Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

Karibu sana mdau labda nikutie Moyo tu kwa uamuzi wako na nikupe mfano wa kosa linalofanywa na wengi walio ajiriwa. Kuna watu kama wewe huanzisha miradi hii na kuajiri watu waisimamie, unakuta anayesimamia haifanyi kazi ipsavyo ila atakuibia kidogo kidogo na akiondoka anaanzisha biashara kama hiyo bila wewe kufahamu alikuwa anakuibia kiasi cha kupata mtaji. Tunaona vijana wengi wanavyo ajiriwa kwenye maduka hasa ya rejareja na kuacha kazi baadae na kufungua maduka binafsi wakati mshahara wake ulikuwa elfu hamsini au laki. Sasa aliyemuajiri angeacha hiyo kazi anayofanya na akasimamia mradi mwenyewe si mradi ungemtoa?

Kikubwa kuwa jasiri na ujue kujifariji maana kuna nyakati mambo yanaweza kuwa hovyo ukawaza kurudi kuajiriwa. Self motivation is key to succeed in this. Kila la heri.
Roger that
 
Karibu kwenye mapambano mkuu.
Huku tunafanya kazi kwa uhuru, tunao muda wa kutosha kutafakari harakati zetu za kiutafutaji na isitoshe kwenye field hii utakutana na wadau wapambanaji wenzako watakupa experience zao na kukufanyia wepesi katika kung'amua changamoto.
Huku utapata wasaa mkubwa wa kuzikamatia fursa na pengine kukupeleka kwenye ulimwengu wa mafanikio!

Hongera kwa kukataa utumwa. Hongera kwa kukataa umasikini. Wengine eti wanasubiri kustaafu ndo waanze mapambano!
Komaa ungali ukiwa damu inachemka...
 
Una umri gani? Je una familia? Hayo ni maswali mazuri ya kuzingatia!
Kama umri wako ni chini ya miaka 30 na hujaoa acha kazi fasta na ujiajiri hata kama mtaji ni kidogo, utakua Nao!
Lakini kama una umri zaidi ya 35! Au kama tayari una familia usithubutu kuacha ajira Bali ajiri mtu asimamie miradi yako!
 
Karibu sana mdau labda nikutie Moyo tu kwa uamuzi wako na nikupe mfano wa kosa linalofanywa na wengi walio ajiriwa. Kuna watu kama wewe huanzisha miradi hii na kuajiri watu waisimamie, unakuta anayesimamia haifanyi kazi ipsavyo ila atakuibia kidogo kidogo na akiondoka anaanzisha biashara kama hiyo bila wewe kufahamu alikuwa anakuibia kiasi cha kupata mtaji. Tunaona vijana wengi wanavyo ajiriwa kwenye maduka hasa ya rejareja na kuacha kazi baadae na kufungua maduka binafsi wakati mshahara wake ulikuwa elfu hamsini au laki. Sasa aliyemuajiri angeacha hiyo kazi anayofanya na akasimamia mradi mwenyewe si mradi ungemtoa?

Kikubwa kuwa jasiri na ujue kujifariji maana kuna nyakati mambo yanaweza kuwa hovyo ukawaza kurudi kuajiriwa. Self motivation is key to succeed in this. Kila la heri.
Ushaur mzur sn
 
Kumbka alokuajiri alijiajir kwanza na kuweza kukuajiri wewe umsaidie...Chukua hatua kabla hio jembe haijaisha
 
Habar wanajamvi mimi ni Muajiriwa katika shirika Moja lisilo la kiserikali na kazi ninayo jishuhulisha nayo nje ya ajira yangu ni kilimo na pia nina malengo ya kufuga kuku wa aina zote yaani chotara, wa mayai na wanyama na malengo yangu ni kuacha kazi na kusimamia shuhuli zangu za kilimo na ufugaji. Sasa wadau ambao mliacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe mlipitia changamoto gani pindi Mlipoacha kazi.
Wadau ni ushauri wangu tu ila Kama mkiupenda mtaufuata kama huhitaji kuajiriwa na upo Dar Wekeza Alliance in Motion Global ujiajiri mwenyewe kuna watu tumeacha kazi na kujiajiri huko,,na sasa tunatengeneza ela kama mkiipenda na nyie tunaweza kuwasiliana,,
Call /whasap 0716-473786
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
FB_IMG_1488978920683.jpg
FB_IMG_1488977430830.jpg
 
Nice thinking. wachache sana wenye ufikir huru kama wewe. Cha msingi tambua hakuna tajiri aliyeajiriwa hapa Duniani. .moja kati ya njia za kuongeza kipato ni kuacha kazi ya kuajiriwa. Big up to u. umefikir nje ya box. Mchukie Boss ona yeye ndo amefifisha ndoto zako,ametumia muda wako kama mkanda wake. Jipe moyo
 
