Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

Kwa atakayepitia hapa nafikiri mjinga atamuona ni nani kulingana na comment zetu,sina hofu wala uoga kimaisha naishi maisha ya kawaida kabisa amabayo nasema Mwenyezi Mungu asante (Hivi wakati mwingine mnaposhindwa kukoment kistaarabu mnapungukiwa nini? Hili ni jukwaa tu sio hukukumu wala hatuwezi kumlazimisha aliyeoomba ushauri aamue kama sie tunavyotaka ),safari ya biashara ina kitu inaitwa break even period,ni kipindi ambacho biashara lazima ikutegemee kabla hujaitegemea,ok...sawa nakubaliana na wewe kazi aache kabla hajaanza kuisoma " return" ya biashara atakuwa na mkondo gani wa kuimarisha biashara hiyo?,kumbuka maisha ya kila siku yanahitaji pesa itoke ndani "and at the same time" hujaisoma poa return ya biashara, akikurupuka kuacha kazi atakumbuka.Kaka hata sisi pia ni waajiriwa lakini "at the same time" tunaujasilia mali na maisha yanasonga.
Narudia tena kazi asiaache mpake aweze kusoma return ya biashara imekaaje,kwani kazi ni jela hawezi kuwa muuajiriwa na mwisho awa siku mambo yakisimama wima kazi unaacha ?maisha ya biashara sio 1+1=2.
Right
 
Kwa atakayepitia hapa nafikiri mjinga atamuona ni nani kulingana na comment zetu,sina hofu wala uoga kimaisha naishi maisha ya kawaida kabisa amabayo nasema Mwenyezi Mungu asante (Hivi wakati mwingine mnaposhindwa kukoment kistaarabu mnapungukiwa nini? Hili ni jukwaa tu sio hukukumu wala hatuwezi kumlazimisha aliyeoomba ushauri aamue kama sie tunavyotaka ),safari ya biashara ina kitu inaitwa break even period,ni kipindi ambacho biashara lazima ikutegemee kabla hujaitegemea,ok...sawa nakubaliana na wewe kazi aache kabla hajaanza kuisoma " return" ya biashara atakuwa na mkondo gani wa kuimarisha biashara hiyo?,kumbuka maisha ya kila siku yanahitaji pesa itoke ndani "and at the same time" hujaisoma poa return ya biashara, akikurupuka kuacha kazi atakumbuka.Kaka hata sisi pia ni waajiriwa lakini "at the same time" tunaujasilia mali na maisha yanasonga.
Narudia tena kazi asiaache mpake aweze kusoma return ya biashara imekaaje,kwani kazi ni jela hawezi kuwa muuajiriwa na mwisho awa siku mambo yakisimama wima kazi unaacha ?maisha ya biashara sio 1+1=2.
Inawezekana kaxi yako IPO karibu sana na biashara yako...c ukaribu wa km au mita...LA hasha ni ukaribu wa kutoka kazin na kuifuatilia muda wote na wakati wote....ukaribu ktk biznes unayofanya ni jmbo LA msingi...NI HILO TU
 
Hahaa haoa unatiwa Uoga unaimba ushauri kwa waajiriwa? Hahaaa ni sawa na mtu anaye takakuacha kutumia madawa ya kulevya anaenda kuomba ushauri kwa Mateja wenzake wamashauri jinsi ya kuacha.

Wewe mama unaacha acha tu ila ili uache haihitaji kuomba ushauri mashauri wako mkuu ni wewe mwenyewe mkuu.
 
