ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nimecheka aisee! Nani huyo kazi yake ni kucheka tu?na kuna mwingine yeye ni kucheka kila comment, ni suala la muda tu atajitokeza kwenye uzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka aisee! Nani huyo kazi yake ni kucheka tu?na kuna mwingine yeye ni kucheka kila comment, ni suala la muda tu atajitokeza kwenye uzi huu
Extrovert , asipocheka ananiharibia siku. Nampenda sana na kumuheshimu sana, he is very humble and loving. Huyu jamaa ni miongoni mwa watu wachache sana wa JF ninaotamani nionane nao.na kuna mwingine yeye ni kucheka kila comment, ni suala la muda tu atajitokeza kwenye uzi huu
Kimtaa mtaa wangembabatiza Jina la "noma sana''.Kuna njemba nyingine yanyewe inaishia kusema
'Noma sana'
liwe tukio zuri baya yy ni noma sana
sijui huwa ni mke wa mtu yule.....
muda mwingi anakuwa anapika pika nadhani.....
hanaga muda wa ku comment
hhhaaaahaaNamtafutia zawadi ya maji ya upako
kwa kiingereza wataka kumaanisha kuwa jamaa ni Introvert ?😁😁😁Mkwepu atakua mkaka mpole, sio muongeaji
Asnte mkuu tuko pamoja.Habari zenu na poleni kutokana na jitihada za kujikinga na ugonjwa wa kukosa pumzi
Huyu jamaa mkwepu nimetokea kumpenda bure tu jamani
yaani kila post au koment nayoiona mjamaa kashaitembelea tayari
yaani ni spidi ya the flash [emoji16]( prove me wrong)
Hebu bwana Mkwepu jitokeze utupe siri ya mafanikio yako
Nb:Kwenye uchunguzi wangu nimegundua pia "Kiduku lilo" ndio pedeshee bora wa muda wote humu Jf
Mi namjua, kuna mtu mmoja alisema yeye anacheka tu comment yoyote hata ya kusikitishana kuna mwingine yeye ni kucheka kila comment, ni suala la muda tu atajitokeza kwenye uzi huu
Asnte nashukurumkwepu jr yeye haongei ata ufanyeje. Ashaombwa sana ajitokeze ata inbox hajibu. Kuna hoax kwamba simu anayotumia haina keyboard.
Kuna baharia Mgonga Like bora huyu mwamba sometimes anaongea chochote.
Yote heri maisha yanaenda tu.
Wala mbona nipo kila sikuhuyu Mkwepu ni mtu asiyejulikana,jamaa ata kucoment hataki
ni kweli hana shida na mtu, kiufupi yuko smart and humbleExtrovert , asipocheka ananiharibia siku. Nampenda sana na kumuheahimu sana, he is very humble and loving. Huyu jamaa ni miongoni mwa watu wachache sana wa JF ninaotamani nionane nao.
Napenda alivyo mchambuzi maridadi wa magari, mpenzi wa GTI, hataki Mambo makubwa, yeye ni wa Saitama, Tokyo, Kumamoto, and the like cities.
Bonge la mtu wangu wa nguvu, much respect to him
Me pia natoa maji ya mpakwoNamtafutia zawadi ya maji ya upako
Cc monde arabeKuna njemba nyingine yanyewe inaishia kusema
'Noma sana'
liwe tukio zuri baya yy ni noma sana
sijui huwa ni mke wa mtu yule.....
muda mwingi anakuwa anapika pika nadhani.....
hanaga muda wa ku comment