Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

Trans Atlantic slave trade

Maviwanda kule marekani ni akina nani walikuwa wanafanya kazi .


Mikazi mingumu ya mjerumani ,muingereza ni nani alikuwa anafanya

Wazungu walikuwa wanaleta bidhaa kwa machifu wenu ili wawanunue watu waende kufanyishwa mikazi

Halafu Leo hii unawatetea asee

Africa ni mutoto ya muzungu kweli
Waafika hawakuchukuliwa utumwa kwenda ulaya bali marekani wakati huo inaitwa virgin land ambako shughuli za kilimo zilishamili. Katika mataifa ya ulaya ni ufaransa pekee ambako waafrika walikuwa wanaingia kirahisi(zingatia mfamo wao wa ukoloni) ndio maana nchi nyingi za ulaya hazina waafrika wengi isipokuwa ufaransa. Wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu na waarabu walinunua toka kwa machifu, watemi na masultani. Sasa aliyetusaliti hapo ni nani? Hv ukitendewa ubaya na mtu anayekufahamu na mgeni toka mbali wapi utajisikia vibaya zaidi? Tusiwatetee hawa wachumia tumbo wa kipindi hicho
 
Waafika hawakuchukuliwa utumwa kwenda ulaya bali marekani wakati huo inaitwa virgin land ambako shughuli za kilimo zilishamili. Katika mataifa ya ulaya ni ufaransa pekee ambako waafrika walikuwa wanaingia kirahisi(zingatia mfamo wao wa ukoloni) ndio maana nchi nyingi za ulaya hazina waafrika wengi isipokuwa ufaransa. Wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu na waarabu walinunua toka kwa machifu, watemi na masultani. Sasa aliyetusaliti hapo ni nani? Hv ukitendewa ubaya na mtu anayekufahamu na mgeni toka mbali wapi utajisikia vibaya zaidi? Tusiwatetee hawa wachumia tumbo wa kipindi hicho
ni maana ya Trans Atrantic Slave trade? je Warabu walikuwapo kule
 
Umeelezea vzr ila tukubaliane hawa machifu hawakuwa na lengo la kumkomboa mwafika bali kulinda biashara na tawala zao zisitekwe na wazungu

Upo sahihi upande mmoja ,na ukumbuke kuwa utumwa ulishapigwa marufuku mwaka 1875 na soko kuu la Zanzibar lilishafungwa zamani hizo kabla ya vita vya majimaji vya 1905,ni miaka zaidi ya 30,iweje muunganishe dot ?

Mi bado nakataa kuwa walikuwa wanapigana kwajili ya kulinda biashara ya utumwa.
 
Upo sahihi upande mmoja ,na ukumbuke kuwa utumwa ulishapigwa marufuku mwaka 1875 na soko kuu la Zanzibar lilishafungwa zamani hizo kabla ya vita vya majimaji vya 1905,ni miaka zaidi ya 30,iweje muunganishe dot ?

Mi bado nakataa kuwa walikuwa wanapigana kwajili ya kulinda biashara ya utumwa.
Ndio maana walimwambia mtoa post aweke ushahidi wa vitabu alivyosoma kwanza
 
ni maana ya Trans Atrantic Slave trade? je Warabu walikuwapo kule
Kwani lazima wawepo upande huo ndio washiriki utumwa.Waliocross Atlantic walikwenda ktk makazi mapya bara America(Kaskazini, caribean, and south amerika).Point yako nini mkuu?
 
Waafika hawakuchukuliwa utumwa kwenda ulaya bali marekani wakati huo inaitwa virgin land ambako shughuli za kilimo zilishamili. Katika mataifa ya ulaya ni ufaransa pekee ambako waafrika walikuwa wanaingia kirahisi(zingatia mfamo wao wa ukoloni) ndio maana nchi nyingi za ulaya hazina waafrika wengi isipokuwa ufaransa. Wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu na waarabu walinunua toka kwa machifu, watemi na masultani. Sasa aliyetusaliti hapo ni nani? Hv ukitendewa ubaya na mtu anayekufahamu na mgeni toka mbali wapi utajisikia vibaya zaidi? Tusiwatetee hawa wachumia tumbo wa kipindi hicho
Hawa machief ndio walifacilitate zaidi .Mbaya zaidi kwa wapuuzi km akina Mkwawa walishawishika hadi kuuza walinzi wao wenye nguvu flow ilivyokata.
 
