Nahisi tumefeli sana Kwa sisi ambao hatujasoma Chuo Cha Kodi.Hii pepar ilikua ngumu sanaa watu hawana hata mzuka nayo .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi tumefeli sana Kwa sisi ambao hatujasoma Chuo Cha Kodi.Hii pepar ilikua ngumu sanaa watu hawana hata mzuka nayo .....
Ya watu wa ICT ukitoka mapema sana.Majibu walisema wataanza kutoa kuanzia tarehe 14 na 15.
Tunataka mkeka hayo ya kimya kimya ndio nnMajibu tayari,ingieni kwenye account zenu za utumishi
Kwa maswali yaliyoletwa hapa, haiwezekani vijana wengi wakose hizo nafasi, waweke hayo matokeo ili watu waone. Niliona hata TAKUKURU vijana wamelalamika sana nikachukulia poa, ila nimewaza nimehisi ndio nafasi za wao kuwapanga watu wao. Inawezekanaje mtu aone matokeo yake binafsi bila ya jumla kuwepo.?
Hata shortlisted walianza kutuma majibu kwenye account then wakaupload kwenye website ya ajira. Nafikiri kesho watatoa mkeka. Ni system ya sasa ilivyo. Ile paper ilisimamiwa na watu wa TRA,UTUMISHI,POLISI, na TISS [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. So fair haipo na hata ikiwepo ni ndogo sana.Kwa maswali yaliyoletwa hapa, haiwezekani vijana wengi wakose hizo nafasi, waweke hayo matokeo ili watu waone. Niliona hata TAKUKURU vijana wamelalamika sana nikachukulia poa, ila nimewaza nimehisi ndio nafasi za wao kuwapanga watu wao. Inawezekanaje mtu aone matokeo yake binafsi bila ya jumla kuwepo.?
Kuna usanii mwingi Sana,Kwa maswali yaliyoletwa hapa, haiwezekani vijana wengi wakose hizo nafasi, waweke hayo matokeo ili watu waone. Niliona hata TAKUKURU vijana wamelalamika sana nikachukulia poa, ila nimewaza nimehisi ndio nafasi za wao kuwapanga watu wao. Inawezekanaje mtu aone matokeo yake binafsi bila ya jumla kuwepo.?
Kuna usanii mwingi SanaKwa maswali yaliyoletwa hapa, haiwezekani vijana wengi wakose hizo nafasi, waweke hayo matokeo ili watu waone. Niliona hata TAKUKURU vijana wamelalamika sana nikachukulia poa, ila nimewaza nimehisi ndio nafasi za wao kuwapanga watu wao. Inawezekanaje mtu aone matokeo yake binafsi bila ya jumla kuwepo.?
Mimi nahisi ile imechakachuliwa Kwa sababu waliuliza maswali rahisi sana ya Tax LawHata shortlisted walianza kutuma majibu kwenye account then wakaupload kwenye website ya ajira. Nafikiri kesho watatoa mkeka. Ni system ya sasa ilivyo. Ile paper ilisimamiwa na watu wa TRA,UTUMISHI,POLISI, na TISS [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. So fair haipo na hata ikiwepo ni ndogo sana.
Ooh hapo sawa, kumbe wanaanza kutoa kwenye akaunti kisha wanatoa PDF. Ila kusimamia mtihani ni kitu tofauti na kusahihisha na kuupload matokeo. Sijui kama umenielewa hapo.Hata shortlisted walianza kutuma majibu kwenye account then wakaupload kwenye website ya ajira. Nafikiri kesho watatoa mkeka. Ni system ya sasa ilivyo. Ile paper ilisimamiwa na watu wa TRA,UTUMISHI,POLISI, na TISS [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. So fair haipo na hata ikiwepo ni ndogo sana.
Mkuu vipi huko umetoboa au tumuachie Mungu tu?Majibu tayari,ingieni kwenye account zenu za utumishi
Wamepata wangapi? Acha kuwalaumu watu mzee. Yaan 79 unaona marks kubwa sana??Dear Team,
Kindly find the attached for your reference and further actions. Unasema paper gumu while watu wanascore 79
Dear Team,
Kindly find the attached for your reference and further actions. Unasema paper gumu while watu wanascore customs wanaitaji watu wamgapi?
Custom waliitaji watu wangapi??Dear Team,
Kindly find the attached for your reference and further actions. Unasema paper gumu while watu wanascore 79
Hayo maswali ya kawaida, la CIF kidogo ndio changamotoo walioipata wengi nazani.Vipi jamani, mambo yameendaje huko?
Maana kuna jamaa yangu alinikopa nauli ya kwenda huko Dodoma kuhudhuria huo usaili nafasi ya Tax management officer ii, jana nampigia kutaka kujua kama amekwisharudi ila akaniambia yeye ni kama alienda kutalii tu huko Dodoma maana pepa haikumwendea poa kabisa, nikamuuliza nini kigeni walichokiuliza kwenye huo mtihani akaniambia acha tu kaka.
Jamani ebu mtupe mrejesho mtihani ulikuaje ili nasi tupate cha kujifunza hapa.
Kivipi mkuu?Kwa hali hii rushwa haitaisha!