Jackquelyne
New Member
- Nov 12, 2015
- 1
- 0
Kwa kweli mi mwenyewe nilihamasika kuangalia game but leo ndio mwisho wa kuangalia. Taifa stars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli Mkwasa uwezo wake mdogo ndio maana yanga walimpa ukocha usaidizi lakini mbali ya mkwasa mwingine wa kubeba lawama ni malinzi hii timu ilikuwa inafanya vizuri chini ya kim poulsen yeye akakurupuka na kuleta kocha bomu ndio hapo wapika majungu wakapata nafasi ya kupiga debe kocha awe mzalendo,halafu atueleze hiyo kamati tuliyounda imetusaidia niniwakati tuna cheza na malawi mechi zote mbili algeria walituma mtu wao kutusoma na kujua mapungufu yetu isi tulibaki na kuunda kamati
Tangu nipate akili sijawahi kuona Timu ya taifa letu ikila kichapo cha mbwa mwizi kama hiki , unalipwa hela nyingi ili ufanye kazi lakini umeshindwa , tungeweza kufungwa ila si kwa kipigo cha kufedhehesha namna hii , ondoka mwenyewe usisubiri maandamano , umeshindwa mkuu .
Tangu nipate akili sijawahi kuona Timu ya taifa letu ikila kichapo cha mbwa mwizi kama hiki , unalipwa hela nyingi ili ufanye kazi lakini umeshindwa , tungeweza kufungwa ila si kwa kipigo cha kufedhehesha namna hii , ondoka mwenyewe usisubiri maandamano , umeshindwa mkuu .
Timu imepigwa kwa kiwango cha aibu bado mnataka tumchekee kocha ?Mnaomlaumu kocha Mkwassa kwa matokeo mabaya ya timu ya Taifa hamjui historia ya michezo nchini kwa ujumla wake. Mlitaka kocha afanye nini au miujiza ga
ni lini Tz imewahi kutandikwa kwa kiwango hiki ?Umesema mwenyewe hujawahi kuona timu ikifungwa goli kama hizo!!
hapo inatosha kujua wewe sio shabiki wa mpira wala huujui mpira,timu nyingi tena kubwa kubwa zimepigwa zaidi ya hizo goli,
sijaona sababu ya mkwasa kujiuzulu kwa hicho kipigo,kama tungekuwa tumefungwa hizo bao na comoro au Djibout hapo sawa,Algeria ni timu bora kabisa kwa afrika ,hata brazil angekuwa anacheza nao basi hana uhakika wa kuwafunga 100%