pili. Mo hana budi kurudi sokoni alete kifaa hasa.
Simba inatengeneza nafasi nyingi, jinsi ya kuzitumia ndiyo tatizo. Tatizo la misimu kadhaa sasa bado linaendelea
YangaHamtutoi kwenye mstari...
Nipe timu inayofanya vzr bila makosa....
Pyeeeerr
Wewe ni YangaSiyo wachezaji wa kiwango na matamanio ya Simba SC. Wana makosa ya kitoto sana na hawana maajabu uwanjani
Ni takataka kabisa
Sawa ....Yanga
Kosakosa za kitoto ziko nyingi Sana. Timu bado mbovu mno. Kombe la shirikisho hii Simba haitavuka hata makundi. Mark my words.Wewe ni Yanga
Nilishangaa juz uwanjan mechi imeisha tumepigwa na yanga kama kawaida et mashabiki wanapiga makofi akaja yule comedian akawa nae anasifia wachezaji mashabiki wa simba n zero sanaMashambiki maandazi wamejazana Simba, hawataki kusikia udhaifu wa wachezaji wao ukiongelewa. Ni traabu kweli kweli
Watu kama wewe ndio wavurugaji wa timu yetu. Unafikiri mchezo wa soka ni maigizo? Omba usajiliwe wewe ukaokoe jahazi.Siyo wachezaji wa kiwango na matamanio ya Simba SC. Wana makosa ya kitoto sana na hawana maajabu uwanjani
Ni takataka kabisa