Kwa atakayepitia hapa nafikiri mjinga atamuona ni nani kulingana na comment zetu,sina hofu wala uoga kimaisha naishi maisha ya kawaida kabisa amabayo nasema Mwenyezi Mungu asante (Hivi wakati mwingine mnaposhindwa kukoment kistaarabu mnapungukiwa nini? Hili ni jukwaa tu sio hukukumu wala hatuwezi kumlazimisha aliyeoomba ushauri aamue kama sie tunavyotaka ),safari ya biashara ina kitu inaitwa break even period,ni kipindi ambacho biashara lazima ikutegemee kabla hujaitegemea,ok...sawa nakubaliana na wewe kazi aache kabla hajaanza kuisoma " return" ya biashara atakuwa na mkondo gani wa kuimarisha biashara hiyo?,kumbuka maisha ya kila siku yanahitaji pesa itoke ndani "and at the same time" hujaisoma poa return ya biashara, akikurupuka kuacha kazi atakumbuka.Kaka hata sisi pia ni waajiriwa lakini "at the same time" tunaujasilia mali na maisha yanasonga.
Narudia tena kazi asiaache mpake aweze kusoma return ya biashara imekaaje,kwani kazi ni jela hawezi kuwa muuajiriwa na mwisho awa siku mambo yakisimama wima kazi unaacha ?maisha ya biashara sio 1+1=2.
Mawazo ya kiuoga haya, ni vigumu mfanya kazi kumshauri mfanya kazi aachekazi.
Kitu pekee kinacho tugharimu ni Uoga na hakuna kitu kingine
 
Kwa atakayepitia hapa nafikiri mjinga atamuona ni nani kulingana na comment zetu,sina hofu wala uoga kimaisha naishi maisha ya kawaida kabisa amabayo nasema Mwenyezi Mungu asante (Hivi wakati mwingine mnaposhindwa kukoment kistaarabu mnapungukiwa nini? Hili ni jukwaa tu sio hukukumu wala hatuwezi kumlazimisha aliyeoomba ushauri aamue kama sie tunavyotaka ),safari ya biashara ina kitu inaitwa break even period,ni kipindi ambacho biashara lazima ikutegemee kabla hujaitegemea,ok...sawa nakubaliana na wewe kazi aache kabla hajaanza kuisoma " return" ya biashara atakuwa na mkondo gani wa kuimarisha biashara hiyo?,kumbuka maisha ya kila siku yanahitaji pesa itoke ndani "and at the same time" hujaisoma poa return ya biashara, akikurupuka kuacha kazi atakumbuka.Kaka hata sisi pia ni waajiriwa lakini "at the same time" tunaujasilia mali na maisha yanasonga.
Narudia tena kazi asiaache mpake aweze kusoma return ya biashara imekaaje,kwani kazi ni jela hawezi kuwa muuajiriwa na mwisho awa siku mambo yakisimama wima kazi unaacha ?maisha ya biashara sio 1+1=2.
Ushauri wako umeujenga kwenye uoga.

Biashara ya aina yoyote ili ufanikiwe unatakiwa kusimamia mwenyewe, hapa sizungumzii biashara za kumuweka Shemeji,Mke, Mama mdogo, Shangazi au Mjombo. Nazungumzia mwebye Idea lazima a implement Idea yake mwenyewe.

Muomba ushauri kafanya kosa sana kuja kuomba ushauri humu.
 
Kujiajiri mkuu ni mpango mzuri sana lakini kipindi cha mwanzo ni kujifuza zaidi. Kwa hiyo ukishakuwa na mtaji pia uwe na akiba ya kusastain kama miaka miwili ili ku cover loss zinazotokana na ugeni katika kazi mpya.
Faida ya kujiajiri ni fursa ya kuongeza mapato hata mara mia kuliko kuajiriwa ambapo mwajiri ndiye mwamuzi wa kukuongezea mapato na wale sio wewe.
 
Uoga ndo huwa unatumaliza, na ukizingatia vyuoni nako tulienda kusomea Uoga sasa inakuwa tabu tupu.

Hakuna kikwazo cha mtu kuacha kazina kujiajiri zaidi ya Uoga.
Uoga wa kuchekwa
Uoga wa kusemwa semwa.
Uoga wa kufilisika
Uoga wa heshima kushuka

Kama mtu anaacha kazi ni aache mwenyewe na asonge mbele mwenyewe make kuomba ushauri ni kutafuta Uoga zaidi.

Muguku yule Marehemu Bilionare wa Kenya wakati ameacha kazi ya kufunidha na kuanza kufuga kuku alikutana na vikwazo kutoka kwa wazazi wake na pia rafiki zake.
Wazazi wa Muguku waliamini kijana wao karogwa ndo maana kaacha kazi, walifikia hatua ya kwenda kwa waganga kutafuta dawa ya kumtibu kijana wao.