Upo sahihi upande mmoja ,na ukumbuke kuwa utumwa ulishapigwa marufuku mwaka 1875 na soko kuu la Zanzibar lilishafungwa zamani hizo kabla ya vita vya majimaji vya 1905,ni miaka zaidi ya 30,iweje muunganishe dot ?

Mi bado nakataa kuwa walikuwa wanapigana kwajili ya kulinda biashara ya utumwa.
Utumwa ulipigwa marufuku ktk pwani ya East Africa ila bado waingereza na manuwari zao walikuwa wakishika majahazi ya waarabu baharini yakiwa na watumwa.Mbaya zaidi, hata wamissionary waliowanunua watumwa ili wawaache huru waarabu hawakuheshimu hao watu waliwashika tena na kwenda wauza..Hata vitabu vya kibongo ukisoma between lines hawakuweza ficha kila kitu kuhusu abushiri, kinje kuuza watumwa. Mkwawa na Milanbo wote walikuwa ktk fron line na facilitator wakubwa wa hiyo biashara.
 
Ndio maana walimwambia mtoa post aweke ushahidi wa vitabu alivyosoma kwanza
Haha.Km hujasoma vitabu vya kibongo vyema,nikikupa vya wengine si utaanza sema huviamini?Utaleta ya wenzetu, wanaposhikwa na kitu kinachohitaji ushahidi wa Biblia wanasema Biblia haiminiki.
 
Haha.Km hujasoma vitabu vya kibongo vyema,nikikupa vya wengine si utaanza sema huviamini?Utaleta ya wenzetu, wanaposhikwa na kitu kinachohitaji ushahidi wa Biblia wanasema Biblia haiminiki.
Nashukuru mzee hajakujibu kwa up unzip
 
Labda tusaidiane kidogo kuweka rekodi sawa,kwanza na declare sina interest na dini yoyote zilizoletwa na wageni, haya turudi kwenye mada sasa, ni hivi katika suala la biashara ya utumwa,uislamu au dini ya kiislamu imehararishwa hadi kwenye kitabu chao,na waliochangia kukomesha biashara ya utumwa na wamissionari wa kikristo,waislamu hawakupendezwa na hili na pamoja na kwamba ilishapigwa marufuku waarabu na waarabu weusi waliendelea na biashara hii kinyemela...utumwa umemdhalilisha sana mtu mweusi kiasi kwamba leo hii tuko hivi kwa sababu ya utumwa pamoja na kwamba kuna sababu zingine zimechangia.
Hebu lete aya inayohalalisha biashara ya utumwa
 
Na matokeo ya hao wamisionary tunayajua hakuna aliekuwa mwema kati ya hao wazungu na warabu walinunua watumwa na kuwaacha huru ili kuwaaminisha wao ni wema na warabu waliwatumia machifu wakiwaahidi kulinda tawala zao baada ya biashara ya utumwa kuisha kilichofata ni ukoloni nani asiyejua walicho fanya hao wazungu
 
