Mlango umefungwa hakujawahi kuwepo na safari ya mwezini

Mlango umefungwa hakujawahi kuwepo na safari ya mwezini

Ila kweli swala la kusafir angani kwa miaka 40 duh ...ilikua Ni chai kama chai za masuala ya aliens wAlivolisha watu ..
Hadi leo hicho chombo kimeshagusa layer ya corona ya jua, wewe endelea kuamini vile ulivyoaminishwa na kukaririshwa
 
Inasikitisha sana kuona watu na mataifa yaliyoendelea yanazungumza future technology sisi bado tupo busy kuhoji mambo ya 1969! Watu wanatafiti mambo ya dark matters, dual particle relations itakayomwezesha binadamu ku co-exist na kuteleport, Lakini bado kuna pimbi za 3rd world country zinahoji mambo ambayo tulishayaacha 1969! Ni sawa na kuturudisha katika zama za simu za kuzungusha wakati tupo katika smart-world!
Ajabu sana mkuu, tunahoji hata vitu basic Kwenye science
 
Nilitaka kufahamu mbwa alifanya vipi kurudi? Usinichoke boss najaribu kufikiria tu KWA ufinyu wangu mdogo je mbwa aliendesha chombo kwenda na kurudi? Au walikuwa wanamuendesha wao kum control najaribu tu kufirikia jinsi mbwa alivyoenda huko. Kama utojali Mkuu nielezee japo kidogo walisema nini kwenye kitabu kuhusu mbwa alivyofanikiwa kwenda na kurudi?
Remotely controlled kutokea base iliyoko duniani
 
Daaah boss natamani kujua hao waislamu japo na mimi nijifunze. Kwanini hawakwenda waislamu mkuu wakati marekani na urusi wametoa maarifa KWA waislamu? Misingi ipi inakufanya useme hakuna aliyefika mwezini? Ungetupa sababu na vyanzo vya habari YAKO tuendelee kujifunza.
Teh teh , wakikujib unitag
 
Alafu nasikia Armstrong huyu huyu ambaye tunaambiwa hakutimba mwezini , kwamba apollo ilivotua tu mwezin muhuni akasikia adhana uko uko mwezin aliens wanaadhin 😁😁😁 mwamba akaslimu hii story waamini wengi wameipokea kwa mikono miwili nachekaga sana
Duh,hii ilmu kubwa tuwekee source
 
Hawa ndiyo wale miaka ya nyuma wakiambiwa kuwa kuna siku watu wataweka simu mifukoni na kutembea nazo na kuwasiliana wirelessly wakasema huo ni upunguani wakahitaji ushahidi! Wajinga kabisa
Kumbuka aliepinga Ni elon musk na yeye anakampuni inayojishughulisha na masuala ya anga ...afu pia technology ina mipaka yake .sio kila kitu kinawezekana kwa kutumia technology
 
kama mtu haumfahamu Elon Musk ndiyo unaweza kushtuka, Lakini kwa wengine tunaomfahamu vuzuri tunaijua akili yake.
Kumbuka aliepinga Ni elon musk na yeye anakampuni inayojishughulisha na masuala ya anga ...afu pia technology ina mipaka yake .sio kila kitu kinawezekana kwa kutumia technology
 
We're still debating the moon landing!!??
images (24).jpeg
 
Hawa ndiyo wale miaka ya nyuma wakiambiwa kuwa kuna siku watu wataweka simu mifukoni na kutembea nazo na kuwasiliana wirelessly wakasema huo ni upunguani wakahitaji ushahidi! Wajinga kabisa
Mtu anayepinga au kubisha kitu kitakachotokea anaweza akawa wa maana kwani hatujafika.Lakini yule anayehoji yaliyopita na kukawa hakuna ushahidi basi ndio shujaa kabisa. Dalili na ushahidi wote haioneshi kuwa Neil Armstrong na mwenzake walitua mwezini
 
Unachanganya mambo badala ya kutetea hoja ya safari ya mwezini. Wapi ilitangazwa hivyo kwamba watu wote waliamini Urusi inakwenda kuichukua Ukraine bila askari wake kufa hata mmoja .Kama huna chanzo hicho basi hiyo tafsiri ni yako peke yako. Naamini Mrusi hakusema hivyo
Zaidi ni kuwa Urusi ina uzoefu mkubwa wa vita vya muda mrefu na wanajuwa mazingira ya vita.Hawafuati ratiba za vita za watu ambao hata hawajawahi kupigana na yoyote yule.
Chief . Tumekuelewa utakacho
 
Mtu anayepinga au kubisha kitu kitakachotokea anaweza akawa wa maana kwani hatujafika.Lakini yule anayehoji yaliyopita na kukawa hakuna ushahidi basi ndio shujaa kabisa. Dalili na ushahidi wote haioneshi kuwa Neil Armstrong na mwenzake walitua mwezini
Lakini kutua mwezini kunawezekana/haiwezekani?
 
Lakini kutua mwezini kunawezekana/haiwezekani?
Kutua mwezini kumeshafanyika sana hivi karibuni.Mchina kachota dongo kabisa.Kilichokuwa ni shida ni kumtulisha mtu na kumrejesha mtu salama.Hilo halijafanyika mpaka sasa. Inakera sana kutoka taifa likatudanganya kwamba limeweza.
 
Back
Top Bottom