akikujibu nibeep,namba yangu ileile ya tigob dozen ajui nn
niongezeRingo na Tin white ndo komedian Tanzania.
Unakula kwake no need vetting.[emoji13] [emoji13] [emoji13]Huyo mkaliwenu ni fundi labda hao wengine wanabahatisha angalia clip video zake insta nyingi zinachekesha kuna ile aliyocheza na joti tangazo la dstv kuna ile inaitwa katika utajirike pia kuna lile tangazo la nguvu za kiume usipocheka hizo njoo nikurudishie bando lako
Ringo?Ila wakali wa vichekesho bongo kuna joti,majuto,braza K,Senga,pembe,bambo,mtanga,Kingwendu.....mpoki kwa mbaaliii na wakuvanga.
List iko sawa ila muondoe huyo Kiziwi Blackpass mi naona anajuaWatanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Nadhani ni sababu mojawapo kwa nini hatuendelei.
Pamoja na hilo kuna watu tusiojua kabisa kuhusu unafiki, we call a spade a spade, white colour white.
Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji sio hawaiwezi.
1. Idrissa.
2. Blackpussy.
3. Oka Martin.
4. Mkali wenu.
5. Dulvan.
Hawa watu hawajui kabisa kuchekesha. Yani hawajui na hawajui kama hawajui. Wanatumia nguvu nyingi mno.
Hakuna kazi rahisi kama kuchekesha binadam. Kitu pekee ambacho binadam anaweza kukifanya na kwa haraka bila gharama yoyote ni kucheka.
Kazi zipo nyingi za kufanya, watafte kazi nyingine. Steve Nyerere tulimwambia mapema akasikia akatafta kazi nyingine ya kufanya.
hahahahahhaha we jamaaOngeza na Magufuli hapo
Anaweza uyuMc pilipili vipi?
Mkali wenu ndo kabisaaa!
Ila wakali wa vichekesho bongo kuna joti,majuto,braza K,Senga,pembe,bambo,mtanga,Kingwendu.....mpoki kwa mbaaliii na wakuvanga.
mkuu, hayo matusi mengine sisi wengine huwa hatuyataji kabisa. nisingeweza kutamka kwamba huyo dada amesema anaitwa black vagina? isingekuwa adabu....ndo maana nikaita tu kalio kumtunzia heshima.Aisee...
Umetumia Dictionary gani Chief..!?