Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 719
Kumbe umemuona mke wa dereva bajaji fatilia nawengine ndouleta utafiti wajumla
Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo n mwendo wa kugongeana.Duniani kuna fujo sana....
Ndoa ni mkataba wa rohoni, binadamu huwezi kumchunga wala kumrekebisha. Kikubwa ni kwenda na Mungu wako kwenye haya maamuzi na kufanya yanayostahili
Hapo utakuta dereva bajaji anayeongewa mkewe na mvuvi nae anagongana na mke wa mwenye bajaji, halafu unakuta mvuvi nae anagongewa mkewe na kondakta kondakta nae anagongewa na bodaboda
Hawa watu ni nuksitena alikuwaga single mother
Kwa hyo n mwendo wa kugongeana.
Hapo kinachouma sio kutombewa tu ila kinachouma zaidi ni kutombewa na muuza samaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.
Huyo anakufanyia kusudi sasa mkuu[emoji23]Demu anapigiwa na madume kila saa mbele yako huo ujasiri wa kuacha kumpekua unautoa wapi?
Hahaha sasa dem anaficha ficha simu kuna mtu tena hapoHuyo anakufanyia kusudi sasa mkuu[emoji23]
Maana hata kama unachapiwa aisee sio kupigiwa simu ukiwa nae, ukiona anafanya hvyo jua ameshakubali kua Liwalo na Liwe
Makinika wakati wa kuchagua kiongozi [emoji23][emoji23]Hahaha sasa dem anaficha ficha simu kuna mtu tena hapo
Hahahah uhakika mzee babaMakinika wakati wa kuchagua kiongozi [emoji23][emoji23]
Hawa sio wenzetu ila ni wenzi wetu
Kwahio walikuwa wanaimba kwaya mle au kufanya ukaguzi wa jengo? 😅😅😅 kuwa serious kidogo na akili yakoKutoka guest house haimaanishi walikua wanapigana miti
" Nitakupa samaki unikubalieee" in Galatone voice. Hatari sana wazee hawa baadhi ya wanawake wasio waaminifu kwny ndoa zao.Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.
Kwa hiyo mkuu na wewe unathibitisha kabisa unagongewa?Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.
Umeandika kiroho sana, kiuhalisia na maisha ya sasa yalivyo ni tofauti kabisa. Wake za watu(baadhi) ni wanachezea kama kawaida.Mpaka mwanamke anafikia stage ya kukubali kuw amke wa mtu inakuaje anakubali kuchezewa hekalu lake?
Kwangu naamini mwanamke aliyeolewa no matter what anapitia katika ndoa yake hapaswi kuchepuka. Biblia haiwasahii kunguni kabisa wanaume. Ni wanawake tu. Ni vyema tukajitambua thamani zetu. Na kama ndoa imeshindikana basi achaneni rasmi. Mwanamke mwili wako ni hekalu. Ilinde.
Dah, bora nife na nyeg* zangu tu mkuu. Tumepitia milima na mabonde. Tumeshakua wakubwa. Tunajua jema na baya. Basi tujilinde jamani. Kheee... unajua unapochepuka kwa wakati huo huwezi ona ubaya wake. Kuna muda unakuja kukaa ukifikiria unajikuta na majuto makuu. Kwanini yote hayo? Heshima zetu mbele ya jamii ndo kila kitu. Magonjwa mengi jamani.Umeandika kiroho sana, kiuhalisia na maisha ya sasa yalivyo ni tofauti kabisa. Wake za watu(baadhi) ni wanachezea kama kawaida.
Hakuna cha hofu ya mungu wala nini,kuna mama mchungaji huku anatafunwa ,omba upate mke anayejitambua sio mwenye hofu ya munguAnhaa!....Ila ukioa mwanamke ambaye hana hofu ya Mungu basi ni rahisi mno Kuumia kila kukicha mkuu
Kama mwanamke wa kwanza(Hawa) ambaye ni mama wa wanawake na viumbe wote jamii ya wanadamu kadanganywa unafikiri hawa wengine itakuaje mkuu???
Kikubwa awe na hofu ya Mungu la sivyo lolote linaweza kutokea safarini
Mtatumia kila neno hapa,mara simple space,Repli....nini sijui,lakini ukweli ndio huo mtoa mada kauletaWewe jamaa ni mtu wa ajabu sana, yaani ulichokiona kwa mtu mmoja umekitumia kuhukumu Wanawake wote?. Kwenye taratibu za research huwa kuna ishu ya Sample space na Replication,ndio watu huwezi kusema chochote lkn sio kwa kukutumia tu mmoja.
Kama unachokiongea ndo unachokimaanisha bhac we n bonge la wife material ...Dah, bora nife na nyeg* zangu tu mkuu. Tumepitia milima na mabonde. Tumeshakua wakubwa. Tunajua jema na baya. Basi tujilinde jamani. Kheee... unajua unapochepuka kwa wakati huo huwezi ona ubaya wake. Kuna muda unakuja kukaa ukifikiria unajikuta na majuto makuu. Kwanini yote hayo? Heshima zetu mbele ya jamii ndo kila kitu. Magonjwa mengi jamani.