Vyakula vyote vinavyoliwa duniani kwa 99% ni natural, duniani bado haijafikia kuanza kula vyakula artificial.Hata akili za kuvukia barabara hazikusaidii kukwambia kipi bora kati ya artificial and natural foods?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hadi makuku mataahira yanayokua kwa wiki 2 tu? Ndiyomaana Vijana siku hizi wanaota manyonyo, kuku mataahira ni sumu tupu, pia ni tasteless kabisa sababu ya midawa, kuwa makini usijizolee kansa zinazoepukika.Vyakula vyote vinavyoliwa duniani kwa 99% ni natural, duniani bado haijafikia kuanza kula vyakula artificial.
Hivi upo mkuu?? Umepotea sanaaaa.....tangu 2021 hiko sikupatiii siluhizi MkuuKuku wa kienyeji wapo..Kuna maduka ya Waafrika na hata Wachina. Sikumbuki mara ya mwisho kula kuku wa kizungu...
Lakini unakuta kule bar maid kwa mwezi anakunja 4M,mlinzi 6M,dereva 10MUna nashangaa neno wanalishwa madawa , how? Yaani kuku alishwe dawa tu bila chakula?
Kuku wa huko hata kama ni kienyeji ila ni improved kienyeji ambaye anafugwa free range na kupewa chakula Cha ziada kuku bei yake unakuta ni shilling elfu 60 , maana broiler tu mwenye kilo mbili Kwa bei ya kule ni kuanzia 20 - 30 elfu
Zeruzeru pengineMm ni muzungu, nakula kuku kienyeji huku ulaya. Shida yako nini wewe?
Nilikuwa najua Mavyakula ya huko ulaya ni kama yale ya KFC tuu...kumbe hadi kienyeji unapata.Nachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.
Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?
Kuku kukua kwa muda mrefu sana sio sifa nzuri, ni kwa sababu ya genes mbaya zisizo bora za udumavu na pia kukosa matunzo sahihi ya chakula na dawa. Pia kuku wa aina hiyo ni muendelezo wa umaskini tu kwa anayefuga.Hadi makuku mataahira yanayokua kwa wiki 2 tu? Ndiyomaana Vijana siku hizi wanaota manyonyo, kuku mataahira ni sumu tupu, pia ni tasteless kabisa sababu ya midawa, kuwa makini usijizolee kansa zinazoepukika.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Heri kujifunza zaidi kuliko kujua kila kitu maana ujuaji mwingi huondoa maarifa.Kuku kukua kwa muda mrefu sana sio sifa nzuri, ni kwa sababu ya genes mbaya zisizo bora za udumavu na pia kukosa matunzo sahihi ya chakula na dawa. Pia kuku wa aina hiyo ni muendelezo wa umaskini tu kwa anayefuga.
Kwahiyo Hawa broiler tuwaweke kundi la kuku aina Gani ?Kuku kukua kwa muda mrefu sana sio sifa nzuri, ni kwa sababu ya genes mbaya zisizo bora za udumavu na pia kukosa matunzo sahihi ya chakula na dawa. Pia kuku wa aina hiyo ni muendelezo wa umaskini tu kwa anayefuga.
Kuku wa kizungu(layers, broillers, saso na kroillers etc) ni kuku waliobuniwa Marekani kwa ajili ya kuondoa shida ya upungufu wa kitoweo nchini kwao na baadaye kuuza teknolojia hiyo kwenye mataifa mengine.Swali la kujiuliza je wazungu wanakula kuku wa nyama au wa Mayfair....bro kuku wa Mayfair waxungu hawali wanakula hao mnaoita wa wk wa nyama cause ndo special kwa kuliwa wa mayai wakimaliza kazi zao wanawateketeza
Kuku wa kisasa sio tasteless, ni kwa sababu umezoa kula wa kienyeji na pia hamjui mapishi yake. Lakini pia hata ugali ni tasteless kwa jamii nyingine kama wazungu na hawaelewi tunawezaje kula chakula kama hiko ila wewe unafakamia tu.kuku mataahira pia ni tasteless kabisa sababu ya midawa,
Kuku bora wa nyama.Kwahiyo Hawa broiler tuwaweke kundi la kuku aina Gani ?
Aliekwambia kuku wa kizungu ni artificial ni nani? Unajua maana ya artificial?Hata akili za kuvukia barabara hazikusaidii kukwambia kipi bora kati ya artificial and natural foods?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hakuna uhusiano wowote wa kuku wa kisasa na vijana kuota manyonyo au kansa. Dawa za kuku ni dawa kama wewe unavyopatiwa chanjo au antibiotics ukiumwa, acha kusikiliza stori za watu wajinga wa mtaani na kwenye vijiwe vya kahawa.Hadi makuku mataahira yanayokua kwa wiki 2 tu? Ndiyomaana Vijana siku hizi wanaota manyonyo, kuku mataahira ni sumu tupu, pia ni tasteless kabisa sababu ya midawa, kuwa makini usijizolee kansa zinazoepukika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mm ni muzungu, nakula kuku kienyeji huku ulaya. Shida yako nini wewe?
Waafrika wengi wana ujinga mwingi sana wa kurithi na bahati mbaya sana wanarithishana huo ujinga kutoka kizazi kimoja hadi kingine.Kuku wa kizungu(layers na broillers, saso, kroillers) ni kuku waliobuniwa Marekani kwa ajili kuondoa shida ya upungufu wa kitoweo nchini kwao na baadaye kuuza teknolojia hiyo kwenye mataifa mengine.
Wanakula kama kawaida, hata kwetu ni watu wanakula vizuri tu.
Kwani food value yake ipoje?
Maana Waafrika tunaishi kwa kukaririshwa mambo, sijui mayai/kuku wa kizungu hawafai etc etc, ukimuuliza anayesema hivyo akwambie terms za kisayansi alizotafiti kuonesha kuwa hawafai, utakuta hana.
Kisasa tena wanakua frozen hata mpaka mwaka mmojaNachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.
Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?