Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

1623405621798.png

 
Sio mvuvi mdogo hapana Ni yule mwenye ngalawa zake tatu
Anhaa!....Ila ukioa mwanamke ambaye hana hofu ya Mungu basi ni rahisi mno Kuumia kila kukicha mkuu

Kama mwanamke wa kwanza(Hawa) ambaye ni mama wa wanawake na viumbe wote jamii ya wanadamu kadanganywa unafikiri hawa wengine itakuaje mkuu???

Kikubwa awe na hofu ya Mungu la sivyo lolote linaweza kutokea safarini
 
Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.
Kwamba ukiona watu tu wanatoka Guest basi wametoka kuvunja amri pendwa? Sidhani kama ni sahihi! Sisi wengine kazi zetu tunafanyia kwenye Bar, Lodge, hotel, Guest, Lounge etc. Na Staffs wetu ni wake za watu, kwahio ukinikuta siku natoka nae utakua nilikua "namdhulumu" mshkaji haki yake?
 
Mwanamke ni kiumbe dhaifu kimwili, kiakili na kifkira.

Ukimtania yeye tayari ashahisi vingine

ukimsaidia tayari ashahisi vingine

Ukimsalimia kila siku tayari ashahisi vingine

ukimwangalia tayari ashahisi

Sio hawa tu hii ni toka wale wanawake waliokuwepo toka enzi za Eva, kabla ya ukoloni na baada ya ukoloni kwa hiyo ni nature yao tu, hakuna wa kubadilisha hili swala, tutaondoka duniani watakuja wengine watalalamika hivi hivi ila jibu halitapatikana hadi mwenyezi Mungu aamue vinginevyo
 
Mvuvi wa samaki duuh!!, labda mwanamke anataka samaki wa bure na Jamaa ake anaacha pesa ya watoto wa samaki (dagaa) badala ya samaki wenyewe[emoji23]
Sasa kama unampa mkeo pesa ya kwenda sokoni kufanya maemezi.

Lkn boda anayempakia, kitendo cha kumpeleka bure na kumrudisha bure

Kinafanya boda apewe utamu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.

Kaka hata wewe uliowagonga kwasasa ni wake za watu hivyo kumbuka kugongewa ni jambo la kawaida kikubwa awe anarudi nyumbani na anaemgonga usimjue hapo utaoana anakuheshimu.

Ndio maana hata huyo uliemuona mumewe hamjui hao wanapendana na huyo mwanamke anamuheshimu Mumewe.
Imeisha hiyo
 
Usisahau kwamba hawa tunaojiongopea kwamba ndio madem zetu wa ndoto wanaliwa Sana na waume za watu kwahiyo tisijiongopee

Wanawake wanajikuta wanachepuka kwa dhiki tu,
kinachofurahisha wao Kuna umri ukifika hataki tena hiyo mitusi tofauti na sisi wanaume
 
Kwa maana hiyo sasa unataka kuuminisha umma kuwa wewe hutooa??

Lakini pia umetumia kigezo gani kusema wake za watu ndo huwa hugegedwa sana?? Je ambao hawajaolewa inakuaje??

Rudi tena ukafanye utafiti vizuri mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duniani kuna fujo sana....

Ndoa ni mkataba wa rohoni, binadamu huwezi kumchunga wala kumrekebisha. Kikubwa ni kwenda na Mungu wako kwenye haya maamuzi na kufanya yanayostahili

Hapo utakuta dereva bajaji anayeongewa mkewe na mvuvi nae anagongana na mke wa mwenye bajaji, halafu unakuta mvuvi nae anagongewa mkewe na kondakta kondakta nae anagongewa na bodaboda
 
Back
Top Bottom