Walimu walitusuga kumbe nyuma ya pazia ndio kuna haya ya uhalisia wao
 
Na matokeo ya hao wamisionary tunayajua hakuna aliekuwa mwema kati ya hao wazungu na warabu walinunua watumwa na kuwaacha huru ili kuwaaminisha wao ni wema na warabu waliwatumia machifu wakiwaahidi kulinda tawala zao baada ya biashara ya utumwa kuisha kilichofata ni ukoloni nani asiyejua walicho fanya hao wazungu
Wamissionary walinunua na waliowanunua waliwaachia huru au kuwafanya waumuni wa kwanza ktk maeneo yao.Historia pia inasema ,historia inayonyesha wamissionary waiwanunua Kwa waarabu zenji na bara, ili wawe huru au kuwatumia km waumini na watawa wa mwanzo,hivyo hivyo kwa Amerika. America walipewa karatasi ya kutembea nayo kwa vile wauza watumwa wakimwona mtu mweusi bila master walitamani mkamata km vile swali aliyejileta mjini. America ni kwamba mtumwa mwenye kibali cha master alipata mateso ya weupe waliojisikia kumpiga km waafrica waonapo mbwa koko mitaani hujisikia kumpiga ila sababu. Kwa waarabu ilikuwa tofauti, hawakuheshimu makubaliano ya wakati ule, wao waliwaiaba na kuwauza tena. Ukiwa unaongea kuhusu watu weupe na waarabu,uujue tofauti ya makabaila na wamissionary.Kwa waarabu wote walikuwa dini moja na utamaduni mmoja bila itikadi nyingine tofauti.
 
udini upi zaidi ya waliofanya hawa jamaa?Udini upi unataka jificha nyuma yake kukwepa ukweli?kasome vitabu vyote duniani vyenye(Maana) visivyo vya madafu.km hukuta waafrica walioshirikiana na waarabu kuuza wengine na wote walihalalisha kwa kuwashika wasio na dini yao.Na Mkwawa .Abushuri, Kinje, Mirambo, etc walikuwa wauzaji wakubwa na walikuwa na shida na wamissionary na kuna mara waliwashika wanafunzi wa wamissionary(wakristu) hata wale ambao walikuwa wamekombolewa kwa kununuliwa na hao wamissionary jamaa waliwashika tena na kuwapeleka sokoni.Halafu Mkwawa kwa ushenzi mwarabu kwa ushetanni wake alishawishi auze askari wake akauza.Kinje kawaulize wamalawi wanatuchukia nini?Km si wayao ambao waliongozwa na huyo jamaa kuwashika wanyasa?Wamanyema kilichowaleta dar ni nini?
Hivi ulaya na Asia wapi kuna waafrika wengi
 
Ningependa jua tena ushujaa wa hawa tunaoaambiwa ni mashujaa.Hata leo nimemsikia Kingunge akiwaongelea.Bahati nzuri kasema nilichowahi sena hapa...ALIWAPIGA WAJERUMANI WAKAKIMBILIA DAR,WAKARUDI NDIO WAKAWASHINDA...Mzee km alikuwa hajui anachoongea,Mkwawa na wenzie waliwapiga wamisionary waliojaribu zuia biashara ya utumwa,wamaissionary walipokwenda shitaki ktk serikali ya kikoloni wakaja askari na kuwashinda hawa wauza watumwa?Swali nililopenda uliza KWANINI KINJE NA MKWAWA HAWAKUITWA MAJINA YAO YA KIGENI NA utangulizi wao?
Wamishionari walikuja kwa malengo ya wizi wa rasilimali
 
Walimu walitusuga kumbe nyuma ya pazia ndio kuna haya ya uhalisia wao
walimu wenyewe ndio hao sensitive hivyo ukiwauliza swali gumu wanakuwa mbogo na maisha yako ya shule yatakuwa magumu km jehanum. Walimu wenyewe ni wa kupokea maagizo tuu na kukaa vikao vya kufikiri kupandishwa vyeo?
 
Hivi ulaya na Asia wapi kuna waafrika wengi
What if wingi utamaanisha kwamba mazingira waliyoenda yaliwasitawisha na mengine walikwenda wekwa mazingira ya kuwamaliza? Kuna nchi zilianza hofia uzao wa watu weusi na wanawake zao, na wengine waliwaua watoto waliozaliwa toka kwa uzao wa wanaume zao baada ya kuwabaka weusi.Na zipo nchi zilinunua wanaume tuu. Itasaidiaje km unataka tumia wingi km ushahidi kwamba ndipo watumwa walienda?
 
Back
Top Bottom