Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Aijuaye kesho ni Mungu pekee, yeye mwenyewe anaweza kuamka kesho akiwa siye...Neema ya Uhai ni ya Mungu pekew
 
Aijuaye kesho ni Mungu pekee, yeye mwenyewe anaweza kuamka kesho akiwa siye...Neema ya Uhai ni ya Mungu pekew

Jifundishe mwenyewe hilo kama mpaka leo ulikuwa hujui hili. Ndio maana mambo ya serikali hii Mungu wa Mbinguni anatajwa sana. Tumesahau kwa kipindi sasa miungu ya Mlingoti. Nchi tulijilani wenyewe. Na kwa uwezo wa Mungu wa mbinguni huko hatutarudi tena. Hata kama mtajitahidi kuwashambulia viongozi wa dini waliokata shauri kusimama na serikali hii.
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Mkuu wenu hajielewi, anambwelambwela tu, na Sasa anaogopa sanctions na Sasa anatafuta rafiki wa kwelo wa kwenda naye The Hague
 
Mimi Nadhani pengine Rais magufuli alikosa wa kumteua uwaziri mkuu, Hivyo hayo yote ni kumtaarifu majariwa ya kwamba mda wowote akiona chuma kingine kinafaa atamteua

Hivi mtu kama Dr Charles kimei ni wa kua mbunge tuu ?? Nasubiria kuona makubwa kutok kwake
 
Ubaya wa Watawala wengi hutumikia zaidi Vyeo vyao badala ya kuwatumikia Wananchi ipasavyo ,hii ina pelekea kujipendekeza kwa wakubwa wao.

Matokeo ya Watu wa aina hii wapo radhi kufanya lolote ili kusalia Madarakani ,penye Madaraka pana mengi na CCM pia wapo Mafisi maneno aliyo pewa Mh Waziri Mkuu ni makali ajitahidi tu kuyazingatia na wengine wenye Ulafi Ujumbe utakuwa ume wafikia hata kama alie semwa ni Mh Waziri Mkuu..
 
Kwanza Magufuli ameshusha hadhi ya waziri mkuu..huwezi kumwapisha waziri mkuu ambae kimamlaka ni namba 4.ukamwapisha na mawaziri w kawaida kula kiapo
Huo ni uvunjifu wa heshima wa cheo kwa wateuzi wako.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]shida pekee ya sisi wa TZ tushazoea unafki, mtu akiwa mkweli anakuwa adui
Na Mimi ni hii hii tabia yangu ya Kutopenda Unafiki, Kudanganya na Kujipendekeza ( Kujikomba ) kwa Watu imenifanya 'nichukiwe' na Watu wengi.
 
Hahahhaahhaaahahahhaaha Asante Raisi mtarajiwa
Karibu sana 'Mpiga Kura' wangu Mtarajiwa na najua nina 'Kura' zote tu tena za Kutosha kabisa kutoka kwa JamiiForums Members Wote hapa Mkuu.
 
Mimi Nadhani pengine Rais magufuli alikosa wa kumteua uwaziri mkuu, Hivyo hayo yote ni kumtaarifu majariwa ya kwamba mda wowote akiona chuma kingine kinafaa atamteua

Hivi mtu kama Dr Charles kimei ni wa kua mbunge tuu ?? Nasubiria kuona makubwa kutok kwake
Kwa tunaojua / tunayoyajua 'Makosa' yake tokea alipokuwa 'Big Boss' pale 'Azikiwe' Dar es Salaam kumpa 'Uwaziri Mkuu' ni 'Kuwatusi' Watanzania.
 
Kwanza Magufuli ameshusha hadhi ya waziri mkuu..huwezi kumwapisha waziri mkuu ambae kimamlaka ni namba 4.ukamwapisha na mawaziri w kawaida kula kiapo
Huo ni uvunjifu wa heshima wa cheo kwa wateuzi wako.
Kiitifaki na hata Kikatiba ( katika Kiapo ) hakuna Kosa lolote au Uvunjifu wowote ule wa 'Kiutaratibu' amefanya. Pelekeni huko 'Chuki' zenu Kwake.
 
Kumbe alimtumia meseji ya kujipendekeza ya pongezi..mara ooooh umeapa vizuri lakini jiwe hakujibu ..

Kuna kitu
Majaliwa naye hakujua kama ana interfere kiapo!!!
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Ukiwaona walivyotulia kwenye kalenda ya serikali utadhani ni mapacha kumbe 🤣🤣 ...sijui kama angemteua mwingine hiyo kalenda ingechapishwa mpya!!!
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Majaliwa ana siku chache sana za kuwa Waziri Mkuu. Ajiandae kisaikolijia.
 
Back
Top Bottom