Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tangu nipate akili sijawahi kuona Timu ya taifa letu ikila kichapo cha mbwa mwizi kama hiki , unalipwa hela nyingi ili ufanye kazi lakini umeshindwa , tungeweza kufungwa ila si kwa kipigo cha kufedhehesha namna hii , ondoka mwenyewe usisubiri maandamano , umeshindwa mkuu .