Hebu toa majibu tuone Kama utafika 50%Me nimesoma PSPA, ila kwa maswali hayo sikosi 50%+.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu toa majibu tuone Kama utafika 50%Me nimesoma PSPA, ila kwa maswali hayo sikosi 50%+.
Yuko anayagoogle saiviHebu toa majibu tuone Kama utafika 50%
Halafu kasoma kozi ya kizembe sanaYuko anayagoogle saivi
Kichwa siku zote ndio kinaamua. Unafikiri PSPA hawagusi mambo ya finance...!?Halafu kasoma kozi ya kizembe sana
Yaani nikupe majibu bila wewe kunisimamia hapohapo ili uje useme nime-google...!?Hebu toa majibu tuone Kama utafika 50%
Mkuu kama unayakumbuka maswali yote haya bila shaka umo miongoni mwa watakaobahatika kuchaguliwa!Maswali ninayoyakumbuka yalikuwa kama ifuatavyo kwa kiingereza changu kibovu .
1-10 multiple choices zimesimama hatari.(10 marks)
11a.Differentiate btn International double taxation and domestic double taxation.
b.reasons for occurance of International double taxation.
c.mention two methods of double taxation
12a.Give similarities and differences between exempt VAT and zero rated vat.
b.conditions for a trader to be registered into VAT.
c.effects of VAT to a trader.
13a.Reasons for Tax disputes and measures to control them.
14.write down the procedures to solve the incidence of Tax disputes.
15.ilikua swali la kusolve duties/Tax liabilities za CIF.(25 marks)
Note,hii lilikua paper ya Tax management officer ii
Hamna kitu mkuu,nimeweza kuyakumbuka coz yamenitendaMkuu kama unayakumbuka maswali yote haya bila shaka umo miongoni mwa watakaobahatika kuchaguliwa!
Hukufanya this time?Naona kama wamewalegezea sana, sijui mnalalamika nin vijana?
Kama na mtu wa Evonomics walimuweka kundi moja na mtu wa Taxation hapo pagumu aisee lazima alalamikeNi rahisi kwa wewe uliyesoma TAX
Hebu chukulia mtu aliyesoma Economics anatokaje hapo?
#YNWA
Huyo anafurahisha watu tu hata swali moja hamalizi.Hebu toa majibu tuone Kama utafika 50%
Walikuwepo wengi tu,akiwemo mshikaji wangu tulisafiri nae pamoja,baada ya pepa niliona kakosa raha kabisa.Kama na mtu wa Evonomics walimuweka kundi moja na mtu wa Taxation hapo pagumu aisee lazima alalamike
Pepa ilikuwa mti kweli kama ndio haya najua mtu fidenge hatoboi😅Maswali ninayoyakumbuka yalikuwa kama ifuatavyo kwa kiingereza changu kibovu .
1-10 multiple choices zimesimama hatari.(10 marks)
11a.Differentiate btn International double taxation and domestic double taxation.
b.reasons for occurance of International double taxation.
c.mention two methods of double taxation
12a.Give similarities and differences between exempt VAT and zero rated vat.
b.conditions for a trader to be registered into VAT.
c.effects of VAT to a trader.
13a.Reasons for Tax disputes and measures to control them.
14.write down the procedures to solve the incidence of Tax disputes.
15.ilikua swali la kusolve duties/Tax liabilities za CIF.(25 marks)
Note,hii lilikua paper ya Tax management officer ii
😂😂😂😂😂😂😂😂Walikuwepo wengi tu,akiwemo mshikaji wangu tulisafiri nae pamoja,baada ya pepa niliona kakosa raha kabisa.
Ili ujue ile pepa ilikia noma,kila aliyekua anatoka kwenye venue alikua anatafuta usafiri wa kurudi mkoani kwake.hakuna ile kukaa Dodoma sijui kusubiri majibu ya oral.
Kwa hio miswali kuna watu suruali zililoa jashoNi Kawaida mtu ukiwa nje ya chumba cha mtihani kuona vitu virahisi.
Hivi matokeo wanaweka lini?😂😂😂😂😂😂😂😂
Wameanza kutupia tayari.Hivi matokeo wanaweka lini?
Noma sanaKwa hio miswali kuna watu suruali zililoa jasho
Kuna mwanao kafanya hiyo paper?Pepa ilikuwa mti kweli kama ndio haya najua mtu fidenge hatoboi😅
Ni kweli, Kwa maana mpaka sasa hivi hajatoa hata jibu moja.Huyo anafurahisha watu tu hata swali moja hamalizi.