Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

gharama za vita ni visu vya kuchongea upinde na mishale
 
gharama za vita ni visu vya kuchongea upinde na mishale

Siyo kweli. Unaongelea upande wa silaha moja wapo.

Kumbuka wapiganaji walikaa vitani wakipata huduma za vyakula, vinywaji na madawa. Huko hakukuwa na uzalishaji.
 
gharama za vita ni visu vya kuchongea upinde na mishale
Haha, hizo pinde, visu na hata wachongaji wa hiyo mikuki km hawakuwa subcontracted basi walihitai chakula na mazao mbadale kuweza vipata.
 
Ubinafsi, ukatili na roho ya mauaji ya binadamu!. Hakuna zaidi.
Haya yalihalalishwa , kwa imani waliyokuwa nayo hawa akina Abushir, Mkwawa,Kinje and the sort. Walimini hao jamaa hawakuwa na ustaarabu wao basi thamani yao nayo ilikuwa km ya wanyama.
 
Siyo kweli. Unaongelea upande wa silaha moja wapo.

Kumbuka wapiganaji walikaa vitani wakipata huduma za vyakula, vinywaji na madawa. Huko hakukuwa na uzalishaji.
Mkwawa,alipora sana vitu vya wengine,ambao aliwaona km inferior.Mbaya zaidi aliua na nguvu kazi zao. Matokeo yake akawa kaua hiyo project.Unapowahujumu hata watumwa wako wasiweze zalisha ukidhani unaongeza hela na kuwadhoofisha. Haya yote yalikuwa overhead kwa mkwawa aliyeongozwa na imani kwamba wengine ni makafir na hivyo ni bidhaa ambazo atahitaji kuzichukua iwezekanavyo na yeyote atakemzuia ni kwamba anaona wivu au anataka chukua yeye.
 
Huwa najiuliza,
'
Unapoomuuza binadamu mwenzako unakua unafikiria nini?
Imani mbaya huhalalish ana kuhimiza mambo mabaya.Km waafrica walivyoamua kuua albino.
 
Wakati tunaelekea ktk uhuru wa tanzania.Tujiulize hawa wanaoitwa mashujaa walipigana na nani .Na hao alipigana nao walikuwa wakishikilia vipi uhuru wa Tanganyika?
 
Kusema ukweli...katika biashara hii haramu, pande zote tatu hazikimbii lawama...

1. Machifu (waafrika)
2. Wachuuzi (waarabu)
3. Wanunuzi (Wazungu)

Kila upande ulicheza upande wake katika kutimiza biashara hiyo haramu..
Haha, ila umekuwa mbinafsi makusudi utakuwa mnazi fulani. wazungu...waarabu umewaacha wapi,wahindi na waajemi? HIyo propaganda ndio imetumika kuficha hawa machifu.Kwa vile kamwe kuna watu hawataki waarabu waguswe kwa vile itaondoa hii scum ya mashujaa hewa.
 
Pesa...

Pesaaaa.......

Pesaaaaaaaaaa......!!!!
Kuna roho ya kishetani zaidi. Ndio maana Leo wapo wanoaua watu,wanaopigana vita zisizo na malengo na hivyo hazina mwisho. Wengine watakuambia ni Pesaa ila wanaopigana,na kufa wanajua pesa hawatozipata. Ila roho ya damu inawaita kwa nguvu sana.Sababu zote ni uongo,ndio maana wamepigana vita karne na karne hadi kazaliwa adui mwingine.
 
mtu km mimi?Ingekuwa mtu mwingine ungeomba msamaha?Angekuwa wa familia yako,mnaofaidi jasho wa tanzania, kwa sifa ambayo mlifanya kinyume?

Bwana Nicholas narudi tena kukuelimisha vitu vidogo sana ila kwako inaweza kuwa maarifa makubwa.

Naomba uielewe dunia kuwa kuna mabadiliko mbalimbali hutokea kimwili mpaka kiakili,ustaarabu katika dunia nao hubadilika,

Zamani unazoongelea we we ilikuwa kipindi cha utumwa na usidhani kuwa utumwa ulikuwa ulaya au uarabuni tu,hata afrika ulikuwepo hii ilikuwa kipindi cha internationalism,kama unavyoona sasa ni kipindi cha utandawazi

Sheria za kipindi kile zilikuwa zinaruhusu kuwa na watumwa au kuwamiliki watumwa.hii ni biashara ya dunia nzima ,bahati mbaya naamini babu zako walikuwa watu dhaifu wakawa wanabebwa kupelekwa utumwani,naamini hata wamalawi nao wangekuwa organized kama makabila ya akina mkwawa wasingeweza kuepuka hii biashara kuwabeba waliodhaifu zaidi yao.

