Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji hawaiwezi

Huyo pilipili na idrissa hao ndio hamna kitu kabisaa. Yani hawajawahi kunifanya nicheke
 
Hapo naona kidogo mkali wenu anajitahidi,,wengine hao kusema kweli mimi siwaelewi
 
Anaitwa blackpas sio black pussy jaman uwiiii
 
idris ana improve kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele,alivyoanza nilikuwa simkubali,kuanzia kule kwenye funny felas ila namuona kapiga hatua sasa hivi .
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…