Mliofanikisha kujenga nyumba, Tupeane uzoefu hapa

Mliofanikisha kujenga nyumba, Tupeane uzoefu hapa

Kuna mwamba hapo juu nimeukubali mkakati wake, kila mtoto na nyumba yake.
 
Nmejenga nyumba 3 kwa Miaka 3 mfululizo

December2017 -march 2018
nyumba ya kwanza IKAKAMILIKA

November 2018 - may 2019
Nyumba ya pili IKAKAMILIKA

December 2019- June 2020
Nyumba ya 3 IKAKAMILIKA.

Mwaka 2021,
Mambo yameyumba NMEFULIA na SINA HAMU KABISA Tena na ujenzi
Nyumba zoooote hizo unafuliaje mkuu.au zinaishi popoo
 
Mimi ningekupa hizi siri za kuweza kujenga nyumba.

1. Tamani kumiliki nyumba yako.
2. Pambana kumiliki kiwanja mahali unapopapenda.
3. Tafiti kujua gharama za chini kabisa kuweza kujenga nyumba tofauti tofauti.
4. Amua unataka kujenga nyumba ya gharama gani.
5. Weka malengo ya namna ya kuhimili hizo gharama mpaka kupata nyumba yako.
6. Fanya ujenzi kwa awamu lakini endelevu.
Shukran Sana mkuu [emoji120]!!
 
Kweli mkuu,
Binafsi Hizi nyumba nazijenga Kama akiba ya wanangu.

Kimahesabu nmeziwekea malengo kua Ada zao za shule zitokane na Kodi za wapangaji ili zisinivurugie mzunguko was biashara yangu.

Na zote nimezipa majina ya wanangu Wote watatu,

Nafikiria Tena na wife tukipata mtoto mwingine tumjengee ya kwake nae Ada yake itoke palepale.

Yaan kila tukipata mtoto, tunaongeza na nyumba.

Huu ni mkakati wa familia yangu
Mkuu DeepPond , hivi kwa experience yako, uchimbaji wa kisima unaweza gharimu kiasi gani??
 
IMG_20210831_191301_073.jpg

Nimeanza na trip6 za mchanga
IMG_20210831_124159_334.jpg

Kiwanja kitupu Mungu aweke mkono wake
 
Kujenga nyumba unaanza kwa kununua kiwanja, hakikisha ukipata pesa inanunua kiwanja, kitakuhamasisha kujenga. Na ukihitaji kiwanja Kibaha, Mbweni, goba, Kigamboni, Bunju na Vikindu basi usisite kunipiga kwani tunavyo vya bei nafuu sana 0762815104
 
Back
Top Bottom