Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
yan we unanitishia 😂 ety greatthinker wanao jua hawaulizi,wamo humu na wajua vitu vingi viko humu forum kuvipata nnje ni ngumu au haiwezekanUmeshindwa kuweka rejea ya ulichosema ulitaka kutupuga changa la macho ,humu ni Great thinkers ukija njoo kamili kamili