Mlete mzungu: Uzi wa picha za mzungu wa Simba kwenye pozi tofauti

Mlete mzungu: Uzi wa picha za mzungu wa Simba kwenye pozi tofauti

jamaa kaweka pozi ya kumsubiri mama yako akalie
Mlete mdhunguuu


Mdhungu wa MAKOLO akiuchapa na mkali wa boika .....nchini marekani
FB_IMG_16605820185293663.jpg
 
Hakuna cha ubaguzi hapo mzee wa kazi usibbaike na rangi,mambo haya utayakuta England,utayakuta Ufaransa na kwingineko kote sema wewe ushabiki umeweka mbele inayochangiwa na inferiority complex tu,fuatilia hata the way hata vyombo vikubwa vya habari vinavyomock picha za Maguire utaelewa namaanisha mimi...Halafu pia watanzania tumenza kuwa na ujuaji wa kijinga kila kitu tunajifanya sijui human rights mar cyber bullying..hpo pichan ni Union garden marekani na hilo sanamu ni raisi donald Trump watu wanammock na hakuna hata kelele yoyote iliyosikika kam wajuaji w Bongo mnavyofanya.je kati ya hii picha na hizo editing upi ni bullying!View attachment 2324848
Duuh wamemuweka mzee na kibamia kabisa[emoji23]
 
Sure. Mm sipo ktk kumponda kabisa..ila sasa naona its too much ,,nonsense
Kwa kweli inasikitisha .....kama umefutilia video za kitenge pale studio kwao....uta mind kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo alitengeneza Hadi igizo la mdhunguuu
 
hahahaha, naona kingereza linazidi kutanuka, sijui ndo anamaanisha "Unyanyasaji/unyanyapaa"
Mbna manara wananyanyapaa.....

Refer to Simba day.....Kuna mtu alifungwa kamba
 
Kwa kweli inasikitisha .....kama umefutilia video za kitenge pale studio kwao....uta mind kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo alitengeneza Hadi igizo la mdhunguuu
Huyo nae anazeeka vibaya. Wala sisikilizagi hyo redio wala tv yao wako bias
 
Ndo nimemtumia pic huyo jamaa anayedai hizo picha za editing ni bullying hili aone level ya kitu kuwa bullying inakiuwaje halafu watu wenye akili zao timamu hawakupiga kelele wala nini maisha yanandelea kama kawaida
 
Ndo nimemtumia pic huyo jamaa anayedai hizo picha za editing ni bullying hili aone level ya kitu kuwa bullying inakiuwaje halafu watu wenye akili zao timamu hawakupiga kelele wala nini maisha yanandelea kama kawaida
Daaaaah Hawa jamaa democracy yao ....Ni Next level
 
Back
Top Bottom