Mlioishi Ulaya na Amerika, eti huko wazungu wanakula kuku wa kienyeji au wa kisasa?

Mlioishi Ulaya na Amerika, eti huko wazungu wanakula kuku wa kienyeji au wa kisasa?

wapo kuku organically gazed. bei inapaa.

Wapo, kienyeji ya ulaya lkn ila hawana tofauti na kienyeji ya huku un terms of malezi, Utagaji na uatamiaji, chakula pamoja na ladha.

Hao broiller, ni special kuku walio tengenezwa(breeding) kwa ajili ya nyama peke ake, yaani alie watengeneza alitaka kiwe kiwanda cha nyama na si vinginevyo.

Ukiacha special preference, Kuku wa kisasa hawana shida yeyote ile kwa mlaji kiafya, kama hakutakua na matumizi holela ya madwa kama ilivo sasa hku kwetu africa

Ova.
 
Una nashangaa neno wanalishwa madawa , how? Yaani kuku alishwe dawa tu bila chakula?
Kuku wa huko hata kama ni kienyeji ila ni improved kienyeji ambaye anafugwa free range na kupewa chakula Cha ziada kuku bei yake unakuta ni shilling elfu 60 , maana broiler tu mwenye kilo mbili Kwa bei ya kule ni kuanzia 20 - 30 elfu
 
Nachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.

Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?
Mostly wa kisasa, hao wana soko na wanalika sana. Haimaanishi wa kienyeji hawapo, wapo ila rural areas
 
Nachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.

Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?
Ninaishi ulaya sasa karibia miaka 9. Wazungu wanakula broiler kwa wingi. Gharama za ufugaji wa kuku wa kienyeji au organic ni kubwa mno hivyo kupelekea bei kuwa kubwa. Inamaana wenye uwezo wa kununua hao kuku wa kienyeji siyo wengi.
 
nipo texas apa
aisee kuku wakienyeji kwa nadra sana labda waagize kutoka huko uwapate supermarket wana umbo dogo sana kutokana na maisha yao mchakamchaka kukimbizana na mwewe kunguru nk.,
huku kuku ni wakubwa bila shaka wamekuzwa kihuni na makampuni makubwa $12.5
Nachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.

Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?
 
Wazungu wanakula haya haya ya kizungu yasio na baba. Kuna sehemu nilikuwa napiga mishe za konyoa michongoma na pamba grass, pia kulikuwa na kuku wa kienyeji basi wao wanaenda nunua shopaz. Mi na beki3 tunajisevia wa kienyeji na maisha yanasonga.
 
Back
Top Bottom