usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Mkuu Sasa unataka nkutafunieWew ndio mtoa mada? Acha kukurupuka mkuu afu acha kubania rizki za wenzako
Ww umeze tu kitonga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
god is good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Sasa unataka nkutafunieWew ndio mtoa mada? Acha kukurupuka mkuu afu acha kubania rizki za wenzako
Ndo unataka upate mke kwa tongozo hiliSawa. Lakin karibu ndani basi(inbox) nimejipanga vilivyo ili niweze kushinda
Haa haa haa yako karbu kufka hebuAhahaha karibu sana. Yalete hayo yaliyomo
Wala sing'ati kucha. Ni wewe tu ulete ayo yaliyomo umoHaa haa haa yako karbu kufka hebu
Jiandae kuyapokea kwa bashasha
Ila usingate sana kucha mpaka zikaisha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
god is good
Unahisi nikwann unahitaji kujua love ?.Inakukumbusha nini hiyo ID?
Kwa sababu wewe ni wangu na kila kinachokuhusu kinanihusuUnahisi nikwann unahitaji kujua love ?.
Yashakufikia n kaz kwako SasaWala sing'ati kucha. Ni wewe tu ulete ayo yaliyomo umo
Aahh nimekuelewa vzuri sasa, usijali ,utafahamuKwa sababu wewe ni wangu na kila kinachokuhusu kinanihusu
Usijali, hayo mengine we niachie mimi tu. Nitayafanyia kaziYashakufikia n kaz kwako Sasa
Utendee haki utakayoyapokea
god is good
Ahahaha amepata kawivu jamani[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]at anajarbu
Kuninyang'anya tonge mdomoni
god is good
Haki ya Shetani vile ningekua mchawi nakuambia wew #Usser ningekuroga mapema sana maana nakuona unavojaribu kutaka kumkamata ndege wangu amabaye nimetumia nguvu kubwa sana kumvuta adi kufika apaMkuu Sasa unataka nkutafunie
Ww umeze tu kitonga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
god is good
Lala unono pujo wanguUsijali, hayo mengine we niachie mimi tu. Nitayafanyia kazi
Dogo. Nawamikono ukalale wacha keleleHaki ya Shetani vile ningekua mchawi nakuambia wew #Usser ningekuroga mapema sana maana nakuona unavojaribu kutaka kumkamata ndege wangu amabaye nimetumia nguvu kubwa sana kumvuta adi kufika apa
Nakuomba niachie Pujo wangu
Itakua kuna mtu kamyweshaAhahaha amepata kawivu jamani
Asantee, na wewe pia ulale unono kabisa.Lala unono pujo wangu
god is good
Jisumbue tu. Wew unaaga sisi tunaagana kwa Mabusu motomotoLala unono pujo wangu
god is good
Ahahaha ww kwa mabusu kabisa. Hizi kazi ni lazima zitafutwe kwa nguvuJisumbue tu. Wew unaaga sisi tunaagana kwa Mabusu motomoto