Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

iman za0 zlikuwa za miungu
Mkuu una hakika?Watz mna majibu marahisi sana,ndio maana hata wanasiasa wenu wanaonega watakacho na kuitwa kweli,hivyo hivyo wasomi waliowaandikia vitabu ni hivyo hivyo. Abushiri ,Mkwawa,Kinjekitile walikuwa na dini mkuu...na majina mazuri ya kiarabu.
 
Mkuu una hakika?Watz mna majibu marahisi sana,ndio maana hata wanasiasa wenu wanaonega watakacho na kuitwa kweli,hivyo hivyo wasomi waliowaandikia vitabu ni hivyo hivyo. Abushiri ,Mkwawa,Kinjekitile walikuwa na dini mkuu...na majina mazuri ya kiarabu.
Dini gani
 
"hembu" ni sawa na "hebu"?
Kiswahili kina mengi hayajapata muafaka na hivyo ni mtumiaji kuamua tumia apendalo. Hujawahi MSIKIA MWINYI NA 'NAKUPONGEZENI' na "NAWAPONGEZENI"? In fact hilo si muhimu km unajua unachotaka changia.Kwa vile huna cha maana ndio maana unapoteza sana muda kwa side issues.Ukitoka hapo ndio nitolee hurudi tena.
 
Waafika hawakuchukuliwa utumwa kwenda ulaya bali marekani wakati huo inaitwa virgin land ambako shughuli za kilimo zilishamili. Katika mataifa ya ulaya ni ufaransa pekee ambako waafrika walikuwa wanaingia kirahisi(zingatia mfamo wao wa ukoloni) ndio maana nchi nyingi za ulaya hazina waafrika wengi isipokuwa ufaransa. Wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu na waarabu walinunua toka kwa machifu, watemi na masultani. Sasa aliyetusaliti hapo ni nani? Hv ukitendewa ubaya na mtu anayekufahamu na mgeni toka mbali wapi utajisikia vibaya zaidi? Tusiwatetee hawa wachumia tumbo wa kipindi hicho
PortCities Bristol
Merchant's diary sheds new light on slave trade Bristol merchant Cranfield Becher's notebook shows how slaves were treated | Daily Mail Online
 
Kwani lazima wawepo upande huo ndio washiriki utumwa.Waliocross Atlantic walikwenda ktk makazi mapya bara America(Kaskazini, caribean, and south amerika).Point yako nini mkuu?
Kama hujui ni bora ukae kimya. Utumwa wa Transatlantic ulifanywa na missionaries na wafanya biashara wa nchi za,magharibi. Ulaya hawakuwako waafrika wengi sababu. Wazungu walshagawana mashamba katika visiwa vya Carribean, Pacific n East and West Indies. Zikiwemo America ya Kusini hasa Brazil. Marekani haikuitwapo Virgin land ikiitwa New Foundland.

Bristol merchant Cranfield Becher's notebook shows how slaves were treated | Daily Mail Online

Soma habari za hii kampuni ya uko wa Ufalme wa UK:
b5eeb1fa8bd618adcef483454f2d3290.jpg


The Royal Africa Company iliasisiwa mwaka 1660
Hawa walikuwa na monopoly ya kuingiza na kuuza watumwa nchini Uingereza na hasa Bristol kiasi kwamba katika karne ya 13 kukawa na malalamiko makubwa kutoka kwa Umoja wa Wafanya Biashara uloitwa Society of Merchant Ventures. Malalamiko ya kwanini wapewe hao mamlaka pekee ya hiyo biashara.

Sultan wa Oman aliingia East Cost of Africa katika 1729 na kuwamaliza wareno walokuwa wakitesa, kuwauwa na kuwanyanyasa wenyeji wa Afrika Mashariki kuanzia Mombasa mpaka Msumbiji.
 
Kama hujui ni bora ukae kimya. Utumwa wa Transatlantic ulifanywa na missionaries na wafanya biashara wa nchi za,magharibi. Ulaya hawakuwako waafrika wengi sababu. Wazungu walshagawana mashamba katika visiwa vya Carribean, Pacific n East and West Indies. Zikiwemo America ya Kusini hasa Brazil. Marekani haikuitwapo Virgin land ikiitwa New Foundland.

Bristol merchant Cranfield Becher's notebook shows how slaves were treated | Daily Mail Online

Soma habari za hii kampuni ya uko wa Ufalme wa UK:
b5eeb1fa8bd618adcef483454f2d3290.jpg


The Royal Africa Company iliasisiwa mwaka 1660
Hawa walikuwa na monopoly ya kuingiza na kuuza watumwa nchini Uingereza na hasa Bristol kiasi kwamba katika karne ya 13 kukawa na malalamiko makubwa kutoka kwa Umoja wa Wafanya Biashara uloitwa Society of Merchant Ventures. Malalamiko ya kwanini wapewe hao mamlaka pekee ya hiyo biashara.

