Ila zako nanwenzako ziko reheni Kwa jiwe, pumbavuUsifikiri watu timamu nao wanakosa usingizi wakisikia neno ICC. Siyo kila mtu akili zake kaziweka rehani kwa wazungu mjomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila zako nanwenzako ziko reheni Kwa jiwe, pumbavuUsifikiri watu timamu nao wanakosa usingizi wakisikia neno ICC. Siyo kila mtu akili zake kaziweka rehani kwa wazungu mjomba.
Kupongeza ni uungwana na ustaarab kumkalia kimya aliyekupongeza si ustaarab ni kibri na majivuno pia ni machukizo mbele ta Mungu
Aijuaye kesho ni Mungu pekee, yeye mwenyewe anaweza kuamka kesho akiwa siye...Neema ya Uhai ni ya Mungu pekew"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Aijuaye kesho ni Mungu pekee, yeye mwenyewe anaweza kuamka kesho akiwa siye...Neema ya Uhai ni ya Mungu pekew
Mkuu wenu hajielewi, anambwelambwela tu, na Sasa anaogopa sanctions na Sasa anatafuta rafiki wa kwelo wa kwenda naye The Hague"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Ninakubaliana na Wewe kwa 100% Mkuu, ila subirini na Mimi sasa nije kuwa 'Rais' wenu yawezekana huyu mkamuona hakuwa 'Mkali' kama nilivyo.GENTAMYCINE huyu ndie Raisi aliyekuwa anahitajika na Tanzania kutokana na mazoea yaliyojengeka miongoni mwetu
Na Mimi ni hii hii tabia yangu ya Kutopenda Unafiki, Kudanganya na Kujipendekeza ( Kujikomba ) kwa Watu imenifanya 'nichukiwe' na Watu wengi.[emoji16][emoji16][emoji16]shida pekee ya sisi wa TZ tushazoea unafki, mtu akiwa mkweli anakuwa adui
Karibu sana 'Mpiga Kura' wangu Mtarajiwa na najua nina 'Kura' zote tu tena za Kutosha kabisa kutoka kwa JamiiForums Members Wote hapa Mkuu.Hahahhaahhaaahahahhaaha Asante Raisi mtarajiwa
Kwa tunaojua / tunayoyajua 'Makosa' yake tokea alipokuwa 'Big Boss' pale 'Azikiwe' Dar es Salaam kumpa 'Uwaziri Mkuu' ni 'Kuwatusi' Watanzania.Mimi Nadhani pengine Rais magufuli alikosa wa kumteua uwaziri mkuu, Hivyo hayo yote ni kumtaarifu majariwa ya kwamba mda wowote akiona chuma kingine kinafaa atamteua
Hivi mtu kama Dr Charles kimei ni wa kua mbunge tuu ?? Nasubiria kuona makubwa kutok kwake
Kiitifaki na hata Kikatiba ( katika Kiapo ) hakuna Kosa lolote au Uvunjifu wowote ule wa 'Kiutaratibu' amefanya. Pelekeni huko 'Chuki' zenu Kwake.Kwanza Magufuli ameshusha hadhi ya waziri mkuu..huwezi kumwapisha waziri mkuu ambae kimamlaka ni namba 4.ukamwapisha na mawaziri w kawaida kula kiapo
Huo ni uvunjifu wa heshima wa cheo kwa wateuzi wako.
Majaliwa naye hakujua kama ana interfere kiapo!!!Kumbe alimtumia meseji ya kujipendekeza ya pongezi..mara ooooh umeapa vizuri lakini jiwe hakujibu ..
Kuna kitu
Ukiwaona walivyotulia kwenye kalenda ya serikali utadhani ni mapacha kumbe 🤣🤣 ...sijui kama angemteua mwingine hiyo kalenda ingechapishwa mpya!!!"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Majaliwa ana siku chache sana za kuwa Waziri Mkuu. Ajiandae kisaikolijia."Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Je, yeye ana uhakika wa kumaliza mitano tena? ICC wamekiri kupokea mzigo
hii ndiyo point kubwa ya kuzingatia"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
...