Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) Jana akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara wa Ufunguzi wa kampeni ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Vijiji katika Uwanja wa Chamwino Wilaya ya Morogoro Mjini Mkoani Morogoro
Pamoja na Mambo mengine, Kawaida amewaeleza wananchi wa Mkoa wa Morogoro kuwa kama viongozi wakuu wa Chama hawaelewani basi hicho Chama hakiwezi kutatua migogoro ya Wananchi hivyo hawafai kuchaguliwa kuwa viongozi katika ngazi yeyote ya uongozi.
Kwaida ameongeza pia kwa kuwapongeza wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ambao walichukua fomu ya kugombea nafasi mbalimbali lakini kura hazijatosha na kuwasihi waungane na wanachama wengine katika kuhakikisha wanapatia ushindi mkubwa wagombea walioaminiwa kwa kipindi hiki.
PIA SOMA
Pamoja na Mambo mengine, Kawaida amewaeleza wananchi wa Mkoa wa Morogoro kuwa kama viongozi wakuu wa Chama hawaelewani basi hicho Chama hakiwezi kutatua migogoro ya Wananchi hivyo hawafai kuchaguliwa kuwa viongozi katika ngazi yeyote ya uongozi.
Kwaida ameongeza pia kwa kuwapongeza wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ambao walichukua fomu ya kugombea nafasi mbalimbali lakini kura hazijatosha na kuwasihi waungane na wanachama wengine katika kuhakikisha wanapatia ushindi mkubwa wagombea walioaminiwa kwa kipindi hiki.
- Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- Morogoro: Msimamizi wa Uchaguzi Kilosa amjibu Joseph Haule (Prof. Jay) kuhusu Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa