Mkwamo wa Magari eneo la Ruvu kwa saa nyingi sababu ni gari la Jeshi la Wananchi?

Mkuu wanajeshi wa Tanzania wana ubabe wa kipuuzi sina hakika kama ubabe wa namna hii unapatikana kwingine. Yani wao kufanya ubabe wa kukomoana wao wanao ndio ujeshi wenyewe. We fikiria hapo tena jeshi limeshindwa nini kusogeza gari watu waendelee na safari.
 
WALILIHARIBU WAO??
KAMA LIMEHARIBKA LENYEWE TOPIC CLOSED
Jeshi kama lina iwezo wa kujenga hadi madaraja ya dharura hadi kuitwa katika uokozi hapo ndipo waonyeshe uwezo wao wa kutatua changamoto kwa wananchi zilizotokana na gari lao. Wanashindwa nini kuliweka pembeni hata kwa kulisukuma. Yani unajivunia kuwa na jeshi ambalo linashindwa tatua changamΓ³to kama hiyo?
 
Njia inapitika sasa mkuu πŸ”
 
Hii nchi ina maujinga mengi ya kujitakia yote hii ni sababu tunaongozwa na mbumbumbu,Vilaza na ngumbaru wa head!

Kuna muda hua naona najuta kuzaliwa nchi yenye idadi kubwa ya vilaza maana kwa namna navyojiona wa tofauti hua najisemea kabisa ningezaliwa nchi za watu wenye akili kubwa kwa hizi akili zangu ndogo nilizonazo hakika ningekua mbali sana maana napenda kucopy idea ambazo zingesaidia nchi ila kwa sababu tu nipo bongo shithole kamwe sitaweza kuzi apply!

Inauma sana!
 
Pole mkuu
 
Aliyeanzisha thread hana uhakika wa nini kilitokea hasa yeye analaumu tu sababu alikutana na foleni. Uliza taratibu uambiwe ilikuaje sio kulaumu tu.
 
Aliyeanzisha thread hana uhakika wa nini kilitokea hasa yeye analaumu tu sababu alikutana na foleni. Uliza taratibu uambiwe ilikuaje sio kulaumu tu.


Hebu tuambie ndugu nini kimetokea hadi kusababisha foleni ya zaidi ya masaa 6 wananchi kuteseka vile ?

Vitoto vichanga vimelia kila vikivuta maziwa kunyonya vifuani mwa mama zao hamna kitu sababu mama hajala kitu njaa kwa masaa mengi kupita kiasi.
Wajawazito wameteseka mno njaa.
Wagonjwa walokuwa wanapelekwa hospital wameteseka na ilikuwa hatihati Sijui Yani .
Wanawake wengine walikuwa kwenye siku zao wameshindwa kujisitiri utu mwanamke baada ya masaa kuwa mengi kupitiliza, wamenajisika vibaya sana.
Walokuwa wakienda kuwahi kuzika wapendwa wao je ?

Walokuwa wakiwahi deal za ahadi ya hela je ?
Malori yalokuwa yamebeba perishable goods je ?

Hasara hiyo ya mamilioni kama sio bilion inabidi Serikali au walisababisha huo uzembe wawalipe wananchi haraka sana.
 


Sizani kama kuna nchi nyingine yoyote Duniani wanaweza wakaruhusu uzembe wa namna ile kufanyika isipokuwa bongo pekee.
 

Hivi jeshi la JKT na JW lenyewe limekuwa likiajiri watu ambao wanajua ku-reason?
Au ndio yaleyale ya form four failures kama kawaida ?
Ambae yuko aware atujulishe tafadhali.

Maana hii ni shida wananchi tunapata.
 


Unafanya maamuzi kwa kujiangalia mwenyewe bila kupima kwa mbele madhara yanayoweza kujitokeza kwa wananchi kwa uamuzi wako?
 

Uzoefu unaonesha kuna kada Viongozi wa taasisi wengi elimu zao ni za kuungaunga.
Hii ni shida ingine.
Hawa huwa hawana ile pure mindset transformation.
Wengi wanakuwa na inferiority complex inside na kuona wengine ni threats kwao always.
Hawa huwa ni wabovu kwenye kufanya maamuzi sahihi.
Uwezo wa ku reason mambo huwa hawana.
Kuangalia nje ya box hawawezi.
Shida huja kwa wananchi ndio tunakuwa victims wa hayo maamuzi mabovu 😏😏
Jamani kila mmoja wetu tuazimie mambadiliko ya mifumo ikiwemo mfumo wa elimu , ajira na jinsi ya kupata Viongozi n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…