Tena haikuwa biashara ya utumwa tu kulikuwa kuna pembe za ndovu,ngozi ya chui,kucha za sima na bidhaa mbalimbali ambazo Leo zimepigwa marufuku kipindi hicho ilikuwa ni biashara ya kawaida

Hata dini yako ya myahudi na torati ilikuwa inaruhusu watu kumiliki watumwa na ikifika mwaka Wa 7 unatakiwa umwachie huru.nani sasa kaka alikuwa msafi?(kasome kumbukumbu ya torati)

Kinachowafanya akina mkwawa na wengine waonekane mashujaa ni kwamba walikuwa wanapigania Uhuru Wa kuishi bila kuingiliwa na wazungu.walikuwa wanapinga ukoloni ndio maana tunawaita mashujaa ,ila biashara ya utumwa ilikuwepo dunia nzima na dini zote 2 zilihalalisha sio uislam au ukristo au uyahudi labda ubudha tu
 
Bwana Nicholas narudi tena kukuelimisha vitu vidogo sana ila kwako inaweza kuwa maarifa makubwa.

Naomba uielewe dunia kuwa kuna mabadiliko mbalimbali hutokea kimwili mpaka kiakili,ustaarabu katika dunia nao hubadilika,

Zamani unazoongelea we we ilikuwa kipindi cha utumwa na usidhani kuwa utumwa ulikuwa ulaya au uarabuni tu,hata afrika ulikuwepo hii ilikuwa kipindi cha internationalism,kama unavyoona sasa ni kipindi cha utandawazi

Sheria za kipindi kile zilikuwa zinaruhusu kuwa na watumwa au kuwamiliki watumwa.hii ni biashara ya dunia nzima ,bahati mbaya naamini babu zako walikuwa watu dhaifu wakawa wanabebwa kupelekwa utumwani,naamini hata wamalawi nao wangekuwa organized kama makabila ya akina mkwawa wasingeweza kuepuka hii biashara kuwabeba waliodhaifu zaidi yao.

Tena haikuwa biashara ya utumwa tu kulikuwa kuna pembe za ndovu,ngozi ya chui,kucha za sima na bidhaa mbalimbali ambazo Leo zimepigwa marufuku kipindi hicho ilikuwa ni biashara ya kawaida

Hata dini yako ya myahudi na torati ilikuwa inaruhusu watu kumiliki watumwa na ikifika mwaka Wa 7 unatakiwa umwachie huru.nani sasa kaka alikuwa msafi?(kasome kumbukumbu ya torati)

Kinachowafanya akina mkwawa na wengine waonekane mashujaa ni kwamba walikuwa wanapigania Uhuru Wa kuishi bila kuingiliwa na wazungu.walikuwa wanapinga ukoloni ndio maana tunawaita mashujaa ,ila biashara ya utumwa ilikuwepo dunia nzima na dini zote 2 zilihalalisha sio uislam au ukristo au uyahudi labda ubudha tu
...
.....aiseeeeh
 
Ni binadamu gani tofauti ma mweusi aliwahi kuchukuliwa kutolewa eneo moja kwenda lingina na kuuzwa?
Kwa mujibu wa historia niliyosoma, mwanzoni wazungu walikuwa wanawachukua wahindi wekundu utumwani na kuwalimisha mashamba yao huko marekani. Lakini Wahindi wekundu walikuwa ni dhaifu hivyo utumwa ukageukia Afrika
 
Unakubaliana na Mheshimiwa Nicholas kuhusiana na hizi tuhuma za kushiriki biashara ya kuuza watumwa mashujaa wetu Mirambo,Mkwawa,Ab shiri ambao kabla ya bandiko hili walistahili kuitwa mashujaa lakini baada ya bandiko hili tunaweza kuwaita makuwadi,madalali au wahalifu wa utu wa mwanadamu.

