Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

Lakini hiyo haitoi ukweli kuwa Utumwa unapigwa zaidi vita Ulaya kuliko sehemu nyingine yote duniani. Ulichokiweka hapo kinaunga mkono baadhi ya comment iliyoonyesha kina Abushiri na Mkwawa na waarabu hawakupenda biashara iishe.

Siku zote wazungu hawawezi kuwa Kafir angalia yanayotokea mashariki ya kati wakimbizi wote wanapita nchi tajiri kama Saudia kuwsit Qatar wananusuru maisha waende Ulaya na wakifika wanapewa hifadhi nzuri na baadae wanajifanya wanataka haki kuanzisha misikiti nchi za watu na wsnaruhusiwa. Nchi gani ya kiarabu itakuruhusu ujenge utitiri wa makanisa.

Huo ndiyo ukweli lakini hutaki kuusikia. Mimi siyo muumini wa dini hizi za kuletwa ila nawashangaa sana mnaowstetea waarabu kwa kisingizio cha dini. Ha wanyama hawana dini ni washenzi tu.
 
Lakini hiyo haitoi ukweli kuwa Utumwa unapigwa zaidi vita Ulaya kuliko sehemu nyingine yote duniani. Ulichokiweka hapo kinaunga mkono baadhi ya comment iliyoonyesha kina Abushiri na Mkwawa na waarabu hawakupenda biashara iishe.

Siku zote wazungu hawawezi kuwa Kafir angalia yanayotokea mashariki ya kati wakimbizi wote wanapita nchi tajiri kama Saudia kuwsit Qatar wananusuru maisha waende Ulaya na wakifika wanapewa hifadhi nzuri na baadae wanajifanya wanataka haki kuanzisha misikiti nchi za watu na wsnaruhusiwa. Nchi gani ya kiarabu itakuruhusu ujenge utitiri wa makanisa.

Huo ndiyo ukweli lakini hutaki kuusikia. Mimi siyo muumini wa dini hizi za kuletwa ila nawashangaa sana mnaowstetea waarabu kwa kisingizio cha dini. Ha wanyama hawana dini ni washenzi tu.
Rudi kwenye mada. Unaharibu kwa makusudi mada ya watu kwa kuwa tu historia imekupiga chenga au majina hujayapenda.
 
Dada yangu hua nasoma mada zako nyingi za kisiasa na general knowledge umebobea na hua napenda sana maana inaonyesha ni learned person ila una tatizo moja kubwa udini umekukaa sana kiasi kwamba hata hizo hapo juu ulizonazo zinatoweka likija suala la kujadili masuala yanayohusu waarabu.

Wasiwasi wangu ni moja sababu sikufahamu inawezekana wewe ni Muarabu hivyo unawalinda ndugu zako ama umeolewa na mwarabu unawalinda wanao na mumeo.

Mimi nina rafiki ni first generation Tanzanian lakini wazazi wake ni waarabu 100% mawazo yake yanatofautiana na wewe. Anasema ni washenzi sana. Sababu familia yake ilimpeleka akaishi huko na alikua anabaguliwa utadhani siyo muarabu mwenzao
 
Rudi kwenye mada. Unaharibu kwa makusudi mada ya watu kwa kuwa tu historia imekupiga chenga au majina hujayapenda.
Mada wameiharibu walioingiza dini wewe ukiwa mmojawapo. Maana mtu akiwrka neno muarabu unaingiwa na kiwewe kama wenzako wakristu na wayahudi.
 
Dada yangu hua nasoma mada zako nyingi za kisiasa na general knowledge umebobea na hua napenda sana maana inaonyesha ni learned person ila una tatizo moja kubwa udini umekukaa sana kiasi kwamba hata hizo hapo juu ulizonazo zinatoweka likija suala la kujadili masuala yanayohusu waarabu.

Wasiwasi wangu ni moja sababu sikufahamu inawezekana wewe ni Muarabu hivyo unawalinda ndugu zako ama umeolewa na mwarabu unawalinda wanao na mumeo.

Mimi nina rafiki ni first generation Tanzanian lakini wazazi wake ni waarabu 100% mawazo yake yanatofautiana na wewe. Anasema ni washenzi sana. Sababu familia yake ilimpeleka akaishi huko na alikua anabaguliwa utadhani siyo muarabu mwenzao
Fungulia uzi.

Wachana na mimi. Jibu hoja zangu.

Hii mada na huo utumbo wako vina uhusiano upi?
 
Mada wameiharibu walioingiza dini wewe ukiwa mmojawapo. Maana mtu akiwrka neno muarabu unaingiwa na kiwewe kama wenzako wakristu na wayahudi.
Wewe utakuwa na matatizo. Lete habari zilizo kwenye mada.

