Uchaguzi 2020 Mlevi mmoja aapa kumpigia kampeni Lissu kwenye vilabu vyote vya pombe za kienyeji DSM nzima

Uchaguzi 2020 Mlevi mmoja aapa kumpigia kampeni Lissu kwenye vilabu vyote vya pombe za kienyeji DSM nzima

Ajue walevi ni wachache! Hao hawatatusumbua tunaojitambua. Hata hivyo ana uwezo wa kuongoza walevi na waliochanganyikiwa.
 
Unajitahidi ungepeleka hii hadithi yako kwa shigongo angekupa vocha uandae nyengine
 
Nashukuru kwa Kulijua hilo. Kiufupi tu nililolitaka katika huu Uzi wako limetokea hivyo najiona ni Mshindi na mwenye Mafanikio hasa Kimedani pia.
Da Jasusi la Kagame aisee umefanikiwa kunitoa kwenye reli.
Safi Sana.
Mtu mwenye akili timamu Kama wewe umetumia mbinu kubwa nmna hiyo kwangu Mimi mtu mwenye hitilafu kwenye ubongo aisee naona Watu Sasa wataelewa Kati ya Mimi na wewe Nani Nani Ana hitalafu zaidi.
Unafaa kuwa mtaalamu wa mikakati wa kampeni wa Hon Magu ili uwe unamtoa Lissu kwenye malengo.
Maana Lissu anatisha.
 
Nashukuru kwa Kulijua hilo. Kiufupi tu nililolitaka katika huu Uzi wako limetokea hivyo najiona ni Mshindi na mwenye Mafanikio hasa Kimedani pia.
Hebu wewe mwenyewe fikiria unajitangaza Mshindi wakati Mimi sikujua kama tunashindana,Wala sikujua Kama huu uzi wangu unakushughulisha wewe uko sawa kweli.
Tena uajitangaza Mshindi dhidi ya Mimi mtu mwenye hitilafu ya ubongo wewe hujioni una matatizo kweli.
Mimi nakushauri Genius wangu jipeleke mwenyewe hospital ya watu wenye afaya aya akili.
Kwa kifupi wewe ndio unaibika humu.na Mimi sitaki genius wangu uaibike kabla Lisu hajawa Rais.
 
Ajue walevi ni wachache! Hao hawatatusumbua tunaojitambua. Hata hivyo ana uwezo wa kuongoza walevi na waliochanganyikiwa.
Ukitaka kujua idadi ya walevi nenda kwenye mabaa na vilabu vya pombe.
Au njia rahisi piga marufuku pombe nchini uone Kama uchumi wa nchi haijaporomoka.
 
Hebu wewe mwenyewe fikiria unajitangaza Mshindi wakati Mimi sikujua kama tunashindana,Wala sikujua Kama huu uzi wangu unakushughulisha wewe uko sawa kweli.
Tena uajitangaza Mshindi dhidi ya Mimi mtu mwenye hitilafu ya ubongo wewe hujioni una matatizo kweli.
Mimi nakushauri Genius wangu jipeleke mwenyewe hospital ya watu wenye afaya aya akili.
Kwa kifupi wewe ndio unaibika humu.na Mimi sitaki genius wangu uaibike kabla Lisu hajawa Rais.

Naona lengo langu limezidi tu na bado linaendelea Kutimia. Asante Mwenyezi Mungu!
 
Kilichonikere pale kwenye kunyanganywa korosho kisa cyo mkulima hana shamba Ni sera mbovu ya ccm hiyo afu kubomoleea nyumba bila fidia Ni sera mbov ya ccm
Hiyo Ni dhuruma dhidi ya watu wanyonge,na hii inajiita serikali ya wanyonge.
 
Hakuna cha mlevi
Wewe ndio unahusika na umechomeka fix nyingi kutimiza unachotaka kusema.
Nyie mnadhani walevi hawajui mambo,Kuna walevi Ni madktari na mprofesa waliokata tamaa na maisha lakini elimu na uelewa wao uko palepale.
 
Aisee.... ina maana wafuasi wao ni walevi sasa
Lissu anapendwa na kila mtu,Raia na wasio Raia.
Kwa taarifa yako Uchaguzi wa mwaka huu kwa sababu anagombea lisu utakua unafuatiliwa na dunia nzima Kama mechi ya fainali ya UEFA.
Huko Kenya watu watakaa kwenye TV huko EU Ni hivyo hivyo,US Kama kawa.
Mwaka huu kila jiwe litafunuliwa.
UN ndo usiseme kabisa Antonio Guterezi hata lala siku hiyo.
FATOU Ben Suda nae ndani ya nyumba.
 
