residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Utakuwa rais wa mangariba.Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....
1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote
Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
we yaache yaendelee kujifariji, hii mijamaa ya chadema sijui kwann inauwezo mdogo sana wa kufikiri!Huko ICC labda utaenda Wewe, Shangazi yako na Mjomba wako ila siyo 'Jemedari' Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli na 'Serikali' yake ya CCM.
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Inawezekana hakutaka Mh. aendelee kuwa PM,labda kashinikizwa kumteua!Refer pia hutuba ya PM siku ya mkutano mkuu wa CCM,ni kama alishaanza kumdelete.Mtazamo wangu huo."Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Wewe upo sahihi kwa asilimia 💯Nimependa sana angalizo la rais kwa PM. Ni kumjenga atimize matarajio ya wananchi na si kutumia cheo kile kwa manufaa yake na mkewe tu. Pia nimegundua Rais anampenda sana PM na aweza kuwa ni yeye 2025 kama ataogelea ktk angalizo la Leo la Rais. Majaliwa anabahati sana kwa kupewa area of concetration za mtihani wake wa 2025 tena in public
Hata na Wewe Rafiki yake tena Kamarada ( Comrade ) kabisa ulimnyima 'Kura' yako? Mimi najua Watanzania 99.9% Watanichagua tu Mkuu amini.Ukumbuke Paskal Mayalla aliambulia kura moja tu.
Kassim Majaliwa Kassim hana 'ubavu' huo wa Kukikataa hicho 'Cheo' tena yawezekana sasa ndiyo ataomba awekewe na zamu ya Kumlamba Miguu.Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.
Nami nimeanza Kulihisi kama siyo Kuliona hilo ( hili ) Mkuu.PM wa JPM ni Bashite au Mnyeti, KM atang'olewa katikati ya safari. Mark my words!
Prof Palamagamba Kabudi - ninaishi wosia watu wawili;Mtazamo wangu ni huu, na nipo huru kukosolewa.
1----- Magufuli na Majaliwa wapo tofauti katika mitazamo na utendaji kazi kwa neno jingine hawaivi, jambo hili limo ndani (inside issue).
2---- Watu walishaanza toka zamani kabla ya uchaguzi kwamba Majaliwa hatorudi katika uwaziri mkuu hivyo Magufuli alishasikia hizo tetesi, tabia ya Magufuli ni siku zote kwenda kinyume na tetesi za watu, yaani hapendi kufuata kile kinachosemwa na watu na ndiyo maana Kamrudusha tena Majaliwa kwani asingemrudisha ingeonekana kasikiliza na kafuata tetesi za watu.
3---- Magufuli anamtafuta mtu mwingine wa kuchukua nafasi ya Majaliwa ndiyo maana kisha mpa taarifa mapema ajiandae kisaikolojia na pia hiyo ni huruma au hisani au shukurani aliyopewa ya muda mfupi atakaokaa katika cheo cha uwaziri mkuu kwani ni mambo "makubwa" wameyafanya pamoja katika uchaguzi mkuu uliopita, mambo ya kupora haki za wananchi kujichagulia wapendacho, bila shaka siri za mambo yaliyofanyika wote wanazijua.
Kwa kauli hizo za Magufuli juu ya Majaliwa ni sawa na baba kumwambia mwanaye; Jirekebishe ama sivyo nitakuadhibu. Nimechoka na tabia na utendaji wako nikimpata mtoto mwingine atakuja shika mahala pako.
Pia dini ni kinga kwa Majaliwa katika nafasi hiyo ya waziri mkuu, kwani tayari tetesi zimekuwepo kwamba watu wa dini fulani wanapendelewa katika nafasi za uwaziri.
****Nahofia watu watakuja na povu mdomoni.🤣✊🏻✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻
Angekuwa ni Mtu tu wa kutokea Mkoani Kwetu Mara ( Musoma ) ushujaa huu angeweza ila hakuna Watu 'dhaifu' Tanzania kama wa Kutokea Lindi.Kama nilivyokuwa nimefikiria. Baada ya kutukanwa kote kule na hata kutishiwa shangazi yake….! Angesema asante. Hilo lingemjenga na pngine kujitokeza tena baadaye kama mtu who stood up to a bully!
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kassim.Unataka kusena nani anajipendekeza kwa Mheshimiwa.
Ni 'Kibaka' wa Kitaaluma na Kiuweledi.Anatufaa sana huyo uwaziri sio lazma uwaziri mkuu... Mimi namuona katika hio angle ataplay well
Makosa yapi hayo tudokezee kidogo
Afanye hivi;"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Kwani huwa 'anawalazimisha' kwa Kuwashikia 'Jiwe' Kubwa la 'FATUMA' hao ( hawa ) Wateule wake Mkuu? Rais Dk. Magufuli hafagilii 'Upuuzi' tu.Mbona kazi za jiwe zimekuwa za masimango sana!
Nadhan Mhe. Rais aliona ni meseji haina mashiko. Sasa kuapa vzr ndio nn? Kuapa si kila kitu kipo structured kuna ubunifu wowote pale?Kumbe alimtumia meseji ya kujipendekeza ya pongezi..mara ooooh umeapa vizuri lakini jiwe hakujibu ..
Kuna kitu
Kuna Mmoja Yeye hata kabla tu hajaapa 'Kuwatumikia' wale akina 'Visogoless' Nyumbani Kwake Kawe Beach 'Kondoo' walikuwa 'Wakizikwa' hai.
Haha na watoto wake na mke wakeHuko ICC labda utaenda Wewe, Shangazi yako na Mjomba wako ila siyo 'Jemedari' Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli na 'Serikali' yake ya CCM.
Je, yeye ana uhakika wa kumaliza mitano tena? ICC wamekiri kupokea mzigo