Mkwala, Debora na Ahoua ni wabovu, waondoke.

Sahihi kabisa, umepita mule mule. Hilo la mwisho ni la kusisitiza sana. Ni muhimu sana ufanisi kuongezea pale mbele, utaijengea timu confidence. Hii timu ikishapata confidence tu mambo mengine yatakaa sawa.
 
Simba timu ya siasa na propaganda utajikuta mashabiki wanajipa moyo timu haina muunganiko
Msimu uliopita mlisema Simba mbovu Yanga nzuri, lakini wote tulitolewa robo fainali Champion League. Hapo nani alimzidi mwenzake kwa ubora?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…