Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji hawaiwezi

Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji hawaiwezi

Mkali wenu labda aje na mswaki akutekenye ndo utacheka.......

Iyo list imepita kabisa japo nao wana mashabiki wanaoeka bundle kwa ajili yao.........
 
Huyo mkaliwenu ni fundi labda hao wengine wanabahatisha angalia clip video zake insta nyingi zinachekesha kuna ile aliyocheza na joti tangazo la dstv kuna ile inaitwa katika utajirike pia kuna lile tangazo la nguvu za kiume usipocheka hizo njoo nikurudishie bando lako
Unakula kwake no need vetting.[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Idrisa na Mkali Wenu ni BASHITE kabisa kwenye kuchekesha BURE kabisaaa
 
Watanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Nadhani ni sababu mojawapo kwa nini hatuendelei.

Pamoja na hilo kuna watu tusiojua kabisa kuhusu unafiki, we call a spade a spade, white colour white.

Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji sio hawaiwezi.

1. Idrissa.
2. Blackpussy.
3. Oka Martin.
4. Mkali wenu.
5. Dulvan.

Hawa watu hawajui kabisa kuchekesha. Yani hawajui na hawajui kama hawajui. Wanatumia nguvu nyingi mno.

Hakuna kazi rahisi kama kuchekesha binadam. Kitu pekee ambacho binadam anaweza kukifanya na kwa haraka bila gharama yoyote ni kucheka.

Kazi zipo nyingi za kufanya, watafte kazi nyingine. Steve Nyerere tulimwambia mapema akasikia akatafta kazi nyingine ya kufanya.
List iko sawa ila muondoe huyo Kiziwi Blackpass mi naona anajua
 
Back
Top Bottom