Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Hakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.
Halafu unakuta huyo mvuvi nae anagongewa mkewe na muuza supu
 
Hakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.
Kwanini kijana wa bajaj alioa single maza?
Tuanze hapo kwanza.

#YNWA
 
duniani kuna fujo sana....

Ndoa ni mkataba wa rohoni, binadamu huwezi kumchunga wala kumrekebisha. Kikubwa ni kwenda na Mungu wako kwenye haya maamuzi na kufanya yanayostahili

Hapo utakuta dereva bajaji anayeongewa mkewe na mvuvi nae anagongana na mke wa mwenye bajaji, halafu unakuta mvuvi nae anagongewa mkewe na kondakta kondakta nae anagongewa na bodaboda
Mama D,
Hebu muulize "ILIKUAJE AKAOA SINGLE MAZA??""

#YNWA
 
Mama D,
Hebu muulize "ILIKUAJE AKAOA SINGLE MAZA??""

#YNWA

Hilo swali sitamuuliza maana amechagua anachofanana nacho na kinachompendeza moyo na macho.

Swala la u single wapo waoaji wengi wanaoa single mothers wenye watoto hai na wengine wasio hai, na ndivyo ilivyo kwa waoaji wengi ni single fathers tena kwa watoto waliowakana na kuwakataa
 
Hakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.
Acheni kutuweka roho juu bana...
 
Yani maisha ni ya ajabu sana yani mtu unakuta unakula mke wa mtu alafu na watu wanakula mke wako.
kiufupi mtu ka hana hofu ya Mungu ni sawa na mtu kujaribu kukinga maji kwa gunia
 
Mwanamke ni kiumbe dhaifu kimwili, kiakili na kifkira.

Ukimtania yeye tayari ashahisi vingine

ukimsaidia tayari ashahisi vingine

Ukimsalimia kila siku tayari ashahisi vingine

ukimwangalia tayari ashahisi

Sio hawa tu hii ni toka wale wanawake waliokuwepo toka enzi za Eva, kabla ya ukoloni na baada ya ukoloni kwa hiyo ni nature yao tu, hakuna wa kubadilisha hili swala, tutaondoka duniani watakuja wengine watalalamika hivi hivi ila jibu halitapatikana hadi mwenyezi Mungu aamue vinginevyo

Kwani mwenyezi Mungu hatarudi tena mkuu?[emoji39]
 
Sasa umemuona mmoja tu unaleta uzi hapa eti wanandoa wanagongewa we vipi, tuambie umeona kadha wa kadha huyu, yule, huyo na hao sio mmoja tu unakuja kuwatisha watu, kwa hiyo lengo lako nini au unataka wafanyaje?
 
Mpaka mwanamke anafikia stage ya kukubali kuw amke wa mtu inakuaje anakubali kuchezewa hekalu lake?

Kwangu naamini mwanamke aliyeolewa no matter what anapitia katika ndoa yake hapaswi kuchepuka. Biblia haiwasahii kunguni kabisa wanaume. Ni wanawake tu. Ni vyema tukajitambua thamani zetu. Na kama ndoa imeshindikana basi achaneni rasmi. Mwanamke mwili wako ni hekalu. Ilinde.
 
Hapo ni
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Ukerewe au Musoma
 
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Ni mawazo ya kitoto tu..

Hayo mambo yalikuepo tangu zamani, hata mama yako amegongwa sana na wanaume tofauti na baba yako na yawezekana mpaka huyo unayemwita baba yako sio baba yako.

Najua umeukuta msemo usemao kitanda hakizai haramu.. waliyajua haya. Ila kwakuwa ww ni mtoto ndio maana unashangaa leo.
 
Back
Top Bottom