Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Mpaka mwanamke anafikia stage ya kukubali kuw amke wa mtu inakuaje anakubali kuchezewa hekalu lake?

Kwangu naamini mwanamke aliyeolewa no matter what anapitia katika ndoa yake hapaswi kuchepuka. Biblia haiwasahii kunguni kabisa wanaume. Ni wanawake tu. Ni vyema tukajitambua thamani zetu. Na kama ndoa imeshindikana basi achaneni rasmi. Mwanamke mwili wako ni hekalu. Ilinde.
wacha maneno wewee, wote mnasemaga hivi hivi
 
Mmoja ni mlokole tena msomi sana tu lakini anagongwa sana. Nilipokuja kujua kama wanamvua picchu pamoja na kuwa ni mke wa NTU halafu mlokole kwenye kanisa lao “Anaheshimika sana” nilipigwa na bumbuwazi.
Hofu ya Mungu...wanagongwa tu
 
N
Ni mawazo ya kitoto tu..

Hayo mambo yalikuepo tangu zamani, hata mama yako amegongwa sana na wanaume tofauti na baba yako na yawezekana mpaka huyo unayemwita baba yako sio baba yako.

Najua umeukuta msemo usemao kitanda hakizai haramu.. waliyajua haya. Ila kwakuwa ww ni mtoto ndio maana unashangaa leo.
Naona umeamua kumsagia kunguni.
 
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Form six mnatabu
Hivi hujapangwa JKT au muda wa kwenda bado??
 
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Acha wivu wewe mbona wewe unawanyandua wake za watu
 
wanapatikana wapi hawa waoga wa Mungu? bado wapo? sidhani....TAFUTA HELA
Wapo mkuu, bahati mbaya sana unakutanishwa na yule mwenye Tabia kama yako[emoji23]

Pesa inaweza ikawepo ila mwanamke akaitumia pesa yako unayoitafuta kumhonga Jamaa mmoja uliye mzidi pesa

Kikubwa hofu ya Mungu tu na hakika wapo sema hujakutana nao mkuu [emoji23][emoji23]
 
Ukiwaza kugongewa, hautaoa. We tafuta pesa, waza kile unachoweza kuki control, vingine achana navyo,
Hii ndio point. Dela with what u can control. Mbususu ya mke ninyake na huwezi control kama vile yeye mke hawezi control mgegedo wako.
Cha msingi tuu usimfumanie. Ukimbamba hapo hamna maongezi ni full kumtimua unaingiza pisi kali nyingine.
 
Anhaa!....Ila ukioa mwanamke ambaye hana hofu ya Mungu basi ni rahisi mno Kuumia kila kukicha mkuu

Kama mwanamke wa kwanza(Hawa) ambaye ni mama wa wanawake na viumbe wote jamii ya wanadamu kadanganywa unafikiri hawa wengine itakuaje mkuu???

Kikubwa awe na hofu ya Mungu la sivyo lolote linaweza kutokea safarini
Mwanamke mwenye hofu ya Mungu anapatikana wapi maana wengi naowaona wana hofu ni wale ambao hawana mbele wala nyuma 😅😅😅 no chura no flex
 
YESU peke yake ndie hajagongewa...
Sisi wengine kugongewa ni suna jambo la kawaida tu... Ukigongewa na wewe unaenda kugonga vya nje maisha yanaenda... Wivu na presha mambo ya kizamani
 
Mwanamke mwenye hofu ya Mungu anapatikana wapi maana wengi naowaona wana hofu ni wale ambao hawana mbele wala nyuma 😅😅😅 no chura no flex
Wapo kiongozi sema sasa kwa kutuliza kichwa na ukimpata usianze kumpekua sana maana mwishowe unachokitafuta kwa kumpekua utakipata tu kikubwa muamini halafu ishi tu sio kuanza kupekuana sana 😂
 
Mkuu kwani ndoa ndio kinga ya kutochepuka? umesahau ya kuwa katika ulimwengu wa sasa upendo n gharama kubwa sana kuliko ngono ?

Tunahamasishwa sana kufanya ngono kutokana mazingira halisi lakini sio lazima

Kaka hapo suala sio wanandoa bali ni binadamu kwa ujumla tu tumekuwa tukizidiwa tamaa zetu tu.....

Kikubwa ni kufanya juhudi ya kudhibiti madhaifu binafsi tu ....
 
Wapo kiongozi sema sasa kwa kutuliza kichwa na ukimpata usianze kumpekua sana maana mwishowe unachokitafuta kwa kumpekua utakipata tu kikubwa muamini halafu ishi tu sio kuanza kupekuana sana 😂
Demu anapigiwa na madume kila saa mbele yako huo ujasiri wa kuacha kumpekua unautoa wapi?
 
Back
Top Bottom