Muguku alisimama na hadi kifo chake alikuwa Bilionare namba 5 nchini Kenya na pia Mkenya pekee individual mwenye hisa nyingi kwenye benki ya Qquity ya Kenya.
Mahojiano yake ya mwisho alisema kama angeamua kusikiliza ushauri wa wazazi na ndugu na jamaa wengine basi asingekuwa pale ambapo yupo sasana huenda angekufa masikini.

So kama unaacha kazi usiombe ushauri bali watu wakukuge tiyari uko field na hapo ndo waanze kushangaa.
 
Kujiajiri mkuu ni mpango mzuri sana lakini kipindi cha mwanzo ni kujifuza zaidi. Kwa hiyo ukishakuwa na mtaji pia uwe na akiba ya kusastain kama miaka miwili ili ku cover loss zinazotokana na ugeni katika kazi mpya.
Faida ya kujiajiri ni fursa ya kuongeza mapato hata mara mia kuliko kuajiriwa ambapo mwajiri ndiye mwamuzi wa kukuongezea mapato na wale sio wewe.
Unajifunza wapi? Mkuu mwenye Idea ndo anatakiwa kuongoza Idea yake. Kufanya biashara kwa simu ni kujiandaa kutumia mshahara kulipia wafanya kazi mshahara. Yaani mfano unafuga kuku inabidi uchukue pesa benki ukalishe kuku make no progress
 
Kwa atakayepitia hapa nafikiri mjinga atamuona ni nani kulingana na comment zetu,sina hofu wala uoga kimaisha naishi maisha ya kawaida kabisa amabayo nasema Mwenyezi Mungu asante (Hivi wakati mwingine mnaposhindwa kukoment kistaarabu mnapungukiwa nini? Hili ni jukwaa tu sio hukukumu wala hatuwezi kumlazimisha aliyeoomba ushauri aamue kama sie tunavyotaka ),safari ya biashara ina kitu inaitwa break even period,ni kipindi ambacho biashara lazima ikutegemee kabla hujaitegemea,ok...sawa nakubaliana na wewe kazi aache kabla hajaanza kuisoma " return" ya biashara atakuwa na mkondo gani wa kuimarisha biashara hiyo?,kumbuka maisha ya kila siku yanahitaji pesa itoke ndani "and at the same time" hujaisoma poa return ya biashara, akikurupuka kuacha kazi atakumbuka.Kaka hata sisi pia ni waajiriwa lakini "at the same time" tunaujasilia mali na maisha yanasonga.
Narudia tena kazi asiaache mpake aweze kusoma return ya biashara imekaaje,kwani kazi ni jela hawezi kuwa muuajiriwa na mwisho awa siku mambo yakisimama wima kazi unaacha ?maisha ya biashara sio 1+1=2.
Nimekupata Mkuu
 
Ushauri wako umeujenga kwenye uoga.

Biashara ya aina yoyote ili ufanikiwe unatakiwa kusimamia mwenyewe, hapa sizungumzii biashara za kumuweka Shemeji,Mke, Mama mdogo, Shangazi au Mjombo. Nazungumzia mwebye Idea lazima a implement Idea yake mwenyewe.

Muomba ushauri kafanya kosa sana kuja kuomba ushauri humu.
Kama wewe ni mfanyabiashara na uliiandaa " business plan" kabla ya kuanza biashara utakuwa unanielewa ninachokisema labda uwe uko "rigid" tu.Biashara inayoendelea sana au yenye "future" ya kuendelea suala la kutengeneza nafasi za kazi kwa watu wengine ndani ya shughulli zako huwa halikwepeki.
 