Lissu anapendwa na kila mtu,Raia na wasio Raia.
Kwa taarifa yako Uchaguzi wa mwaka huu kwa sababu anagombea lisu utakua unafuatiliwa na dunia nzima Kama mechi ya fainali ya UEFA.
Huko Kenya watu watakaa kwenye TV huko EU Ni hivyo hivyo,US Kama kawa.
Mwaka huu kila jiwe litafunuliwa.
UN ndo usiseme kabisa Antonio Guterezi hata lala siku hiyo.
FATOU Ben Suda nae ndani ya nyumba.
Wao ndio watatangaza mshindi?
 
Alikua akitembea huku akipepesuka njia nzima mida ya saa tatu usiku.

Alikua akiongea peke yake muda mwingi,lakini kila aliyekutana nae alimshirikisha furaha yake bila kujali anamshirikisha Nani.

Alipokutana na Mimi,simjui hanijui,sikumpuuza Kama wengine walivyokua wakimpuuza.

Maneneo aliyokua akiyarudiarudia kwa furaha ya kilevi, Ni haya.

"Aaah nitampigia kampeni Dar es salaam yote".

Nikamuuliza Nani?

Akajibu" tayari wameshampitisha nakwambia"

Nikamuuliza Tena wamempitisha Nani?
Akanijibu kwa kunifokea" si Lissu!"

Nikamuuliza,wewe utamchagua Lissu?akajibu,"Tayari nimeisha Anza kumpigia kampeni kwenye vilabu viwili na ninaenda kwingine,nitafanya hivi Dar es salaam yote."

Na huko nilikotoka wamenielewa na wamekubali kumpigia,na huko nakoenda watanikubalia tu kwa sababu wananijua Sana,najulikan a Sana.

Kwa Nini unajulikana?
Akaanza kufunguka.

Kaka yangu amekufa.
Kabla hajafa alikua na nyumba nzuri tu Kimara.
nyumba yake ya Kimara ilibomolewa hakulipwa,

Familia ikakosa mahala pa kuishi.

Akarudi nyumbani mke na watoto akaacha kwangu,Mimi nimepanga chumba kimoja cha kuishi na ninafanya kazi ya kutembeza mitumba.

Kaka alikua mfanyabiashara wa korosho,akanyang'anywa korosho zake huko Mtwara kwa sababu hakua na shamba.

Kaka yangu akachanganyikiwa kabisa,akaugua "stroku" Hadi mauti yakamkuta.

Mke wake yaani Shemeji yangu yeye naye aliachishwa kazi kwa sababu eti walimwambia Hana Cheti,wakati aliajiliwa na serikali hiyihiyo,Sasa Kama Hana cheti walimwajilije? Aliuza mlevi.

Baada ya kuachishwa kazi na mme wake kunyang'anywa korosho na kwa kuwa nyumba Yao ilibomolewa bila kulipwa, na yeye kufukuzwa kazi Shemeji yangu nae akaanza kuumwa "Stroku"na yeye kafa.

Sasa nimebaki Mimi na watoto wao wanne,wawili wameacha kusoma chuo,wawili nawasomesha mimi ila Shule waliokua wanasomeshwa na wazazi wao niliwatoa.

Maisha yangu yamekua magumu,Sasa nimeamua kulewa tu. Sina kazi,nilisomea ufundi wa mashine ( fitter Turner). Nimemaliza chuo 2014 nimetafuta kazi miaka mitano sijapata.nimeamua kutembeza mitumba na kulewa tu.nina mke na watoto wawili wangu na wa Kaka wanne,jumla Nina watoto sita.

Nitamchagua Lissu na nitampigia kampeni vilabu vyote Dar es salaam.
Vilabu vyote nilivyopitia kabla hajapitishwa na baada ya kupitishwa wanamkubali Lissu.
Nilimtia moyo nikampa Sha 10,000=,nikaondoka yangu
Hiyo ndio hali halisi huko mitaani.
CCM mnashida sana.
 
Kama wewe si mlevi huwezi kumpigia kura Lissu,ndio maana Chadema wanajiita ukawa (pilsner)
Jina Pilsner na jinA Ukawa kipi kilianza.
Lissu nakuambia huku mtaani anatajwa Yeye,maofisini Ni yeye tu,mahospitalini,masokoni,magengeni Ni yeye tu.
 
Miaka sita sijapanda daraja, na mboyoyo zao za kupunguza kodi, itakula kwao,siwezi kuwapa kura yangu
 
Miaka sita sijapanda daraja, na mboyoyo zao za kupunguza kodi, itakula kwao,siwezi kuwapa kura yangu
Sio Kupanda Daraja tu Mkuu,Bali pia na increment ambayo nayo ipo kisheria Hakuna siku hizi kwa miaka sita Sasa.
Ukiona mfanyakazi wa serikali anamchagua CCM yeyote kwa ngazi yeyote jua huyo Ni Mchawi.
 
Back
Top Bottom