Mliobadili ID....

Mliobadili ID....

[emoji23] [emoji23] [emoji23] nipauke kwa lipi sasa chaa naona unajifariji wakati wewe ndo unapauka

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Naanzaje kwamfano and i have le super hubby in the world MO11 himself. We endelea kusaranda na dunia, ukiimaliza nawe utakuwa ushakwisha.
Sasa utachambwa na wanaume hadi lini mama? Hebu jiweke hata kwa RRONDO ujitulize.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nipauke kwa lipi sasa chaa naona unajifariji wakati wewe ndo unapauka

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app


Naanzaje kwamfano and i have le super hubby in the world MO11 himself. We endelea kusaranda na dunia, ukiimaliza nawe utakuwa ushakwisha.
Sasa utachambwa na wanaume hadi lini mama? Hebu jiweke hata kwa RRONDO ujitulize.


Nyie wake wenza huwa mnanifanya nicheke Mwenyewe. [emoji28]
 
Naanzaje kwamfano and i have le super hubby in the world MO11 himself. We endelea kusaranda na dunia, ukiimaliza nawe utakuwa ushakwisha.
Sasa utachambwa na wanaume hadi lini mama? Hebu jiweke hata kwa RRONDO ujitulize.
[emoji23] [emoji23] ulishawahi kujiuliza kwa nini wananichamba? Ni hasira tu coz they can't have me. Af MO11 ni kaka yangu nikikuambia idadi ya wifi zangu you will be shocked ila kwa vile we kichwa maji nakuacha uendelee kujilisha upepo
 
[emoji23] [emoji23] ulishawahi kujiuliza kwa nini wananichamba? Ni hasira tu coz they can't have me. Af MO11 ni kaka yangu nikikuambia idadi ya wifi zangu you will be shocked ila kwa vile we kichwa maji nakuacha uendelee kujilisha upepo
Oooooh dear!! Get a life.

Kujifariji kawaida yako, no one can have you, even the devil himself. Mbinguni wala ahera haupo.

MO11 is here to stay, huo undugu wenu wa kulazimisha hapa kwetu hauna nafasi, sawa bibie!!
 
Aisee mbona mna roho nyepesi hivyo? Mtu anajitolea kwa moyo safi then mnakuwa na mawazo ya kunyonywa damu....
Ngoja siku kifaa cha kutambua mioyo ya watu kikigundulika then tutapanda tu wala usihofu. Kumbuka hata shetani was once an Angel.
 
Eti from no where tu huyoo napanda lift mtu hata simfahamu!! The world isnt that safe jamani. Mie hadi wanaonaga naringa, acha tu ninyeshewe ila nitafika niendako salama kuliko kuparamia tu magari ya watu nisowafahamu.
Kumbe unaringa kweli nilifikiri nakuonea...
 
Oooooh dear!! Get a life.

Kujifariji kawaida yako, no one can have you, even the devil himself. Mbinguni wala ahera haupo.

MO11 is here to stay, huo undugu wenu wa kulazimisha hapa kwetu hauna nafasi, sawa bibie!!
[emoji23] [emoji23] ni ushauri wa bure tu unaweza kuchukua au kuacha...ni suala la wakati tu wewe na kile kitoto chako kisicho na adabu kuondoka
 
Back
Top Bottom