Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Alifukuzwa,hua hawaachi kazi hawaKwa Nini Sasa aliacha kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifukuzwa,hua hawaachi kazi hawaKwa Nini Sasa aliacha kazi
Leta mrejesho ndugu yangu. Muda umeshaenda sanaShe is my neighbor "a little far from home"
Nilimfundisha hesabu alipo kua form 2 hapo mimi nimemaliza form 4.
Kamaliza form 6 tukaanza ku date rasmi till now.
Mama Zetu ni marafiki sana toka kitambo
Nakumbuka siku moja Mama aliwahi nitamkia "ingekua ni zile Zama zetu za kuchaguliwa mke ningependa uje uoe kwa flani 'kwao uyo binti', ila mwanangu najua wakati bado ila Muangalie binti wa kwa flani napendezwa nae hata ukianza nae urafiki sio mbaya miaka minne mi tano sio mbali " .
Kimoyoni nikajisemea mother ungejua.
Ila sasa nahis Mama anafaham japo hana uwakika.
Kati ya wanaume wenye binti mrembo basi nami ni mmoja wapo, she is beautiful very beautiful she is smart too.
Mungu mlinde mrembo wangu.
Kwl maisha hayana formulaSiku moja nilienda lodge na demu wangu,tulipofika mapokezi nikamkuta jamaa mmoja yupo pia na demu wake,hatujuani,
Baada ya kupewa vyumba nikatoka kwenda kununua chakula nje(kitimoto),yule jamaa aliyekuwa na demu nadhani aliogopa kwenda maeneo yale yanayouzwa kitimoto akamtuma yule mwanamke wake,tukakutana tunaagiza nyama pale tukasalimiana tena na utani wa hapa na pale kwamba kwa msosi huo leo lazima nyasi zing'oke,akacheeka cheka pale tukapeana namba za simu,tukaanza kuwasiliana taratibu mapenzi yakaanza,hadi leo hii ndio naishi nae ndani kama mume na mke
Mke wangu tulikutana kanisani kwa mara ya kwanza sikuwa namfahamu kabla, sasa tuna watoto.wawili.Walikuja wageni kutoka nje ya nchi kanisani kwetu tukatambulishwa kanisani ilikuwa jpili moja hivi wanawake kama saba hivi ,tukaambiwa watakuwa Tanzania kwa mwezi mmoja sikuwa na hili wala lile hata sikuwaza ukaribu nao maana sikuwa hata na mpango wa kuoa na church kulikuwa na pisi za hatari,jioni pastor akaniligia simu kuwa nimsadie kuwatembeza kwa kuwa English ilikuwa sio ishu kwangu so nikafanya.
Jtatu nimazuga job huyo kufanya kazi ya bwana Hahahaha mara pa nakuta wamevaa kitown sio kama jana church mmoja akasema aendeshe yeye na mm nikae kushoto kumuelekeza alikuwa binti pisi flani hivi mweusi ambao ndio ugonjwa wangu tukazoeana huwezi amini nilikuta hajaguswa kabla hajaondoka nikaweka wazi kwa wazazi na pastor alifurahi sana ingawa hakujua nimesha haribu,alivyokwenda kwao wakazingua kumbe niliacha mbegu ikabidi arudi tz kwa ndoa kwa sasa tuna watoto wawili na miaka 11ya ndoa ,ni wife material sio ndugu kila mtu anasema wewe USSR kweli ulioa ndoa hupanga Mungu kabisa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huna au hujui ulipataje? 😅Ngoja waje
Wewe huna au hujui ulipataje? 😅