Mliobahatika kuhudhuria interview za TRA utumishi, tupeni mrejesho

Mliobahatika kuhudhuria interview za TRA utumishi, tupeni mrejesho

Upande wa Custom Assistant maswali yalikuwa baadhi
1. What is international trade , 3 types za international trade.
3. True and false ili base kwenye BDV. Vipengele 10.
4. Wht is Custom valuation an explain at least method of valuation.
5.ilikuwa hesabu .
3. Kipengele cha tatu kama sikosei ilikuwa udifferentiate
Between harmonized system na transit shed.
 
Upande wa Custom Assistant maswali yalikuwa baadhi
1. What is international trade , 3 types za international trade.
3. True and false ili base kwenye BDV. Vipengele 10.
4. Wht is Custom valuation an explain at least method of valuation.
5.ilikuwa hesabu .
3. Kipengele cha tatu kama sikosei ilikuwa udifferentiate
Between harmonized system na transit shed.
Naona mlikua na ahueni kidogo nyie
 
Upande wa Custom Assistant maswali yalikuwa baadhi
1. What is international trade , 3 types za international trade.
3. True and false ili base kwenye BDV. Vipengele 10.
4. Wht is Custom valuation an explain at least method of valuation.
5.ilikuwa hesabu .
3. Kipengele cha tatu kama sikosei ilikuwa udifferentiate
Between harmonized system na transit shed.
Duh..kazi kweli kweli
 
Upande wa Custom Assistant maswali yalikuwa baadhi
1. What is international trade , 3 types za international trade.
3. True and false ili base kwenye BDV. Vipengele 10.
4. Wht is Custom valuation an explain at least method of valuation.
5.ilikuwa hesabu .
3. Kipengele cha tatu kama sikosei ilikuwa udifferentiate
Between harmonized system na transit shed.
Na walifanya ya custom officer
 
Maswali ninayoyakumbuka yalikuwa kama ifuatavyo kwa kiingereza changu kibovu .
1-10 multiple choices zimesimama hatari.(10 marks)
11a.Differentiate btn International double taxation and domestic double taxation.
b.reasons for occurance of International double taxation.
c.mention two methods of double taxation
12a.Give similarities and differences between exempt VAT and zero rated vat.
b.conditions for a trader to be registered into VAT.
c.effects of VAT to a trader.
13a.Reasons for Tax disputes and measures to control them.
14.write down the procedures to solve the incidence of Tax disputes.
15.ilikua swali la kusolve duties/Tax liabilities za CIF.(25 marks)
Note,hii lilikua paper ya Tax management officer ii
Mmmh hapa kama hukusoma huwezi toboa.
 
sio kitoto hayo maswali labda kwa waliosoma chuo cha kodi akufukuzae akwambii toka
Mi mtu akiwasifia chuo cha kodi huwa nashangaa sana, tena sana. Moja ya vilaza wakubwa hapa kazini ni hao waliotoka ITA. Yaan vilaza mno, weupe peee.
Mtu wa ITA anapewa EXAMINATION anafanya vitu vya ajabu tu. Good TAX MANAGEMENT OFFICER ni yule aliyesoma ACCOUNTS, mostly wanajua kila angle ya kodi na Uhasibu, hivyo hurahisisha ufanyaji wa kazi, hata kugundua ukwepaji wa kodi kitaalamu Wahasibu wako mbali sana kuliko vilaza wa ITA.
 
Mi mtu akiwasifia chuo cha kodi huwa nashangaa sana, tena sana. Moja ya vilaza wakubwa hapa kazini ni hao waliotoka ITA. Yaan vilaza mno, weupe peee.
Mtu wa ITA anapewa EXAMINATION anafanya vitu vya ajabu tu. Good TAX MANAGEMENT OFFICER ni yule aliyesoma ACCOUNTS, mostly wanajua kila angle ya kodi na Uhasibu, hivyo hurahisisha ufanyaji wa kazi, hata kugundua ukwepaji wa kodi kitaalamu Wahasibu wako mbali sana kuliko vilaza wa ITA.

Tena ukute mtu kasomea ACCOUNTS mzumbe [emoji119][emoji119]
 
Mi mtu akiwasifia chuo cha kodi huwa nashangaa sana, tena sana. Moja ya vilaza wakubwa hapa kazini ni hao waliotoka ITA. Yaan vilaza mno, weupe peee.
Mtu wa ITA anapewa EXAMINATION anafanya vitu vya ajabu tu. Good TAX MANAGEMENT OFFICER ni yule aliyesoma ACCOUNTS, mostly wanajua kila angle ya kodi na Uhasibu, hivyo hurahisisha ufanyaji wa kazi, hata kugundua ukwepaji wa kodi kitaalamu Wahasibu wako mbali sana kuliko vilaza wa ITA.
Duh.sio kwamba una bifu nao mkuu?
 
Ila ndio wanaongoza kupata kazi tra
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mpeleke mwanao sasa akasome pale kama mnadanganyana hivyo.
Iko hivi, paper za TRA zilifanya aina fulani ya watu kutoka chuo fulani wajae pale. Mfano miaka fulani Watahiniwa kutoa MZUMBE walikuwa wanaajiriwa zaidi, hii ilitokana na Paper nyingi zilitungwa na Mzumbe nk nk. Sio kama mnavyofikiria ninyi. Amini nakwambia vilaza tu.
 
Sio bifu, hawana akili. Ninafanya nao kazi, wengi hawajui kujiongeza au hata kufikiri nje ya box. Amini nakwambia hamna kitu wale jamaa. Mbaya zaidi GPA zao sasa ni 4+ karibu chuo chote.
kuna taarifa kuwa walimu wao ndiyo wametunga ile pepa ya juzi ya usaili TRA,zina ukweli hizo?
 
Back
Top Bottom