Je ufanisi wa kazi yako umefikia hatua ya kukuitaji wewe tu na sio mwingine? don't just be excited kuacha kazi, nimejifunza mengi na ningeweza kukushauri sana ila hata kwa kuandika sidhani kama itatosha.
From initialy wewe mwebye Idea ndo unatakiwa kuwa kiongozi. Biashara ni kama mtoto mchanga, mtoto mchanga anahitaji sana malezi ya mama mwanzoni tu anapo zaliwa so ni the same na biashara
 
Nice thinking. wachache sana wenye ufikir huru kama wewe. Cha msingi tambua hakuna tajiri aliyeajiriwa hapa Duniani. .moja kati ya njia za kuongeza kipato ni kuacha kazi ya kuajiriwa. Big up to u. umefikir nje ya box. Mchukie Boss ona yeye ndo amefifisha ndoto zako,ametumia muda wako kama mkanda wake. Jipe moyo
Ni kweli hakuna Tajiri mwajiriwa na hajawahi tokea
 
From initialy wewe mwebye Idea ndo unatakiwa kuwa kiongozi. Biashara ni kama mtoto mchanga, mtoto mchanga anahitaji sana malezi ya mama mwanzoni tu anapo zaliwa so ni the same na biashara

From what you wrote, get an adult advice, don't quit your JOB. Usiache kazi. You might succeed, but this can be a very long and hard way.
 
Karibu sana mkuu changamoto zipo fanya ya fuatayo kwanza kabla ya kuchomoka uko ulipo

1 anda iyo sehemu unayotaka kufanyia mradi wako

2 jenga mabanda ya kisasa ambayo hayatokupa hasara kwa kuingiliwa na mvua au wanyama wakali wakaharibu mifugo yako na kutapa hasara NA KATIKA UFUGAJI MABANDA NDO MTAJI MKUBWA SANA

3 kuanzia sasa anza kuwatembelea wafugaji wakupe changamoto zao na jins wanavyo zitatu ili upate uzoefu za kiakili

4 fanya maamuzi unataka kuanza na kuku gan na waina gan mbegu zilizo bora

5 anza mradi lakin kwanza ukiwa umemuweka mtu fanya ivyo kwa kipindi cha miez 3/6 apo sasa utakua umekomaa na ushajua changamoto zote na mradi utakua umeanza kutoa matunda sasa apo unaacha KAZI TENA KWA JEURI mm ndo njia niliyotumia sikuteteleka sana
Asante Mkuu je unafanya biashara gani?
 
Unajifunza wapi? Mkuu mwenye Idea ndo anatakiwa kuongoza Idea yake. Kufanya biashara kwa simu ni kujiandaa kutumia mshahara kulipia wafanya kazi mshahara. Yaani mfano unafuga kuku inabidi uchukue pesa benki ukalishe kuku make no progress
Idea is basically theoretical. impleentation of the idea is practical and it is here where one learns. samahani kwa kubadili lugha.
kwa hivi mkuu unapotekeleza wazo si lazima matokeo yawe kama ulivopanga kwa hivi unapoanza unapata changamoto na unazisahihisha kidogo kidogo
Nina uzoefu flani. niliambiwa ukilima heka moja ya mahindi mabichi utapata milioni 3. nilienda kulima nikaishia mil 1. lakini nilipatakujua sababu kwa nini sikupata hicho kiasi na nikirudia tena nitaongeza kipato na nina hakika. Huko ndiko kujifunza mkuu.
 
Hahaa haoa ******* Uoga unaimba ushauri kwa waajiriwa? Hahaaa ni sawa na mtu anaye takakuacha kutumia madawa ya kulevya anaenda kuomba ushauri kwa Mateja wenzake wamashauri jinsi ya kuacha.

Wewe mama unaacha acha tu ila ili uache haihitaji kuomba ushauri mashauri wako mkuu ni wewe mwenyewe mkuu.
Au mtu anayetaka kujinyonga anaomba ushauri kwa wana familia mhi hi hi, kikubwa ni kujiandaa kisaikolojia asitake easy/faster money huko ni kwenda kuanza moja kabisaa juhudi na malego ndo zitakufikisha utakako kwenda
 
Au mtu anayetaka kujinyonga anaomba ushauri kwa wana familia mhi hi hi, kikubwa ni kujiandaa kisaikolojia asitake easy/faster money huko ni kwenda kuanza moja kabisaa juhudi na malego ndo zitakufikisha utakako kwenda
Hahaaa ndo hivyo, ukiona mtu anaowaambia ndugu kwamba anataka kujinyonga jua huyo anaogopa sana kifo, ila asie ogopa watu hushitukia mtu ana ning'inia juu ya mti.

Mimi sikuomba Ushauri kwa mtu bali mwenyewe, Mimi ndo kiongozi wa maisha yangu mimi ndo incharge mkuu wa maisha yangu na si mwingine.
 
Back
Top Bottom