Mlio nunua kuku aina ya Kuchi kwa zaidi ya sh. laki moja njooni hapa

Hao kuku wapo mpaka leo na bei yao ipo juu kama kawaida. Mimi ninao na huwa ninawauza na kununua angalia picha chini hapo.
Wateja kibao nauza kiboss kabisa,huwa nakaa kwenye kiti nakunja nne mteja akija.
 

Attachments

  • 20200603_125829.jpg
    126.1 KB · Views: 8
  • 20200603_130157.jpg
    130.3 KB · Views: 7
  • 20200603_130123.jpg
    95.3 KB · Views: 8
  • 20200603_125601.jpg
    164.7 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…