Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba zoooote hizo unafuliaje mkuu.au zinaishi popooNmejenga nyumba 3 kwa Miaka 3 mfululizo
December2017 -march 2018
nyumba ya kwanza IKAKAMILIKA
November 2018 - may 2019
Nyumba ya pili IKAKAMILIKA
December 2019- June 2020
Nyumba ya 3 IKAKAMILIKA.
Mwaka 2021,
Mambo yameyumba NMEFULIA na SINA HAMU KABISA Tena na ujenzi
Hapo sasa. Nafikiri vitu vingine ni complication tu, Ramani unaweza ukatengeneza mwenyeweMkuu, nikijenga bila Ramani kuna tatizo?
Shukran Sana mkuu [emoji120]!!Mimi ningekupa hizi siri za kuweza kujenga nyumba.
1. Tamani kumiliki nyumba yako.
2. Pambana kumiliki kiwanja mahali unapopapenda.
3. Tafiti kujua gharama za chini kabisa kuweza kujenga nyumba tofauti tofauti.
4. Amua unataka kujenga nyumba ya gharama gani.
5. Weka malengo ya namna ya kuhimili hizo gharama mpaka kupata nyumba yako.
6. Fanya ujenzi kwa awamu lakini endelevu.
Mkuu DeepPond , hivi kwa experience yako, uchimbaji wa kisima unaweza gharimu kiasi gani??Kweli mkuu,
Binafsi Hizi nyumba nazijenga Kama akiba ya wanangu.
Kimahesabu nmeziwekea malengo kua Ada zao za shule zitokane na Kodi za wapangaji ili zisinivurugie mzunguko was biashara yangu.
Na zote nimezipa majina ya wanangu Wote watatu,
Nafikiria Tena na wife tukipata mtoto mwingine tumjengee ya kwake nae Ada yake itoke palepale.
Yaan kila tukipata mtoto, tunaongeza na nyumba.
Huu ni mkakati wa familia yangu
Karibu karibuNakuja
Mkuu umefikia wapi? Sisi majobless hatukati tamaa, lazima tuwe tunaamkia kwetu , na si kwa watu huku ukisimangwa na buk za takatakaView attachment 1936600
Nimeanza na trip6 za mchangaView attachment 1936601
Kiwanja kitupu Mungu aweke mkono wake
Mkuu umefikia wapi? Sisi majobless hatukati tamaa, lazima tuwe tunaamkia kwetu , na si kwa watu huku ukisimangwa na buk za takataka