kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Mbona yashatoka siku nyingi tu?Vp walio fanya tax management officer majib Yao jmn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yashatoka siku nyingi tu?Vp walio fanya tax management officer majib Yao jmn
Mkuu, Oral Interview unapiga lini..?Mbona yashatoka siku nyingi tu?
I mean PDF Boss??Mbona yashatoka siku nyingi tu?
Rudia as many as you can until you get two Questions with Your correct answersWakuu nina changamoto ya kujiandikisha tume ya ajira, hasa kipengele cha ku update taarifa za Nida, nisaidieni, maana wanauliza maswali ambayo nishasahau, mfano jina la mtaa uliojindikisha,na wanataka usikosee herefuli,
We ulifanya oral?Tupeni mrejesho wa oral wakuu.
Una uzee gani we mwalimu tarajali?Acheni kushinda Instagram kuangalia makalio ya watoto wazuri.muwe mnajiandaa vyema, pamoja na uzee wangu huu ila huo mtihani naweza kuujibu hata sasa hivi bila kufanya reference yoyote.
Hata sikuitwa written
Umefanya Leo Oral..?Pole na hongera ndugu!!! Maombi muhimu.. matokeo ya Oral yatakuwa lini
Nadhani after two weeksPole na hongera ndugu!!! Maombi muhimu.. matokeo ya Oral yatakuwa lini
Matokeo ni kupangiwa tu Vito vya kazi... We ni miongoni mwa waliofanya Oral Leo..?Nadhani after two weeks
Mmeulizwa maswali Gani kwenye customs kiongozi?Nadhani after two weeks
JanaMatokeo ni kupangiwa tu Vito vya kazi... We ni miongoni mwa waliofanya Oral Leo..?
Vipi maswali ya kwenye Written yamejirufia kwenye aoral..?Jana
Advanced public finance ni kila chuo wanasoma haswa watu wa accounting and Finance
Sheria ujibu double taxation and customs questions???