Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji hawaiwezi

Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji hawaiwezi

Wasanii wetu wanajiita majina yasiyokuwa na maadili. Pussy ni uke kule ambako uume huingia pamoja na mashavu yake ya nje (ule mvimbo kama wa kitumbua)

Hivyo black pussy ni uke mweusi.

That means (k**ma nyeusi)

Halafu hata akina Juliana Shonza hawajamfungia wala kumwambia abadili Jina. Pengine nao hawajui
kama naiona vile hio kyuma ilivonyeusi
 
evelyn kweli umeiona ?
serious, kwenye ile clip ina kale kakatuni ka kijani
Jaymond kavaa khanga sijui hakua na boxa sijui ilipita kwa nje ila inaonekana, bahati yake tu hana kibamia angejitia aibu, akaishia tu kusifiwa lile dude la kijeshi ila sijui Kwanini alifanya vile
 
Hakuna aliye wahi nichekesha hapo.. labla Lema
 
serious, kwenye ile clip ina kale kakatuni ka kijani
Jaymond kavaa khanga sijui hakua na boxa sijui ilipita kwa nje ila inaonekana, bahati yake tu hana kibamia angejitia aibu, akaishia tu kusifiwa lile dude la kijeshi ila sijui Kwanini alifanya vile
ok vizuri
 
Watanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Nadhani ni sababu mojawapo kwa nini hatuendelei.

Pamoja na hilo kuna watu tusiojua kabisa kuhusu unafiki, we call a spade a spade, white colour white.

Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji sio hawaiwezi.

1. Idrissa.
2. Blackpussy.
3. Oka Martin.
4. Mkali wenu.
5. Dulvan.
6. Mc Pilipili.
7. Jaymond.
8. Katarina wa Karatu.
9. Ebitoke.

Hawa watu hawajui kabisa kuchekesha. Yani hawajui na hawajui kama hawajui. Wanatumia nguvu nyingi mno.

Hakuna kazi rahisi kama kuchekesha binadam. Kitu pekee ambacho binadam anaweza kukifanya na kwa haraka bila gharama yoyote ni kucheka.

Kazi zipo nyingi za kufanya, watafte kazi nyingine. Steve Nyerere tulimwambia mapema akasikia akatafta kazi nyingine ya kufanya.

Namba 5-9 ni updates toka kwa wadau.
BONGO COMEDY YA KUGANDAMIZIA
 
Uko sahihi mkuu. Wasanii wengi hatupendi kupata elimu ya Sanaa. Ukiwa unapiga story na washkaji kijiweni wakacheka unajiona na wewe unaweza kuchekesha. Elimu, elimu, elimu.
 
hivi iddris ni comedian?/ bongo kuna vituko
 
Back
Top Bottom