Sheikh wangu Mohamed Said nilikuwa naomba maoni yako je unakubaliana na mleta hoja au unazikata na kama unakataa ni vyema ukatuwekea hoja za kupinga zisizona na ukakasi.
Hakuna shujaa hapo walikuwa wanatetea biashara yao ya utumwa. Ndio maana walikuwa marafiki wakubwa wa waarabu(mabosi wa biashara ya utumwa) na kujenga uadui na wazungu ambao walikuwa wanaipinga biashara hiyo japokuwa wazungu nao hawakuwa wanaipinga kwa wema bali kuwakomoa waarabu na kupunguza nguvu za utawala wa machifu na watemi ambao uchumi wao ulitegemea hiyo biashara. Kama mnapingana na hili si mtuambie hao watemi, machifu na masultani walikuwa na biashara gani kubwa zaidi ya biashara ya utumwa
 
Kumbukeni hz imani toka mashariki ya kati zinahalalisha utumwa. Hamuoni hata kwenye biblia hasa agano la kale utumwa unatajwa kama biashara ya kawaida sana tena ya halali
 
Hakuna shujaa hapo walikuwa wanatetea biashara yao ya utumwa. Ndio maana walikuwa marafiki wakubwa wa waarabu(mabosi wa biashara ya utumwa) na kujenga uadui na wazungu ambao walikuwa wanaipinga biashara hiyo japokuwa wazungu nao hawakuwa wanaipinga kwa wema bali kuwakomoa waarabu na kupunguza nguvu za utawala wa machifu na watemi ambao uchumi wao ulitegemea hiyo biashara. Kama mnapingana na hili si mtuambie hao watemi, machifu na masultani walikuwa na biashara gani kubwa zaidi ya biashara ya utumwa
Trans Atlantic slave trade

Maviwanda kule marekani ni akina nani walikuwa wanafanya kazi .


Mikazi mingumu ya mjerumani ,muingereza ni nani alikuwa anafanya

Wazungu walikuwa wanaleta bidhaa kwa machifu wenu ili wawanunue watu waende kufanyishwa mikazi

Halafu Leo hii unawatetea asee

Africa ni mutoto ya muzungu kweli
 
Bwana Nicholas narudi tena kukuelimisha vitu vidogo sana ila kwako inaweza kuwa maarifa makubwa.

Naomba uielewe dunia kuwa kuna mabadiliko mbalimbali hutokea kimwili mpaka kiakili,ustaarabu katika dunia nao hubadilika,

Zamani unazoongelea we we ilikuwa kipindi cha utumwa na usidhani kuwa utumwa ulikuwa ulaya au uarabuni tu,hata afrika ulikuwepo hii ilikuwa kipindi cha internationalism,kama unavyoona sasa ni kipindi cha utandawazi

Sheria za kipindi kile zilikuwa zinaruhusu kuwa na watumwa au kuwamiliki watumwa.hii ni biashara ya dunia nzima ,bahati mbaya naamini babu zako walikuwa watu dhaifu wakawa wanabebwa kupelekwa utumwani,naamini hata wamalawi nao wangekuwa organized kama makabila ya akina mkwawa wasingeweza kuepuka hii biashara kuwabeba waliodhaifu zaidi yao.

Tena haikuwa biashara ya utumwa tu kulikuwa kuna pembe za ndovu,ngozi ya chui,kucha za sima na bidhaa mbalimbali ambazo Leo zimepigwa marufuku kipindi hicho ilikuwa ni biashara ya kawaida

Hata dini yako ya myahudi na torati ilikuwa inaruhusu watu kumiliki watumwa na ikifika mwaka Wa 7 unatakiwa umwachie huru.nani sasa kaka alikuwa msafi?(kasome kumbukumbu ya torati)

Kinachowafanya akina mkwawa na wengine waonekane mashujaa ni kwamba walikuwa wanapigania Uhuru Wa kuishi bila kuingiliwa na wazungu.walikuwa wanapinga ukoloni ndio maana tunawaita mashujaa ,ila biashara ya utumwa ilikuwepo dunia nzima na dini zote 2 zilihalalisha sio uislam au ukristo au uyahudi labda ubudha tu
Umeelezea vzr ila tukubaliane hawa machifu hawakuwa na lengo la kumkomboa mwafika bali kulinda biashara na tawala zao zisitekwe na wazungu
 
Back
Top Bottom