Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Hii sio sababu ya kusema ndio chanzo cha ndoa nyingi kutokudumu kwan ata mkiona mkiwa hamjazoeana kwan mtaenda kuishi kila mtu nyumba yake ili msizoeane?Jiulize kwa nini ndoa nying hazidumu ndo utajua watu wanakaa kwenye uchumba miakaaa wanazoeana kama kaka na dada hamna kipya