Mlio single mnaishi vipi?

Mlio single mnaishi vipi?

Tumezoea tena tuna raha kweli.

Ni kula vzr,kunywa tutakavyo n.k
 
Tuwe serious na hili tokea 2019 mpaka sasa kuna mtu hajaolewa na kuna mtu hajaoa mpaka sasa leo hii mtuelezee matatizo mnayokumbana nayo ili muweze kutoa dukuduku zenu.

Halafu kingine ninaomba kujua kama mpo single mnaishije? Tuambizane.

Changamoto mnazokutana nazo.

Nipo serious
Maisha ni vile unavyoamua,

kuwa single haimaanishi hutombi,

kuwa single ni kutokuwa na mpenzi,

yaani unakuwa free demu yeyote yule unatomba kimasihara bila kujihusisha na mahusiano,

ukimuelewa unafunguka tu unaandaa mazingira unatomba baada ya hapo hakuna kutafutana tena
 
Maisha ni vile unavyoamua,

kuwa single haimaanishi hutombi,

kuwa single ni kutokuwa na mpenzi,

yaani unakuwa free demu yeyote yule unatomba kimasihara bila kujihusisha na mahusiano,

ukimuelewa unafunguka tu unaandaa mazingira unatomba baada ya hapo hakuna kutafutana tena
Wee utakuwa yule handsome boy aliye msumbua Kelsea wangu
 
Daah bora kuwa single, juzi juzi tu hapa nikaona wacha nipunguze uzito. Basi kimasihara nikaanza vijimahusiano na Binti fulani mtulivu kiasi, siku iliyofuata binti aliishiwa umeme,MBOGA,Mafuta ya kupikia na gezi ikaisha.[emoji3064][emoji3064][emoji119][emoji119][emoji119]. Mpaka sasa nimerudi chama letu la ubachelani.
 
Tunaish kawaid kweny sayar yetu hi ya kuitwa dunia, tunapata jua na mvua pia. Tunaumwa njaa na kushba pia.........tunapata mahitaj muhimu ambayo n mavazi, malazi na chakula; na pia tuna afya tele kabsa.
 
Huwa siamini sana kama mwanamke aliyewahi kugegedwa anaweza kwenda na ukame wa mwaka bila kuguswa. Anyway, huo ni ushuhuda wa Ke siwezi kupinga.
Nilijua tulielewana kumbe bado [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom