Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
YunikiSijakutana nae, I'mean hajazaliwa bado...😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YunikiSijakutana nae, I'mean hajazaliwa bado...😎
ndo kilichonikuta😂Sema tunaharibiana sana wake zetu. Mana unaemdandia Leo kesho mke wa mtu.
wew ndo hujazaliwa😂Sijakutana nae, I'mean hajazaliwa bado...😎
Nikiwazaga hivyo naonaga tunakoseaga sana.ndo kilichonikuta😂
👀ushakuja dar?
i wanti tudu samsingi
Huyo hakua single mother mkuu.😂 😂 😂una nyota ya masingo maza
malizia na anafua na kupika tembeleNilimkuta nje ya duka lao anachambua matembele. Nikaacha kilicho nipeleka, nikaanza kumsaidia.
Kupiga piga story za kanisani kwao. Nikamuuliza kama wana group la vijana nikampa namba aniunge.
Cha ajabu group sikuungwa ikawa mwendo wa kuchart tu me nayeye.
Tumekuja shtuka tunaitana babe. Na ghetto anakuja kufanya usafi.🙌😂😂
mimba ilikua yako?Huyo hakua single mother mkuu.
au hujui maana ya single mother?
Matembele ilikuwa dukani nilipoenda.malizia na anafua na kupika tembele
mkuunakumbuka ilikua kwenye fastjet
watu wabaya sanaMatembele ilikuwa dukani nilipoenda.
habari ya leomkuu
🤷♀️🤷♀️🤷♀️i wanti tudu samsingi
habari yangu kama yako tu. wote tupo jfhabari ya leo
au basi🤷♀️🤷♀️🤷♀️
🙄🙄🙄au basi