Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mbona ipo kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ipo kila siku
Ewaaa....Oooh!! Njoo unywe.
Kidogo tu.Ewaaa....
Nakunywa kweli kweli...!
Sanaaa....Kidogo tu.
Hayo ya sana nunua yako.Sanaaa....
Karibu siku nyingine hii.Hayo ya sana nunua yako.
Salama kabisa, mumeamkaje?Karibu siku nyingine hii.
Habari ya kuamka?
Salamaaaa, kumekucha tukawajibike.....Salama kabisa, mumeamkaje?
Daby &co hata sijui kwakweli.Salamaaaa, kumekucha tukawajibike.....
Hapa naliandaa guta nikahenye....
Naamini Asprin, RRONDO, Heaven Sent, Daby & co wameamkamo....
Umetongozwa tena?Mwanaume busy Pm za wadada unatongoza???
Kila Id upitie wewe? inashangazaa...
Usiogope.......
Inakataza nini?Usiogope.......
Sumaku inakataza hivo..
Chanya na chanya bali chanya na hasi u kusini na kaskaziniInakataza nini?
Kuna fala alikuja kunitongoza akajua mi demu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kidogo nimwanikeMwanaume busy Pm za wadada unatongoza???
Kila Id upitie wewe? inashangazaa...
Umetongozwa tena?
Au umekuja na ID mpya?
Kuna fala alikuja kunitongoza akajua mi demu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kidogo nimwanike
Nilimstahi tuu, maana ni mtu maarufu humu na mchangiaji mzuri. Ila ni ujinga, kama wamezidiwa si wakapige punye****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaaah! hulka ya ajabu sana hii halafu ukute ni mtu mzima ana mvi mpaka kwenye ulimi kutwa kucha kutongoza tongoza
Kama sijakupata hivi!!Chanya na chanya bali chanya na hasi u kusini na kaskazini