green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Chakechake, Pemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua cashier tu wewe lazimaMimi mke wangu for the first time tulikutana bank
Aisee hilo balaaa...Yani umemkuta anagongwa gest na wewe ukaliunga jumlaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Ila yako kali...ulitamani vilio vyale nini?? Demu alikuwa bubuu[emoji23][emoji23][emoji23]Maana mademu wenye makelele kwenye game safi sanaaAlienda kugongwa ndio namimi nilienda kugonga pia,kila mwanamke kabla ya kuwa na wewe amegongwa sana tu mkuu
Ila yako kali...ulitamani vilio vyale nini?? Demu alikuwa bubuu[emoji23][emoji23][emoji23]Maana mademu wenye makelele kwenye game safi sanaa
Aisee noma sana...So ukaacha mwana amlee alafu wewe ukaja kuoaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hakuna nilichosikia,kumbuka tulikutana kwenye kuagiza chakula ndio nikachukua namba yake kabla hajaanza kutombwa hapo
Aisee noma sana...So ukaacha mwana amlee alafu wewe ukaja kuoaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Aaha demu wako angemuona afu akaja kumuona mpo wote roho ingemuuma sanaYes,alitombwaaaa na akaendelea kumtomba sana tu kabla hajaachana nae jumla
Hahaha mkuu kila anaeenda bank ni cashier???Utakua cashier tu wewe lazima
Nilijua ile unaenda dirishani unapewa kikaratasi uandike nambaHahaha mkuu kila anaeenda bank ni cashier???
Ameen, nimewapenda buree, miaka 10 si mchezo, mnafahamiana Vya kutosha ,hivi kuna changamoto mtapitia itawayumbisha kwelii?, nahisi itakua solved faster. Safi sanaDuh, nilikutana naye O level darasa moja (form 1)! Form 3 nikatongoza, form 4 nikakubaliwa. Wachumba miaka 10 then ndoa now tuna watoto 2 wapo primary!
I thank God hasa kwa uvumilivu aliotupa japo safari yetu hasa ya uchumba ilikuwa na changamoto nyingi sana, sema the strong bond between us held us together!
Changamoto zipo kwa sababu sisi tu binadamu!Ameen, nimewapenda buree, miaka 10 si mchezo, mnafahamiana Vya kutosha ,hivi kuna changamoto mtapitia itawayumbisha kwelii?, nahisi itakua solved faster. Safi sana
Mko vizuri ,mbarikiwe zaidiiChangamoto zipo kwa sababu sisi tu binadamu!
Ila kusema ukweli our marriage is 9 years old, lakini tunapopata changamoto Mwenyezi Mungu anatubariki tunazitatua.
We are happy for each other!
Noma sana kichina hicho 🤣Kibanda cha m pesa....
Simu yake ilijibonyeza ikawa inaandika kichina kafika pale anataka kutoa pesa simu inalugha ya kichina,bahati nzuri nilikua na simu kama yake tukawa tunafuata step by step kukirudisha kikristo kwenye simu yake...mambo yalianzia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
*Kumtwisha...kisimani kuchota maji, aliniomba nimsaidie kumtwika kichwani.