Ukiona Uislam, Muislam, hata jina tu la Kiislam basi maradhi ya moyo yanakuanza.

Umeisoma mada?
 
Utakuwa kichaa km wengine,wala sina haja ya kusoma ulichoandika au kunukuu.Nikisoma juu na nikisoma chini.Ni wazi umekuja kuwaokoa waarabu ukidhani unaokoa dini. Km unamtetea sultani itabidi utueleze bagamoyo na zenj yale masoko yalikuwa yanauza nini tende? Logically nikipoteza muda na wewe ni km wengine ambao huja,na kupoteza muda kisha wanapotea bila kuaga. Umingia km mjuaji ila ulichokimbilia kinakuacha uchi na kukuonyesha wewe ni msomi wa pose na sauti kubwa huko uswazi.Ni aina ya watu wanaochagua jukwaa la watu wako wenye fikra na matamanio kama yako.
Ha ha ha
 
TITO 2
9 Watumwa na wawatii bwana zao, wakiwapendeza katika mambo yote; wasiwe wenye kujibu,
10 wasiwe waibaji; bali wauonyeshe uaminifu mwema wote, ili wayapambe mafundisho ya Mwokozi wetu Mungu katika mambo yote.

EFESO 6:5
5 Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba ni kumtii Kristo;

Walawi 25:44
44 Tena katika habari za watumwa wako na wajakazi wako, utakaokuwa nao; mataifa walio kando-kando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi.
45 Tena katika wana wa wageni wakaao kati yenu mtajinunulia, na katika jamaa zao walio pamoja nanyi, waliowazaa katika nchi yenu; wao watakuwa milki yenu.
 
Mambo ya walawi 44
Utawachukua watumwa wa kike na wa kiume kutoka katika mataifa jirani, unaweza kumnunua mtumwa wa kiume au wa kike kutoka katika mataifa hayo. 45 Pia unaweza kununua watumwa kutoka miongoni mwa wana wa wageni wanaoishi nawe na kutoka kati ya watu wa familia zao waliozaliwa katika nchi yenu, nao watakuwa mali yako
 
Hivi huwa kuna haja ya kuwaenzi hawa jamaa kam a mashujaa?

Binafsi mimi huwa naona ni wahalifu tu kama wengine maana walitumia nafasi zao kuuza watanzania wenzao na kuuza rasilimali za uma.

Hasa huyu kinjekitile ngwale,alijua kabisa maji yake hayawezi badili risasi kuwa maji lakini aliendelea kuwadanganya raia hadi kukubali kupigana vita iliyogharimu maisha ya wengi.

Sasa mlaghai,tapeli kama huyu tunafundisha watoto wetu mashuleni kuwa alikuwa shujaa,KIVIPI?!!

Huwa nawaza kuwa hata historia za nchi zetu zimeandikwa na hao waliotutala kwahiyo kuna mambo wameandika/wameficha kwa manufaa wanayoyajua wao.

Tuanze kampeni ya KUWAFILISI mali koo zote za hao waliojiita MACHIFU....mali zirudishwe serikalini mara moja na mchakato uanzie mahakamani...kama kuna familia ina ushahidi wa kuporwa,kuuziwa au kunyanyaswa kwa namna yeyote ile na hizi tawala DHALILI za akina mkwawa zipeleke mahakamani mchakato uanze mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huwa kuna haja ya kuwaenzi hawa jamaa kam a mashujaa?

Binafsi mimi huwa naona ni wahalifu tu kama wengine maana walitumia nafasi zao kuuza watanzania wenzao na kuuza rasilimali za uma.

Hasa huyu kinjekitile ngwale,alijua kabisa maji yake hayawezi badili risasi kuwa maji lakini aliendelea kuwadanganya raia hadi kukubali kupigana vita iliyogharimu maisha ya wengi.

Sasa mlaghai,tapeli kama huyu tunafundisha watoto wetu mashuleni kuwa alikuwa shujaa,KIVIPI?!!

Huwa nawaza kuwa hata historia za nchi zetu zimeandikwa na hao waliotutala kwahiyo kuna mambo wameandika/wameficha kwa manufaa wanayoyajua wao.

Tuanze kampeni ya KUWAFILISI mali koo zote za hao waliojiita MACHIFU....mali zirudishwe serikalini mara moja na mchakato uanzie mahakamani...kama kuna familia ina ushahidi wa kuporwa,kuuziwa au kunyanyaswa kwa namna yeyote ile na hizi tawala DHALILI za akina mkwawa zipeleke mahakamani mchakato uanze mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anza wewe kwenda Mahakamani .sisi kwetu Kinjekitile ni SHUJAA
 
Back
Top Bottom