Mlio single mnaishi vipi?

🤣🤣🤣🤣Bwana nani huyo anakusimanga...usitusahau kwenye harusi yako tuje tuserebuke
Hutoweza kuja kwa sababu ipo njee ya uwezo wangu inafanyika zanzibar sasa hatuna tiketi za ndege za wageni za buree waliochangia tu ndio walijumlishwa ila tutakuja dar baada ya honeymoon nitakuinbox uje utupe hongera na my wangu.
 
Tatizo waolewaji sikuhizi wamekuwa na midomo sana nidhamu ilisha poromoka kwahali hiyo vijana wengi hawataki kusumbuana na mtoto wa m2.#This haki sawa is a big probleme.
Shida hao wakuwaoa unawatafutia nje ya Bustani ya Edeni....jaribu kurudi huko kina Eva wapo tu
 
Anyways sina chakufanya ila ushauri wangu .
Ni huwezi ishi maisha yote single .
Unakuwa hujakamilika kabisa
 
Hutoweza kuja kwa sababu ipo njee ya uwezo wangu inafanyika zanzibar sasa hatuna tiketi za ndege za wageni za buree waliochangia tu ndio walijumlishwa ila tutakuja dar baada ya honeymoon nitakuinbox uje utupe hongera na my wangu.
Ah hapo mie naja na boat tuu wala sina shida ya ndege
 

Sabuni zipo
 
Ningumu kuja bila kadi na kadi tunauza sh. Laki moja hapo utakula nakunywa nakuwaona pisi kali za rangi zote duniani.
Unaona ...sasa kadi laki kweli unadhani kweli tutaoa sie boda boda?
Wacha tuendelee na hawa vibingi vya fomfoo na wake za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…