Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....

1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote

Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
Utakuwa rais wa mangariba.
Sifa ya ushirikina mbona hujaitaja!!?
Sifa yako kubwa hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.


Mtazamo wangu ni huu, na nipo huru kukosolewa.

1----- Magufuli na Majaliwa wapo tofauti katika mitazamo na utendaji kazi kwa neno jingine hawaivi, jambo hili limo ndani (inside issue).

2---- Watu walishaanza toka zamani kabla ya uchaguzi kwamba Majaliwa hatorudi katika uwaziri mkuu hivyo Magufuli alishasikia hizo tetesi, tabia ya Magufuli ni siku zote kwenda kinyume na tetesi za watu, yaani hapendi kufuata kile kinachosemwa na watu na ndiyo maana Kamrudusha tena Majaliwa kwani asingemrudisha ingeonekana kasikiliza na kafuata tetesi za watu.

3---- Magufuli anamtafuta mtu mwingine wa kuchukua nafasi ya Majaliwa ndiyo maana kisha mpa taarifa mapema ajiandae kisaikolojia na pia hiyo ni huruma au hisani au shukurani aliyopewa ya muda mfupi atakaokaa katika cheo cha uwaziri mkuu kwani ni mambo "makubwa" wameyafanya pamoja katika uchaguzi mkuu uliopita, mambo ya kupora haki za wananchi kujichagulia wapendacho, bila shaka siri za mambo yaliyofanyika wote wanazijua.

Kwa kauli hizo za Magufuli juu ya Majaliwa ni sawa na baba kumwambia mwanaye; Jirekebishe ama sivyo nitakuadhibu. Nimechoka na tabia na utendaji wako nikimpata mtoto mwingine atakuja shika mahala pako.

Pia dini ni kinga kwa Majaliwa katika nafasi hiyo ya waziri mkuu, kwani tayari tetesi zimekuwepo kwamba watu wa dini fulani wanapendelewa katika nafasi za uwaziri.

****Nahofia watu watakuja na povu mdomoni.🤣✊🏻✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Inawezekana hakutaka Mh. aendelee kuwa PM,labda kashinikizwa kumteua!Refer pia hutuba ya PM siku ya mkutano mkuu wa CCM,ni kama alishaanza kumdelete.Mtazamo wangu huo.
 
Nimependa sana angalizo la rais kwa PM. Ni kumjenga atimize matarajio ya wananchi na si kutumia cheo kile kwa manufaa yake na mkewe tu. Pia nimegundua Rais anampenda sana PM na aweza kuwa ni yeye 2025 kama ataogelea ktk angalizo la Leo la Rais. Majaliwa anabahati sana kwa kupewa area of concetration za mtihani wake wa 2025 tena in public
Wewe upo sahihi kwa asilimia 💯
 
Ukumbuke Paskal Mayalla aliambulia kura moja tu.
Hata na Wewe Rafiki yake tena Kamarada ( Comrade ) kabisa ulimnyima 'Kura' yako? Mimi najua Watanzania 99.9% Watanichagua tu Mkuu amini.
 
Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.
Kassim Majaliwa Kassim hana 'ubavu' huo wa Kukikataa hicho 'Cheo' tena yawezekana sasa ndiyo ataomba awekewe na zamu ya Kumlamba Miguu.
 
Mtazamo wangu ni huu, na nipo huru kukosolewa.

1----- Magufuli na Majaliwa wapo tofauti katika mitazamo na utendaji kazi kwa neno jingine hawaivi, jambo hili limo ndani (inside issue).

2---- Watu walishaanza toka zamani kabla ya uchaguzi kwamba Majaliwa hatorudi katika uwaziri mkuu hivyo Magufuli alishasikia hizo tetesi, tabia ya Magufuli ni siku zote kwenda kinyume na tetesi za watu, yaani hapendi kufuata kile kinachosemwa na watu na ndiyo maana Kamrudusha tena Majaliwa kwani asingemrudisha ingeonekana kasikiliza na kafuata tetesi za watu.