Sultan wa Oman aliingia East Cost of Africa katika 1729 na kuwamaliza wareno walokuwa wakitesa, kuwauwa na kuwanyanyasa wenyeji wa Afrika Mashariki kuanzia Mombasa mpaka Msumbiji.
Utakuwa kichaa km wengine,wala sina haja ya kusoma ulichoandika au kunukuu.Nikisoma juu na nikisoma chini.Ni wazi umekuja kuwaokoa waarabu ukidhani unaokoa dini. Km unamtetea sultani itabidi utueleze bagamoyo na zenj yale masoko yalikuwa yanauza nini tende? Logically nikipoteza muda na wewe ni km wengine ambao huja,na kupoteza muda kisha wanapotea bila kuaga. Umingia km mjuaji ila ulichokimbilia kinakuacha uchi na kukuonyesha wewe ni msomi wa pose na sauti kubwa huko uswazi.Ni aina ya watu wanaochagua jukwaa la watu wako wenye fikra na matamanio kama yako.
 
Wanabodi si mbaya tukiangalia kwa makini hao mashujaa wetu na wapigania uhuru tunaoambiwa na historia ktk vitabu vyetu:

-Historia haisemi vyema sana hawa jamaa walifanya biashara gani ya kuwapatia hela za kugharamia vita.

-Pia historia haisemi malengo makuu ya hizo vita,na maadui wakuu walikuwa akina nani.

-Pia historia haisemi vyema majina yao na imani zao na vipawa vingine walivyokuwa nao hawa mashujaa tunaowambia na utaalamu wao kisiasa na kijeshi.
Kwahiyo kwa kifupi unakubaliana na Mohammed Said kwamba historia tunayofundishwa mashuleni ina mapungufu sana. Yaani ukweli mwingi umefichwa.

Ila tofauti yako na Mohammed Said ni kwamba wewe una version yako ambayo ndy sahihi zaido japo hujaifanyia uhariri wala documentation yeyote kuliko ile version ya Mohammed Said.

Na kwa kiasi kikubwa sana mnafatana sambasamba na Mohammed Said sababu hata yeye anatambua kuwa hao uliowataja walikua Waislamu.

Ila tofauti yako na Mohammed Said ni kwamba wewe wasema kwamba hao walioanzisha hizo vita sababu kubwa ilikuwa ni baada ya Wazungu (Wakristo) kupinga biashara ya utumwa ambayo wao (uliowataja) walikua wananufaika nayo. Yeye Mohammed Said halizungumzii hilo kabisa na historia ya mashuleni halizungumzii hivyo.

Na wewe una amini kabisa hao (uliowataja) walifanya hiyo biashara kwa sababu ya dini yao (Uislamu) iliruhusu hiyo biashara.Na wale wazungu waliokua wanapinga hiyo biashara. Kilichofanya wapinge na kusitisha hiyo biashara ni dini yao (Ukristo).



.....

Kwa sasa nakuacha utafakari hayo kwanza.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi si mbaya tukiangalia kwa makini hao mashujaa wetu na wapigania uhuru tunaoambiwa na historia ktk vitabu vyetu:

-Historia haisemi vyema sana hawa jamaa walifanya biashara gani ya kuwapatia hela za kugharamia vita.

-Pia historia haisemi malengo makuu ya hizo vita,na maadui wakuu walikuwa akina nani.

-Pia historia haisemi vyema majina yao na imani zao na vipawa vingine walivyokuwa nao hawa mashujaa tunaowambia na utaalamu wao kisiasa na kijeshi.
Umesoma shule kweli?
Ungesoma usingeuliza mswali haya, syllabus ya Form I~III.
 
Ningependa jua tena ushujaa wa hawa tunaoaambiwa ni mashujaa.Hata leo nimemsikia Kingunge akiwaongelea.Bahati nzuri kasema nilichowahi sena hapa...ALIWAPIGA WAJERUMANI WAKAKIMBILIA DAR,WAKARUDI NDIO WAKAWASHINDA...Mzee km alikuwa hajui anachoongea,Mkwawa na wenzie waliwapiga wamisionary waliojaribu zuia biashara ya utumwa,wamaissionary walipokwenda shitaki ktk serikali ya kikoloni wakaja askari na kuwashinda hawa wauza watumwa?Swali nililopenda uliza KWANINI KINJE NA MKWAWA HAWAKUITWA MAJINA YAO YA KIGENI NA utangulizi wao?
hujaeleweka nenda ktk point unataka nini upewe
 
Jamaa walikuwa na iman nyuma yao ambayo ilihallaisha hilo jambo.Ndio maana badala ya kuona aibu na huruma na kujitoa waliamua pigana vita ili kulinda biashara hiyo..Ndio iliwaleta wayao, wamanyema, na wengine pwani ya Africa Mashariki.

