Kwa Hiyo mkuu unataka kutuambia kwamba walimu wa ITA sio waadilifu/ hawajui kutunza siriWangetunga wao ungeshavuja muda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Hiyo mkuu unataka kutuambia kwamba walimu wa ITA sio waadilifu/ hawajui kutunza siriWangetunga wao ungeshavuja muda sana.
We unaonaje mzee?? Madogo wengi wa ITA hutafuta sana paper kutoka kwa walimu pale. Na mara nyingi hizo paper wanaokuwa nazo ni hao madogo. So utapata jibu ww mwenyewe.Kwa Hiyo mkuu unataka kutuambia kwamba walimu wa ITA sio waadilifu/ hawajui kutunza siri
Yaan Unazungumzia Malecturer..?kuna taarifa kuwa walimu wao ndiyo wametunga ile pepa ya juzi ya usaili TRA,zina ukweli hizo?
Mkuu unatuhumu, unadharau, unatweza na kubagua watu na unaongea vitu kwa confidence kubwa utafikiri unavyovisema vina ukweli saaana. Hebu kuwa na kiasi.We unaonaje mzee?? Madogo wengi wa ITA hutafuta sana paper kutoka kwa walimu pale. Na mara nyingi hizo paper wanaokuwa nazo ni hao madogo. So utapata jibu ww mwenyewe.
Nimekukwaza? Samahani mkuu, mitandaoni humu, chukua kile kinakufaa vingine achana navyo.Mkuu unatuhumu, unadharau, unatweza na kubagua watu na unaongea vitu kwa confidence kubwa utafikiri unavyovisema vina ukweli saaana. Hebu kuwa na kiasi.
Hujanikwaza ila umejitahidi kujionesha wewe ni m'bora kuliko wengine kitu ambacho kinabagaza personality yako pia. Unisamehe kama nimekukwaza pia Mkuu. Nimeishia hapa.Nimekukwaza? Samahani mkuu, mitandaoni humu, chukua kile kinakufaa vingine achana navyo.
Pamoja sana mkuu, tuishi na mitandao salama.Hujanikwaza ila umejitahidi kujionesha wewe ni m'bora kuliko wengine kitu ambacho kinabagaza personality yako pia. Unisamehe kama nimekukwaza pia Mkuu. Nimeishia hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni moto aisee ukiforce kufikria unaweza kujinyea
Sasa Mimi niliyesoma economics nitasua vipi?
Walitaka lecturer au officer?
Kwani wangeshindwa kuuliza maswali ya general knowledge yasiyokuwa biased.
Sio wotee walisoma chuo cha kodi.
Mi binafsi nilitoka form 6 nikapata tempo la uhasibu..!!!
NILIFUNDISHWA nikawa natoa voucher safi kabisa.
Kwenye ile interview walitaka kujua kama najua kutumia computer na hesabu basi.
Debt na credit nilizijulia kazini na Kazi nilifanya vizuri tu.
Sema TRA kama lengo lao lilikuwa ni kuchukua wanafunzi wao WASINGEPOTEZEA WATU MUDA.
Mbona Kuna interview moja walipigisha watu na waliuliza maswali general na current news kama makinikia?
Makinikia hayakuhitaji Shule yalihitaji mtu wa kufatilia news.
Unataka mtu aliyemaliza chuo 2014 akumbuke ya kwenye daftari?
#YNWA
Umeelewa nilichoandika?Kada uliyokuwa unataka kufanya kazi ni kada ya kodi sasa unataka upewe maswali gani mkuu? Ungelijua usingeliomba hiyo kazi
Ha ha ha, tuombe iwe hivyo mkuu.A content based not a competence based.
Inabidi irudiwe
Unamaanisha kwamba?????A content based not a competence based.
Inabidi irudiwe
Vipi jamani, mambo yameendaje huko?
Maana kuna jamaa yangu alinikopa nauli ya kwenda huko Dodoma kuhudhuria huo usaili nafasi ya Tax management officer ii, jana nampigia kutaka kujua kama amekwisharudi ila akaniambia yeye ni kama alienda kutalii tu huko Dodoma maana pepa haikumwendea poa kabisa, nikamuuliza nini kigeni walichokiuliza kwenye huo mtihani akaniambia acha tu kaka.
Jamani ebu mtupe mrejesho mtihani ulikuaje ili nasi tupate cha kujifunza hapa.
Kwani hawajatoa majibu bado? Si nilisikia Oral itafanyika tar 17 na 18? Sasa wale wanaoishi mbali Kigoma, Songea, Mtwara itakuwaje wakipita kwenye usaili huo? Mbona hao utumishi waswahili sana? Au watatoa nauli kwa hao watu??Hivi hii Pepa majibu yake lini
Bado hawajatoa, huenda labla wakareschedule, siamini kama kwa ile nyomi ya watu wataweza kusahihisha ndani ya week moja tu na kutoa majibu.Kwani hawajatoa majibu bado? Si nilisikia Oral itafanyika tar 17 na 18? Sasa wale wanaoishi mbali Kigoma, Songea, Mtwara itakuwaje wakipita kwenye usaili huo? Mbona hao utumishi waswahili sana? Au watatoa nauli kwa hao watu??
SureHii pepar ilikua ngumu sanaa watu hawana hata mzuka nayo .....
Majibu walisema wataanza kutoa kuanzia tarehe 14 na 15.Sure
Majibu walisema wataanza kutoa kuanzia tarehe 14 na 15.