3---- Magufuli anamtafuta mtu mwingine wa kuchukua nafasi ya Majaliwa ndiyo maana kisha mpa taarifa mapema ajiandae kisaikolojia na pia hiyo ni huruma au hisani au shukurani aliyopewa ya muda mfupi atakaokaa katika cheo cha uwaziri mkuu kwani ni mambo "makubwa" wameyafanya pamoja katika uchaguzi mkuu uliopita, mambo ya kupora haki za wananchi kujichagulia wapendacho, bila shaka siri za mambo yaliyofanyika wote wanazijua.

Kwa kauli hizo za Magufuli juu ya Majaliwa ni sawa na baba kumwambia mwanaye; Jirekebishe ama sivyo nitakuadhibu. Nimechoka na tabia na utendaji wako nikimpata mtoto mwingine atakuja shika mahala pako.

Pia dini ni kinga kwa Majaliwa katika nafasi hiyo ya waziri mkuu, kwani tayari tetesi zimekuwepo kwamba watu wa dini fulani wanapendelewa katika nafasi za uwaziri.

****Nahofia watu watakuja na povu mdomoni.🤣✊🏻✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻
Prof Palamagamba Kabudi - ninaishi wosia watu wawili;

"Usiruhusu watu wakuandae kwa cheo chochote wala usijiandae kwa cheo chochote. Ukiwaruhusu watu wakuandae kwa cheo chochote na haswa kama hawana mamlaka ya uteuzi au hawaamui kwa kura zao, utafadhaika na kuishi maisha ya shida. Usijiandae kwa cheo chochote maana ukipata utakua na kiburi na fahari, na ukikosa utamchukia yule aliyepewa na kumfanya adui yako. Kumbe ndio kudra ya mwenyezi Mungu na ndio fungu lake - Baba mzazi rev Aidan Kabudi


"..........Kwa kiongozi yoyote aliyeitwa kuwa msaidizi kama Haruni alivyoitwa kwa Musa JUA KIMO CHAKO, JUA UKOMO WAKO, HESHIMU MIPAKA YAKO"
Kiongozi mkuu hazoeleki na usimzoee, tii, mheshimu, mshauri kwa hekima na kiasi, na akiamua tofauti na ushauri wako usinune. Utekeleze kama vile hukuwahi kumshauri tofauti na alivyoamua. Na akitekeleza kama ulivyomshauri usitoke ukaringa na kutamba hata kwa mke wako au kwa mme wako maana yote ni maamuzi yake" - Cardinal Pengo
 
Kama nilivyokuwa nimefikiria. Baada ya kutukanwa kote kule na hata kutishiwa shangazi yake….! Angesema asante. Hilo lingemjenga na pngine kujitokeza tena baadaye kama mtu who stood up to a bully!
Angekuwa ni Mtu tu wa kutokea Mkoani Kwetu Mara ( Musoma ) ushujaa huu angeweza ila hakuna Watu 'dhaifu' Tanzania kama wa Kutokea Lindi.
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Afanye hivi;
1.Aongoze kwa hekima na busara sana.

2. Atambue jamaa hatupenda sana amteue kuwa PM tena, ila kuna mtu alipenda achukue nafasi hiyo(sitomtaja hapa)

3. Ajiulize kwa nini rais amejaribu kufuatilia historia ya mawaziri wakuu waliopita, alitaka kufanya nini!?

4. Aitumikie nafasi hii kwa muda fulani punde waziri yeyote akifanya uzembe utakaoigharimu nchi yeye(PM) ajiuzuru haraka KAMA KWELI ANAPENDA BAADAE KUWA KIONGOZI MKUBWA.

5. Hasipo zingatia kipengere namba 4, atajuta sana.
 
Mbona kazi za jiwe zimekuwa za masimango sana!
Kwani huwa 'anawalazimisha' kwa Kuwashikia 'Jiwe' Kubwa la 'FATUMA' hao ( hawa ) Wateule wake Mkuu? Rais Dk. Magufuli hafagilii 'Upuuzi' tu.
 
Hugo Magu na Majaliwa wake wanazuga watu tu... Hawezi kumfukuza Huyo.. Kampigia chapuo kila kona kwenye kampeni.. Lao ni 1 hao..Magu acha kuzuga Wanyamwezi hapa.. Si WANYAMWEZI tushaelewa
 
Back
Top Bottom