Wamalawi wanatuchukia sana kwa vile wanakumbuka babu zao walivyouzwa na wayao,na makabila mengine toka Tanzania.
bible ndio imehalalisha utumwa maana hata kule America wakitumia hiyo ili kuwalimisha mashambani mwao
 
Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo
Kila mmoja alikuwa tofauti, sioni walikuwa na mawazo ya pamoja. Hawakujuana katika historia. Ushujaa si swali la historia. Kumwita au kutomwita mtu shujaa ni azimio la wengine wa baadaye, kwa kawaida kutokana na mahitaji yao.

Mkwawa: alikuwa mkuu wa Wahehe, aliwahi kufaulu kuendesha vita na kupora majirani na kulazimisha waendesha misafara waliopita katika eneo lake kutoa "hongo" zaani namna yao ya kodi. Wajerumani walipofika na kuenea walikuwa tishio kwake kwa hizo aliwapigania. Kutokana na ujinga wa kamanda Mjerumani Zelewski aliwashinda pale Lugalo 1891, baadaye alishindwa. Soma Mkwawa - Wikipedia, kamusi elezo huru

Kijintikile: Alisimama 1904 dhidi ya majaribio ya Wajerumani ya kuwalazimisha wakazi wa vijiji katika kusini kulima pamba bila malipo. Akatokea kama nabii aliyetabiri Wajerumani watashindwa hivyo akaanzisha vita ya Majimaji. Kwa bahati mbaya dawa lake halikusidia dhidi ya bunduki za rasharasha.
Soma Kinjikitile Ngwale - Wikipedia

Abushiri: hakuwa mfanya biashara ya watumwa; alikuwa na shamba kubwa karibu na Pangani alipolima kwa kutumia nguvu ya watumwa; aliwahi kusafiri na misafara ya biashara hadi maziwa makuu. Alikuwa mpinzani wa Sultani wa Zanzibar (babake alikuwa wa familia ya Waomani ambao hawakubali akina Said waliokuwa masultani) akaona mkataba baina ya Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki na Sultani Khalifa bin Said kuwa bila haki na Sultani kuwa msaliti. Wajerumani walipojaribu mwaka 1888 kuchukua utawala wa pwani pamoja na Pangani Abushiri alifaulu kuwaunganisha wenye mashamba makubwa Waswahili na Waarabu pamoja na machifu kadhaa wa pwani na kuanzisha upinzani dhidi ya kampuni ya Kijerumani. Walifaulu hadi kuteka vituo vya kamuni ya Kijerumani isipokuwa Bagamoyo; hivyo serikali ya Ujerumani iliamua kuingia ila kuepukana na aibu ya kushindwa. 1889 Abushiri alikamatwa na Wajerumani na kunyongwa. Soma Abushiri ibn Salim al-Harthi - Wikipedia, kamusi elezo huru

Mirambo alikuwa mtemi mmojawapo wa Wanyamwezi. Baada ya kutajirika katika biashara ya misafara (pembe za ndovu na watumwa) alijenga jeshi lake na kuwa mtemi mkuu wa Unyamwezi. Alikuwa wa kwanza wa kununua magobori kwa wingi na kujenga jeshi la vijana walioitwa rugaruga. Aliweza kutawala maeneo mengi ambako misafara ilipita iliyolazimishwa kumlipia hongo. Alikufa 1884 kabla ya kufika kwa ukoloni lakini hakufaulu kuanzisha utaratibu wa kudumu; milki yake iliporomoka baada ya kifo chake. soma Mtemi Mirambo - Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Labda tusaidiane kidogo kuweka rekodi sawa,kwanza na declare sina interest na dini yoyote zilizoletwa na wageni, haya turudi kwenye mada sasa, ni hivi katika suala la biashara ya utumwa,uislamu au dini ya kiislamu imehararishwa hadi kwenye kitabu chao,na waliochangia kukomesha biashara ya utumwa na wamissionari wa kikristo,waislamu hawakupendezwa na hili na pamoja na kwamba ilishapigwa marufuku waarabu na waarabu weusi waliendelea na biashara hii kinyemela...utumwa umemdhalilisha sana mtu mweusi kiasi kwamba leo hii tuko hivi kwa sababu ya utumwa pamoja na kwamba kuna sababu zingine zimechangia.
Mkuu umenena kweli Arabuni mbona mwafrika bado mtumwa huzioni video za mateso ya wahudumu wa ndani?

Ulaya pamoja na kuitwa makafir hata mtumishi wa ndani analindwa na katiba.
 
Wanabodi si mbaya tukiangalia kwa makini hao mashujaa wetu na wapigania uhuru tunaoambiwa na historia ktk vitabu vyetu:

-Historia haisemi vyema sana hawa jamaa walifanya biashara gani ya kuwapatia hela za kugharamia vita.

-Pia historia haisemi malengo makuu ya hizo vita,na maadui wakuu walikuwa akina nani.

-Pia historia haisemi vyema majina yao na imani zao na vipawa vingine walivyokuwa nao hawa mashujaa tunaowambia na utaalamu wao kisiasa na kijeshi.
Walikuwa hawataki kutawaliwa na msalaba.
 
Back
Top Bottom