Mkwasa jiuzulu mwenyewe, usisubiri kutimuliwa

Mkwasa jiuzulu mwenyewe, usisubiri kutimuliwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tangu nipate akili sijawahi kuona Timu ya taifa letu ikila kichapo cha mbwa mwizi kama hiki , unalipwa hela nyingi ili ufanye kazi lakini umeshindwa , tungeweza kufungwa ila si kwa kipigo cha kufedhehesha namna hii , ondoka mwenyewe usisubiri maandamano , umeshindwa mkuu .
 
Aibu hii haibebeki , nimeiweka kwenye jukwaa hili kwa vile ni aibu kwa nchi yetu inayoongozwa na wanasiasa .
 
Ukweli ni kua Mkwasa alipewa sifa za Bure uwezo wake mdogo kwenye mechi za kimataifa bado hana mbinu za kuusoma mchezo?na kubadili mchezo halafu wachezaji hawana nidhamu ndio sababu tumepewa kadi nhingi za njano,hio pia inatokana na udhaifu wa kocha ,arudi tu kwenye ligi yetu ya majungu rushwa na fitina huku ndio anaweza
 
Tangu nipate akili sijawahi kuona Timu ya taifa letu ikila kichapo cha mbwa mwizi kama hiki , unalipwa hela nyingi ili ufanye kazi lakini umeshindwa , tungeweza kufungwa ila si kwa kipigo cha kufedhehesha namna hii , ondoka mwenyewe usisubiri maandamano , umeshindwa mkuu .

Hayo maandamano kutoka kwa raia wa nchi gani mkuu?!!ni hawa hawa watanzania au...?!
 
Ukweli ni kua Mkwasa alipewa sifa za Bure uwezo wake mdogo kwenye mechi za kimataifa bado hana mbinu za kuusoma mchezo?na kubadili mchezo halafu wachezaji hawana nidhamu ndio sababu tumepewa kadi nhingi za njano,hio pia inatokana na udhaifu wa kocha ,arudi tu kwenye ligi yetu ya majungu rushwa na fitina huku ndio anaweza
Asante sana .
 
Kosa ana tatizo wala nn ...Soka letu lipo chino xn
Arsenal alipigwa 8
Brazil alichapwa 7
Itakua Staz bhana
Tujipange
 
Watanzania tuna matatizo, Mkwasa juzi alikuwa Kocha mzuri ila leo hafai.
 
Hayo maandamano kutoka kwa raia wa nchi gani mkuu?!!ni hawa hawa watanzania au...?!
Magari ya maji ya kuwasha yanahusu mambo ya siasa tu mkuu , huku kwenye soka hakuna , mara ngapi umeona marefa wakidundwa pale shamba la bibi , uliwahi kuona washawasha ?
 
Watanzania tuna matatizo, Mkwasa juzi alikuwa Kocha mzuri ila leo hafai.

Waliomsifia Mkwasa ni kwa ushabiki wa Yanga na Simba,ila kwa mtu anaejua mpira na mfuatiliaji wa mpira anajua Mkwasa hana ubavu kwenye mechi za kimataifa,hio Malawi tu ilikua kubahatisha tu
 
Kosa ana tatizo wala nn ...Soka letu lipo chino xn
Arsenal alipigwa 8
Brazil alichapwa 7
Itakua Staz bhana
Tujipange
Bila shaka wewe si mzalendo , arsenal haijawahi kuwa timu ya taifa , baada ya kichapo cha brazil hakuna anayemtaka scolari kuwa kocha hata wa bonanza .
 
Mpira wa nchi hii, eti uwanja wa Taifa unaitwa Benjamin Mkapa, sijui ndio mganga wa timu. Timu ya Taifa haiwezi kuwa serious issue hats siku moja. Huu Ni mwanzo Tu huko tonakoelekea tutafungwa 30 - 0.
 
Waliomsifia Mkwasa ni kwa ushabiki wa Yanga na Simba,ila kwa mtu anaejua mpira na mfuatiliaji wa mpira anajua Mkwasa hana ubavu kwenye mechi za kimataifa,hio Malawi tu ilikua kubahatisha tu

Ukiacha Maximo bora ya Mkwasa kuliko hao wazungu waliokuwa wanakula hela za bure, Taifa Stars ya Mkwasa inacheza vizuri sana nyumbani tena soka la kushambulia (Nigeria, Malawi na Algeria ) tatizo kubwa Mkwasa anashindwa kupanga mfumo mzuri wa kucheza mechi za ugenini
 
Watanzania tuna matatizo, Mkwasa juzi alikuwa Kocha mzuri ila leo hafai.

Na hapo kuna wambea Shafii Dauda na mwenzake kumwembe......ngoja usikie watakavyotokwa povu utadhani Mkwasa ndio kocha wa kwanza kufungwa duniani.......mi nakereka balaa.
 
Back
Top Bottom