Habar wanajamvi mimi ni Muajiriwa katika shirika Moja lisilo la kiserikali na kazi ninayo jishuhulisha nayo nje ya ajira yangu ni kilimo na pia nina malengo ya kufuga kuku wa aina zote yaani chotara, wa mayai na wanyama na malengo yangu ni kuacha kazi na kusimamia shuhuli zangu za kilimo na ufugaji. Sasa wadau ambao mliacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe mlipitia changamoto gani pindi Mlipoacha kazi.
Karibu sana mkuu changamoto zipo fanya ya fuatayo kwanza kabla ya kuchomoka uko ulipo

1 anda iyo sehemu unayotaka kufanyia mradi wako

2 jenga mabanda ya kisasa ambayo hayatokupa hasara kwa kuingiliwa na mvua au wanyama wakali wakaharibu mifugo yako na kutapa hasara NA KATIKA UFUGAJI MABANDA NDO MTAJI MKUBWA SANA

3 kuanzia sasa anza kuwatembelea wafugaji wakupe changamoto zao na jins wanavyo zitatu ili upate uzoefu za kiakili

4 fanya maamuzi unataka kuanza na kuku gan na waina gan mbegu zilizo bora

5 anza mradi lakin kwanza ukiwa umemuweka mtu fanya ivyo kwa kipindi cha miez 3/6 apo sasa utakua umekomaa na ushajua changamoto zote na mradi utakua umeanza kutoa matunda sasa apo unaacha KAZI TENA KWA JEURI mm ndo njia niliyotumia sikuteteleka sana
 
Asanten kwa ushauri ila kwenye kilimo nishaona mafanikio yake ila changamoto ni muda kwani kuna kipindi natakiwa kusafiri kwenda kuangalia miradi yangu ya kilimo na huku kazini nahitajika hivyo nashindwa kujigawa hivyo inabidi nimtume mtu sasa hapo ndio garama inavyoongezeka kwani lazima kijana umgaramie kila kitu kisha umpe na posho
Acha kazi, uwepo wako kwenye biashara yako ni kitu cha msingi sana, huyu unayemtuma aweza sema uongo pia.
 
Hiyo Ndoto uliyonayo zuifanyie kazi immediately, Changamoto zipo ila unazigeuza kuwa fursa. Usiogope kuacha kazi
 
Habar wanajamvi mimi ni Muajiriwa katika shirika Moja lisilo la kiserikali na kazi ninayo jishuhulisha nayo nje ya ajira yangu ni kilimo na pia nina malengo ya kufuga kuku wa aina zote yaani chotara, wa mayai na wanyama na malengo yangu ni kuacha kazi na kusimamia shuhuli zangu za kilimo na ufugaji. Sasa wadau ambao mliacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe mlipitia changamoto gani pindi Mlipoacha kazi.

Je ufanisi wa kazi yako umefikia hatua ya kukuitaji wewe tu na sio mwingine? don't just be excited kuacha kazi, nimejifunza mengi na ningeweza kukushauri sana ila hata kwa kuandika sidhani kama itatosha.
 
Kwa kifupi.
Wakati tunamaliza darasa la saba miaka hiyoo,
Kuna rafiki yangu anaitwa Chaula,akatuuliza swali,hivi mnaenda sekondari kufanya nini?
Yeye alikuwa na maono yake,kwamba masomo ya darasa la saba yanamtosha kutatua changamoto zilizo mzunguka.
Namnukuu,ujanja ni kufahamu kujumlisha,kutoa,kugawanya na kuzidisha,pia na lugha kama kiigereza na nyinginezo muhimu.
>Tulipo maliza sekondari Chaula akawa ana meza sokoni,duka moja la rejareja na moja la jumla.
>Tulipo maliza six yeye akawa anamiliki mashine ya kusaga nafaka,na malori mawili.
>Tulipo maliza chuo,akawa tayari ana mabasi ya kwenda Dar es salaam.
>Tulipo anza kutafuta kazi akatushauri tujiajiri,wakati huo tayari anamiliki hoteli kadhaa.
>tulipo kuwa tunastaafu kazi,anatukaribisha kwenye shughuli zake kwa mkataba maalum,ili aone kama elimu tuliyopata inaweza kumsaidia.
KWA USHAURI>
Bora ujiajiri mapema ,kuajiriwa ni utumwa.
 
Back
Top Bottom