mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
wakuu natumai hamjambo!
Kama jinsi ilivyoada, kila mtu anatamani kuwa na mahali pake binafsi pa kuishi yeye na family yake, ingawa kwa upande mmoja kwa baadhi ya watu hili suala si changamoto kwao kwa sababu ya uzoefu ama mfuko umekaa njema kiuchumi, lakini kwa upande mwingine kwa watu aina yangu kumekua na changamoto sana, ukilinganisha na hali ya uchumi wa kati tulionao!
Sasa wakuu, kwa wale mliofanikisha kujenga ( Hasa kipindi cha Jiwe na Mama), mmefanikiwaje ndugu zetu?
Naomba kwa faida ya tulio wengi hasa mimi, tupeane skills na experience, ili sisi nasi tulio na makazi ya kulipia kila mwezi, tulipie kodi za majengo kihalali!
Kama jinsi ilivyoada, kila mtu anatamani kuwa na mahali pake binafsi pa kuishi yeye na family yake, ingawa kwa upande mmoja kwa baadhi ya watu hili suala si changamoto kwao kwa sababu ya uzoefu ama mfuko umekaa njema kiuchumi, lakini kwa upande mwingine kwa watu aina yangu kumekua na changamoto sana, ukilinganisha na hali ya uchumi wa kati tulionao!
Sasa wakuu, kwa wale mliofanikisha kujenga ( Hasa kipindi cha Jiwe na Mama), mmefanikiwaje ndugu zetu?
Naomba kwa faida ya tulio wengi hasa mimi, tupeane skills na experience, ili sisi nasi tulio na makazi ya kulipia kila mwezi, tulipie kodi za majengo kihalali!