Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,573
- 2,819
Ahahaha tunachangamsha genge mkuu. Na mautani ya apa na pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha tunachangamsha genge mkuu. Na mautani ya apa na pale.
Ahahaha tunachangamsha genge mkuu. Na mautani ya apa na pale.
Ahahaha apo kufatiliana apo, ndipo pabaya mkuu. Mie nipo kote kote, MMU, siasa, chit chat, habari na hoja mchanganyiko. Huku tunatembeleaga kuona watu jns wanavytft kazi na kuwapa maushauri.Nimeanza kukufuatilia nyendo zako mkuu naona nyuzi zinazohusiana na kuvutana ndani huachi kupiga kambi..
Inazidi kunipa matumaini tuko pamoja
Ahahaha apo kufatiliana apo, ndipo pabaya mkuu. Mie nipo kote kote, MMU, siasa, chit chat, habari na hoja mchanganyiko. Huku tunatembeleaga kuona watu jns wanavytft kazi na kuwapa maushauri.
AhahahMdogo mdogo mpaka utashtukia niko pm
Ndukiiii hhaahUmeangalia avatar yangu lakini ?
😱Mkuu nimepitia reply zote kuna demu mmoja hapo unatakiwa upite nae kwa speed ya jet
Alaf ubadilishe avatar huwez kupata dem kwa avatar hiyo la sivyo utaendelea kukataliwa kama mimi
GunFire