Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,573
- 2,819
Ahahah we njoo tu mkuu, tuanzishe kampuni yetu. Mana kazi siku hizi hazipatikani kabisa.Njoo pm dada hii nafac n yetu na ww wakat
huu
god is good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah we njoo tu mkuu, tuanzishe kampuni yetu. Mana kazi siku hizi hazipatikani kabisa.Njoo pm dada hii nafac n yetu na ww wakat
huu
god is good
Haa haa Bora tukapambaneAhahah we njoo tu mkuu, tuanzishe kampuni yetu. Mana kazi siku hizi hazipatikani kabisa.
Kabisa hatutashindwa, ili na sie tuje kutoa ushuhuda huku km wengine ahahahahaHaa haa Bora tukapambane
Tukiwa tumeshashikana at least
Hatutashindwa tutakaza
god is good
Ewaaaaa walio weza wana nnKabisa hatutashindwa, ili na sie tuje kutoa ushuhuda huku km wengine ahahahaha
Kumbe ndio maana unakosa.Avatar ya mleta mada haina shida yoyote na haina uhusiano na mada tajwa
Je umefanikiwa kupata mke/mume/mpenzi kupitia jukwaa hili? Uliwezaje kuwachuja hadi kupata hitaji la moyo wako?
Ahahaha karibu sana. Yalete hayo yaliyomoEwaaaaa walio weza wana nn
Mpaka sisi tushindwe
Haa haa ngoja nlete yaliyomo huko
Mahali pake
god is good
Wew ndio mtoa mada? Acha kukurupuka mkuu afu acha kubania rizki za wenzakoNjoo pm dada hii nafac n yetu na ww wakat
huu
god is good
Nakuja bi dada. Hakika mualiko huu ntautendea yaliyo mema ili panapo maajiwa mim mwenyewe nije kutoa Ushuhuda wa Mada yangu hii jinsi nlivofanikiwa kumpata mtot mzuri mtot mkali PujoAhahahah endelea kuomba kazi mkuu. Ngoja waje watupe mrejesho. Yani ata mimi nashangaa sipati kabisa kazi umu. Mtoa mada njoo tuanzishe kampuni yetu ahahaha
Maoni yako nimeyazingatia. Nabadilisha Avatar yangu ili tu niweze kupata kile ninachokihitaji. Ahsante kwa kunijuza hili. I didn't know that Avatar ya mtu inaweza kua tatizo katika mahusianoKumbe ndio maana unakosa.
Amini nakwambia kwa hiyo Avatar hakuna dada atakaa akusikilize..pm zitafutwa juu kwa juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pujaaaa, mim (Akili 09 nguvu 01) ndio mhusika mkuu wa mada hii. Uyu Usser amedandia tu gari kwa mbele. Naomba umpuuze na usimsikilize kwa chochote. Nakuja mwenyewe ili tuweze kuyajenga tujue tunajikwamua vipi kutoka hapa tulipo ili tuweze kutengeneza Couple moja nzuri sanaKabisa hatutashindwa, ili na sie tuje kutoa ushuhuda huku km wengine ahahahaha
Ahahahah ujaoa?, sio single father wewe? .Pujaaaa, mim (Akili 09 nguvu 01) ndio mhusika mkuu wa mada hii. Uyu Usser amedandia tu gari kwa mbele. Naomba umpuuze na usimsikilize kwa chochote. Nakuja mwenyewe ili tuweze kuyajenga tujue tunajikwamua vipi kutoka hapa tulipo ili tuweze kutengeneza Couple moja nzuri sana
Ahahahah na tutakuja kutoa ushuhuda jamani. Ili watu wazd kuomba kazi umuNakuja bi dada. Hakika mualiko huu ntautendea yaliyo mema ili panapo maajiwa mim mwenyewe nije kutoa Ushuhuda wa Mada yangu hii jinsi nlivofanikiwa kumpata mtot mzuri mtot mkali Pujo
Ahahahhaa naona screening inaanza apaapa. Usiogope mama la mama yotr hayo tutajuzana. Karibu ndani(inbox) au pm ili tujuane vizuriAhahahah ujaoa?, sio single father wewe? .
Ahahah lazima ianze apa apa. Huu mchujo wa kutafuta kazi sio mchezo ohooAhahahhaa naona screening inaanza apaapa. Usiogope mama la mama yotr hayo tutajuzana. Karibu ndani(inbox) au pm ili tujuane vizuri
Correction, si kila mtu anapenda makomedian, sie wengine kina joti wanatosha kutuchekesha.Jaribu kumuelewa jamaa.. Ukimwelewa wala hautaangaika kukimbizana na nyuzi za matangazo wanazotoa.Bali utakua unamfata unayetaka.
BADILI ID, JARIBU KUWEKA ID AMBAYO KIJANA ANATABASAMU VZURII.
Saikolojia inainyesha kua, MTU akitazama Picha ya MTU aliyecheka/tabasamu nayeye pia huanza kucheka au kutabasamu nandio mwanzo wa kuvutiwa....(Zingatia;;;; Ukitaka kupata mwanamke kirahisi, umu ndani au nje huko ,HAKIKISHA UNAMCHEKESHA SANA HATA KABLA HIJAMTONGOZA).
WANAWAKE WANA UWEZO MKUBWA WA KUCHUNGUZA HATA KUPITIA PICHA.
so iyo ID yako, akishaizooom tu basi hakujibu.
Kweli hata ivo, hata ukiwa HB usilalamike demu kukukataa... Kuna wanawake wanapenda mavyura yao.Correction, si kila mtu anapenda makomedian, sie wengine kina joti wanatosha kutuchekesha.
Inakukumbusha nini hiyo ID?Hahahahahaha asante kunisahihisha... Mie ndo nilishia kuweka ID yangu inayonikumbusha kitu kimoja kisichosahaulka.Kweli hata ivo, hata ukiwa HB usilalamike demu kukukataa... Kuna wanawake wanapenda mavyura yao.
Sawa. Lakin karibu ndani basi(inbox) nimejipanga vilivyo ili niweze kushindaAhahah lazima ianze apa apa. Huu mchujo wa kutafuta kazi sio mchezo ohoo